Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
- Thread starter
-
- #41
Samaki wa maji chumvi aliyefanyiwa salting & drying ananoka sana kuchomea kwenye matamba
Kama upo Dar, panda gari lolote linalokuja mikoa ya kusini then shuka Mchinga 1 hapo ulizia Mchinga 2 utafiks bila shidaHabari ndugu zangu wa kusini, mi sio mtu wa kusini ila nina ndugu yangu namtafuta nilielekezwa kwao ni lindi vijijini, kijiji kinaitwa mchinga namba 2, yeyote anayeishi huko au kupajua vizuri, msaada.
sasa uko wapi mkuu..?[emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha Kuna dada mmoja tulikua tunakula pweza pale mtwara muuzaji akiitwa Amina mwandu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28] hatari sana mkuuSamaki wa maji chumvi aliyefanyiwa salting & drying ananoka sana kuchomea kwenye matamba
Habari ndugu zangu wa kusini, mi sio mtu wa kusini ila nina ndugu yangu namtafuta nilielekezwa kwao ni lindi vijijini, kijiji kinaitwa mchinga namba 2, yeyote anayeishi huko au kupajua vizuri, msaada.
Shangani ni sehemu mzuri sanaNimekaa kule mtanda na Shangani miaka ile kulikuwa uzunguni.
-Ntindiso
-Nkalalu
-Manyengu
-Machoba
-Lilende
-Ntandasa
-Mpwisa
-Libwahaha
-Kumpatula
-Ngedule
-Nan'nyonge
-Champwa.
Hii ni baadhi ya misamiati/maneno ambayo huwezi kuisikia mikoa mingine zaidi ya Lindi na Mtwara, me naanza na hii:-
Kudekelela
Kunyenga
Kunyeng'elesa
Mwandu
Nchonyo
Nang'ongo
Ming'oko
Kwapwapwasa
Mkomela
Chikandanga
Chinduri
Pitiku
Manda
Msambura
Nawe wa nyumbani ongezea ya kwako.
Jida, Kaumu, mkomaindo, mkutiUmenikumbusha mitaa ya masasi..mtandi, kaumu, newala road, adam viazi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kule ni kwa watu wazito mkuuShangani ni sehemu mzuri sana
πππ mwendo wa n'chale tuuUkisimama n'chale ukilala n'chale ukikimbia n'chale ukitembea n'chale.
Nimeishi kule mpaka mzee anahamishwa 2009Kule ni kwa watu wazito mkuu