Watu wa kusini mwa Tanzania Lindi na Mtwara tukutane hapa tukumbusha maneno ambayo huwezi kuisikia sehemu yoyote zaidi ya kwetu

Pale masasi BR bado inatamba?
Tuambieni maana ya:-
Kwani je?
Kubebesa,
Mnonji,
Baa!
 

pitiku ni jina la mboga songea huko


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…