Watu wa kusini mwa Tanzania Lindi na Mtwara tukutane hapa tukumbusha maneno ambayo huwezi kuisikia sehemu yoyote zaidi ya kwetu

Mlemba

5/5
 
Manyiri

5/5
 
Habari ndugu zangu wa kusini, mi sio mtu wa kusini ila nina ndugu yangu namtafuta nilielekezwa kwao ni lindi vijijini, kijiji kinaitwa mchinga namba 2, yeyote anayeishi huko au kupajua vizuri, msaada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…