Hizo mambo wala sijui kinachoendelea huko Twitter na insta nazungumza ninachokipitia wakati huuNimeona hii trend ya kulaumu watu wa mikoani na wa Dar pia imeanzia Instagram au Twitter ..
Watu wa mikoani wanadhani huku Dar pesa tunaokota..
Na wa mikoani wakaanza kujibu..
Watu wa Dar mnafikiri huku Mwanza samaki tunaokota?
Watu wa Dar mnafikiri Singida ma ma housegirl wanaokotwa?
Watu wa Dar mnafikiri Mtwara korosho ni za kuokota?..
Wa Dar mnafikiri Mbeya mchele no wa kuokota?
It never stops hadi naiona hii thread leo
Sina cha kukujibu ila ushauri wangu acha ushabiki zingatia maudhuiMkuu acha hiyo roho mbaya kwani ukifanya hivyo mara moja kwa miaka 5 kuna shida gani? Mie nafkiri ni wewe ndo huwa hujipangi huko mikoani kwa ndugu jamaa na wazazi!
Hebu fikilia kama kila siku unaweka akiba shilingi mia tano tu (Tshs 500), ukifanya hivyo miaka 5 , hesabu yake ni : 500 X siku 360 X miaka 5 , ambayo ni TSHS 912,500 ! Hii ukienda huko ukawagawagawa za mvinyo na biskuti mbona fresh tu unajipatia heshima na hadhi kubwa ya bure kabisa!
Shida nyinginne watu wa jijini tubadilike maana tunapokwenda mikoani wennngi tuna tabia ya kupretend kanakwamba tuna maisha sana hapa bongo lakini kumbe ndo hivi ukienda wakikutoa upepo kidogo unakimbilia JF kuanzisha uzi wa kuwapaka nduguzo hivi nani alikushikia kisu au bunnduki kwamba lazima utowe pesa??
Habari za muda huu wana Jf.
Kuna katabia fulani wanacho baadhi ya watu waishio mikoani huwa inaudhi na kukera sana, mno yani[emoji35]. Tunafahamu, huko ndio chimbuko la uzao wa walio wengi umeanzia, tunaelewa umuhimu wenu, na tunapaswa kuwasaidia.
Ila hiyo dhana ya kudhani mtu nakitoka mjini anakuja na mafurushi ya hela itoeni kabisa kilini mwenu[emoji41]. Nyie ndio mnaofanya watu waonekane wameasi kwao, unaweza kuta mtu amekaa miaka zaidi ya mitano (5) hajaenda kwako.
Kwa namna moja ama nyingine hii inaweza kuwa sababu moja wapo.
Mnaomba sana mpaka mnaboa...inafika wakati unatamani kwenda kusalimia ndugu wengine lakini unakosa uhuru kutokana na balance uliyonayo na sisi wengine tumelelewa vyema huwezi kumnyima mtu mzima hela.
Yani nimefika kijijini leo siku ya tatu lakini mpaka nakosa amani, yani mtu anatoka nyumbani kwake tena sio hata ndugu wa karibu, anakuja kabla hata hujaamka kisa kaambiwa huko kilabuni kuna mtoto wa fulani ametoka DAR kuja kusalimia, hivyo hawezi kosa chochote.
Atakaa hapo ale anywe na akiondoka umpe chochote, leo asubuhi nimekuta watu 6, [emoji44][emoji20][emoji20][emoji20] achilia mbali juzi na jana...kila mtu ana badget zake.
Leo imebidi nimwite mzee chemba. Nimemkabidhi fungu lao, na nikamwambia kabisa nimebaki na hela ya mafuta ya kunirudisha Dar, sasa kama wewe ndio umewaambia nipo hapa kawape hizo zako na mkeo.
