Watu wa kusini mwa Tanzania Lindi na Mtwara tukutane hapa tukumbusha maneno ambayo huwezi kuisikia sehemu yoyote zaidi ya kwetu

Watu wa kusini mwa Tanzania Lindi na Mtwara tukutane hapa tukumbusha maneno ambayo huwezi kuisikia sehemu yoyote zaidi ya kwetu

Habari ndugu zangu wa kusini, mi sio mtu wa kusini ila nina ndugu yangu namtafuta nilielekezwa kwao ni lindi vijijini, kijiji kinaitwa mchinga namba 2, yeyote anayeishi huko au kupajua vizuri, msaada.
Kama upo Dar, panda gari lolote linalokuja mikoa ya kusini then shuka Mchinga 1 hapo ulizia Mchinga 2 utafiks bila shida
 
Uchiinuke Wala uchikae
Samaki changa
Ukilala chale ukiinuka chale
Nahisi hata matamchi yenu yatakuwa hivi.Hongereni wamachinga kwa kukutana

Sent from my I phone
 
Hii ni baadhi ya misamiati/maneno ambayo huwezi kuisikia mikoa mingine zaidi ya Lindi na Mtwara, me naanza na hii:-
Kudekelela
Kunyenga
Kunyeng'elesa
Mwandu
Nchonyo
Nang'ongo
Ming'oko
Kwapwapwasa
Mkomela
Chikandanga
Chinduri
Pitiku
Manda
Msambura

Nawe wa nyumbani ongezea ya kwako.

Ngunja (uchafu)
Chidung'unani (makalio) 😂😂😂
Likong'we (tikiti)
Ligogoma (beberu)
Chinu (kitu)
Indunga
Jinongo

Nimejikumbusha tu kidogo daaah! Nitarudi
 
Back
Top Bottom