MlembaHii ni baadhi ya misamiati/maneno ambayo huwezi kuisikia mikoa mingine zaidi ya Lindi na Mtwara, me naanza na hii:-
Kudekelela
Kunyenga
Kunyeng'elesa
Mwandu
Nchonyo
Nang'ongo
Ming'oko
Kwapwapwasa
Mkomela
Chikandanga
Chinduri
Pitiku
Manda
Msambura
Nawe wa nyumbani ongezea ya kwako.
ManyiriHii ni baadhi ya misamiati/maneno ambayo huwezi kuisikia mikoa mingine zaidi ya Lindi na Mtwara, me naanza na hii:-
Kudekelela
Kunyenga
Kunyeng'elesa
Mwandu
Nchonyo
Nang'ongo
Ming'oko
Kwapwapwasa
Mkomela
Chikandanga
Chinduri
Pitiku
Manda
Msambura
Nawe wa nyumbani ongezea ya kwako.
njoo mkalapa mzee,uje na vigongoNchonyo.= ***ma
Kunyata= sura mbaya
Niko chikundi hapa wakuu nimekimbia corona mjini.
hahaha,kipalasaa cha mbaazi,kunoga na manda
Ndenga namadi panaitwa ,alafu kule si ndo kilikua na lile kundi la Tukale wapi walivunja nyumba nyingi sana pale mtwaraMdenga
Nchonyo.= ***ma
Kunyata= sura mbaya
Niko chikundi hapa wakuu nimekimbia corona mjini.
Hahhaaaa,, hii ni mboga iliyotokana na kunde za kusagwa
Ukoko wa juu ya ubwabwa
Hahahaaaa, hii ndo raha ya kusini