Siku tatu nitumie 600k just kwa kugawa gawa tu nakulisha familia za watu wasijue hata mjini na ishije[emoji20][emoji850][emoji848][emoji848][emoji848]
Mtanisamehe kwa kweli[emoji120], kama nitatafsirika nina roho mbaya acha ionekane hivyo.
Mliokutana na huu upuuzi hebu changieni tupate la kujifunza.
Nikunjue paka wapi, nitoe laki 6 for three days uniambie nikunjue moyo, au unafikiri mm ni mmoja wa wale wachimba migodi kule mererani?[emoji848]Ila kwenda kununua utelezi Sinza sio tatizo???[emoji9][emoji9][emoji9][emoji9][emoji9].
Huoni raha watu wanapojisikia fahari kwaajili yako?
Hebu kunjua moyo.
Haya kifurukutu nimekusikia[emoji4]mkuu wazoee hivyo
nikirudi mkoani kwetu ni lazima nitenge muda wa show off kuwagalagaza vijana niliowaacha huko na biaaaa
siwezi rudi mkoa kinyonge hata kama ni kwa matatizo na emrgency nitafurukuta nikae sawa
Kwa taarifa yako utajiri utausikia kwenye redio yako ya mbao. Watu wanafanya savings kwa ajili ya investments au emergency wewe unafanya savings ili ugawe helaMkuu acha hiyo roho mbaya kwani ukifanya hivyo mara moja kwa miaka 5 kuna shida gani? Mie nafkiri ni wewe ndo huwa hujipangi huko mikoani kwa ndugu jamaa na wazazi!
Hebu fikilia kama kila siku unaweka akiba shilingi mia tano tu (Tshs 500), ukifanya hivyo miaka 5 , hesabu yake ni : 500 X siku 360 X miaka 5 , ambayo ni TSHS 912,500 ! Hii ukienda huko ukawagawagawa za mvinyo na biskuti mbona fresh tu unajipatia heshima na hadhi kubwa ya bure kabisa!
Shida nyinginne watu wa jijini tubadilike maana tunapokwenda mikoani wennngi tuna tabia ya kupretend kanakwamba tuna maisha sana hapa bongo lakini kumbe ndo hivi ukienda wakikutoa upepo kidogo unakimbilia JF kuanzisha uzi wa kuwapaka nduguzo hivi nani alikushikia kisu au bunnduki kwamba lazima utowe pesa??
Ni maoni pia hatuna budi kuyaheshimuHilo sio suala la ukitoka dar kwenda mkoani ni suala la mtu kutoka Mjini kwenda kijijini regardless, ni wapi sababu vijijini kuna notion kuwa watu wa mjini wana "hela" kutokana na gharama za maisha..
secondly inategemeana na ukoo wako huko kijijini wamelelewaje na wana hali gani, ukiona watu wengi wanashoboka na uwepo wapo possibility kubwa ni wewe umewapa picha hiyo au huko kijijini kwenu umaskini na kuomba omba ni part ya maisha kwa nyie mnaoonekana kufanikiwa "Royals"
kingine sometimes Kupokea zawadi kutoka mjini na kutoa za kijijini kupeleka mjini ni part ya tamaduni tu.. Not necessarly ina maanisha wanaokuomba wana dhiki sana kiasi usipowapa watakufa
Kuonesha ndinga ..lazima uombwe hela tuMada yako nafikiri haiwahusu wale ambao kila wakipata vijisenti lazima wakimbilie huko nyumbani kwenda kutamba, kuvimba na kuuza sura kuwa wana hela.
Hivyo unavyofanyiwa na watu wa mikoani/vijijini ndivyo na nyie wa mjini mnavyowafanyia wazungu wakija kutalii. Mkiwaona tu wazungu mnaanza kuwaombaomba hela hadi mpaka wameshatengeneza kasystem ka kuhabarishana namna ya "kudeal" na watanzania wanapokuja Tanzania. Mnadhani kila mzungu ni tajiri?Habari za muda huu wana Jf.
