Hili nililishudia kwa macho yangu pale leganga majuzi
Kama hawezi kufahamu kila kitu who are you wa kuweza kufahamu kila kitu?Huwezi ukafahamu kila kitu mkuu,
Kipindi hicho cha kikwete ndio kwanza maandamano yanayoasisiwa na huyo Lema yalikuwa yameshika hatamu,
Ilikuwa aibu kwa Taifa kualika wageni wakati mambo ya kihuni yakifanyika,
Ndio maana Arusha ikakosa mikutano ya kimataifa, JNIC ikashika hatamu, Lema akawa kiongozi wa genge la wahuni, Arusha ikadidimia kiuchumi.
Madhara ya siasa za kitoto za Lema kwa Uchumi wa Arusha hayaelezeki.
Toa Lema, Rudisha hadhi ya Arusha.
Pale unapodanganya bila kuwa na taarifa sahihi. Mikutano imefanyika mingi. Hakujawahi kusimamishwa mkutano kutokana eti na maandaamano.Chini ya Lema Arusha imekosa mikutano mingi sana ya kimataifa ambayo ilihamishiwa Julius Nyerere International Conference baada ya mji kugeuka kitovu cha maandamano, Lema ametugharimu Sana kwa faida ya mshahara wake wa mwezi,
Watu wa Arusha ili kurejesha heshima ya mkoa wetu tumkatae Lema na mambo yake yote maovu, tuurejeshe uchumi na heshima ya mkoa wetu.
Sasa ulitegemea kuwa mikutano ikisitishwa kupangwa wewe utaambiwa??Pale unapodanganya bila kuwa na taarifa sahihi. Mikutano imefanyika mingi. Hakujawahi kusimamishwa mkutano kutokana eti na maandaamano.
Sio kwamba niambiwe. By then niko AICC. Kila kikao taarifa zake nilikuwa ninazo.Sasa ulitegemea kuwa mikutano ikisitishwa kupangwa wewe utaambiwa?
Habari ndio hiyo mkuu, Lema is a disgrace to our town, aondoke.
Mtatabiri sana lakini Mzee wa Kupepewa na AC jukwaani Lazima aende na majiHali ya mambo 2015 ilikuwa ngumu kwa CCM hasa baada ya Mh. Edward Lowassa kuhamia Chadema jambo lilooelekea kura ya hasira dhidi ya CCM.
Mwaka huu ni tofauti kwani Upinzani umekosa mwanaCCM maarufu na mwenye mtandao ndani ya CCM ambaye angeweza kuyumbisha chama.
Wakazi wa kaskazini wameamua kuachana na siasa za kiuwanaharakati kwani haziwasaidii na badala yake zimepunguza fursa za kimaendeleo.
Ishara ya kuinua Masale kuanzia Moshi,Hai,Usa,Arusha jiji n.k ni ishara ya mapatano .
Wewe uliepata mtindio wa ubongo ndio maana unaandika utumbo ndio uende ukapate dawa za kuweka ubongo wako vizuri mtu mzima unaandika pumba hunu.Acha hasira za mkizi...kanunue antidepressants mapema
Hehe AICC hakuna bavicha kama wewe,Sio kwamba niambiwe. By then niko AICC. Kila kikao taarifa zake nilikuwa ninazo.
Huwezi niambia kitu yoyote kuhusu ile sehem.
Lema might be disgrace lakin si hizo allegation zako ni za kitoto.
Ni rahisi ngamia kupenya Tundu la sindano kuliko watu wa Arusha, Manyara Ana Kilimanjaro kuichagua CcmHali ya mambo 2015 ilikuwa ngumu kwa CCM hasa baada ya Mh. Edward Lowassa kuhamia Chadema jambo lilolopelekea kura ya hasira dhidi ya CCM.
Mwaka huu ni tofauti kwani Upinzani umekosa mwanaCCM maarufu na mwenye mtandao ndani ya CCM ambaye angeweza kuyumbisha chama.
Wakazi wa kaskazini wameamua kuachana na siasa za kiuwanaharakati kwani haziwasaidii na badala yake zimepunguza fursa za kimaendeleo.
Ishara ya kuinua Masale kuanzia Moshi, Hai, USA, Arusha jiji n.k ni ishara ya mapatano.
umekuwepo AICC kwa muda gani?mimi nimefanya kazi hapoSio kwamba niambiwe. By then niko AICC. Kila kikao taarifa zake nilikuwa ninazo.
Huwezi niambia kitu yoyote kuhusu ile sehem.
Lema might be disgrace lakin si hizo allegation zako ni za kitoto.
Akataliwe mara ya ngapi Mkuu? Lema hana chake ni CCM TUU.Chini ya Lema Arusha imekosa mikutano mingi sana ya kimataifa ambayo ilihamishiwa Julius Nyerere International Conference baada ya mji kugeuka kitovu cha maandamano, Lema ametugharimu Sana kwa faida ya mshahara wake wa mwezi.
Watu wa Arusha ili kurejesha heshima ya mkoa wetu tumkatae Lema na mambo yake yote maovu, tuurejeshe uchumi na heshima ya mkoa wetu.
Toka kipindi cha JK maandamano yakiratibiwa na lema ndio yamekuwa image ya Arusha ....sasa imefikia mwishoSio kweli,kipindi cha kikwete alipeleka mikutano yote ya kimataifa Bagamoyo na Dar ili kuinua uchumi Wa kwao.
Mbona utalii haukufa kama Lema ndio alikiwa kisababishi.
Katiba mpya Ipi??italetaje madaraka kwa wananchi?We mshamba kweli,uko kijiji gani train tu inakuzuzua . tena ya mwaka 47.
We hutaki katiba Mpya ili madaraka yarudi kwetu wananchi.
For a very long time. Since 2003.umekuwepo AICC kwa muda gani?mimi nimefanya kazi hapo
Haha nani kasema mm ni bavicha? Maana naona unanipachika vitu vya ligi ndogo.. si support upande wowote ule wa siasa.Hehe AICC hakuna bavicha kama wewe,
Pale sijui umtaje nani nisimfahamu.
Tafuta uongo mwingine wa kumtetea homeboy wako ila sio huu.