Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
- Thread starter
-
- #61
Me nafahamu ni mji mdogo tena mji wa kwanza kutoka Dar unaoanza kutoa junction za miji mbalimbali. Pia ni centre ya mabasi kwa ajili ya mapumziko ya Safari
Ooh nilitaka maana ya Hilo neno la huo mji..but thanksMe nafahamu ni mji mdogo tena mji wa kwanza kutoka Dar unaoanza kutoa junction za miji mbalimbali. Pia ni centre ya mabasi kwa ajili ya mapumziko ya Safari
Kitambo hyo.. Ukirudi sasa utaishangaa Mtwara utaishangaa Shangani piaNimeishi kule mpaka mzee anahamishwa 2009
Hebu tuwasubir Wadengereko maana hawa ndio wazawa wa huo mji..Ooh nilitaka maana ya Hilo neno la huo mji..but thanks
Lazima nije kuwapa hi masela paleKitambo hyo.. Ukirudi sasa utaishangaa Mtwara utaishangaa Shangani pia
Hii ni baadhi ya misamiati/maneno ambayo huwezi kuisikia mikoa mingine zaidi ya Lindi na Mtwara, me naanza na hii:-
Kudekelela
Kunyenga
Kunyeng'elesa
Mwandu
Nchonyo
Nang'ongo
Ming'oko
Kwapwapwasa
Mkomela
Chikandanga
Chinduri
Pitiku
Manda
Msambura
Nawe wa nyumbani ongezea ya kwako.
[emoji3][emoji3][emoji3] mwendo wa n'chale tuu
😀😀Chezea ntu na ntu kwa samaki nchanga
Hahahaaa, unalikumbuka maana yakeToka nitoke lindi nilikariri neno nchonyo tu
Hahaha wanasemaje hapo kwa Chad, au kijiwe kwa WariobaNchonyo.= ***ma
Kunyata= sura mbaya
Niko chikundi hapa wakuu nimekimbia corona mjini.
Mkalapa kwa Suma au darajani kwa Joseph Kidandonjoo mkalapa mzee,uje na vigongo
Uliza wahehe na wahaya wataacha lini kula Mbwa na senene.
nitauliza utakapoletwa uzi wa wahehe na wahayaUliza wahehe na wahaya wataacha lini kula Mbwa na senene.
Unaweza ukaanzisha tu hakuna shaka.
haina shida mkuu nitaanzisha tu. inshallahUnaweza ukaanzisha tu hakuna shaka.