Kuna katabia fulani wanacho baadhi ya watu waishio mikoani huwa inaudhi na kukera sana, mno yani[emoji35]. Tunafahamu, huko ndio chimbuko la uzao wa walio wengi umeanzia, tunaelewa umuhimu wenu, na tunapaswa kuwasaidia.
Ila hiyo dhana ya kudhani mtu nakitoka mjini anakuja na mafurushi ya hela itoeni kabisa kilini mwenu[emoji41]. Nyie ndio mnaofanya watu waonekane wameasi kwao, unaweza kuta mtu amekaa miaka zaidi ya mitano (5) hajaenda kwako.
Kwa namna moja ama nyingine hii inaweza kuwa sababu moja wapo.
Mnaomba sana mpaka mnaboa...inafika wakati unatamani kwenda kusalimia ndugu wengine lakini unakosa uhuru kutokana na balance uliyonayo na sisi wengine tumelelewa vyema huwezi kumnyima mtu mzima hela.
Yani nimefika kijijini leo siku ya tatu lakini mpaka nakosa amani, yani mtu anatoka nyumbani kwake tena sio hata ndugu wa karibu, anakuja kabla hata hujaamka kisa kaambiwa huko kilabuni kuna mtoto wa fulani ametoka DAR kuja kusalimia, hivyo hawezi kosa chochote.
Atakaa hapo ale anywe na akiondoka umpe chochote, leo asubuhi nimekuta watu 6, [emoji44][emoji20][emoji20][emoji20] achilia mbali juzi na jana...kila mtu ana badget zake.
Leo imebidi nimwite mzee chemba. Nimemkabidhi fungu lao, na nikamwambia kabisa nimebaki na hela ya mafuta ya kunirudisha Dar, sasa kama wewe ndio umewaambia nipo hapa kawape hizo zako na mkeo.
Siku tatu nitumie 600k just kwa kugawa gawa tu nakulisha familia za watu wasijue hata mjini na ishije[emoji20][emoji850][emoji848][emoji848][emoji848]
Mtanisamehe kwa kweli[emoji120], kama nitatafsirika nina roho mbaya acha ionekane hivyo.
Mliokutana na huu upuuzi hebu changieni tupate la kujifunza.
Ukweli lazima usemwe no mattet what[emoji41]
Hiko kijiji chenu kibokoHabari za muda huu wana Jf.
Kuna katabia fulani wanacho baadhi ya watu waishio mikoani huwa inaudhi na kukera sana, mno yani[emoji35]. Tunafahamu, huko ndio chimbuko la uzao wa walio wengi umeanzia, tunaelewa umuhimu wenu, na tunapaswa kuwasaidia.
Ila hiyo dhana ya kudhani mtu nakitoka mjini anakuja na mafurushi ya hela itoeni kabisa kilini mwenu[emoji41]. Nyie ndio mnaofanya watu waonekane wameasi kwao, unaweza kuta mtu amekaa miaka zaidi ya mitano (5) hajaenda kwako.
Kwa namna moja ama nyingine hii inaweza kuwa sababu moja wapo.
Mnaomba sana mpaka mnaboa...inafika wakati unatamani kwenda kusalimia ndugu wengine lakini unakosa uhuru kutokana na balance uliyonayo na sisi wengine tumelelewa vyema huwezi kumnyima mtu mzima hela.
Yani nimefika kijijini leo siku ya tatu lakini mpaka nakosa amani, yani mtu anatoka nyumbani kwake tena sio hata ndugu wa karibu, anakuja kabla hata hujaamka kisa kaambiwa huko kilabuni kuna mtoto wa fulani ametoka DAR kuja kusalimia, hivyo hawezi kosa chochote.
Atakaa hapo ale anywe na akiondoka umpe chochote, leo asubuhi nimekuta watu 6, [emoji44][emoji20][emoji20][emoji20] achilia mbali juzi na jana...kila mtu ana badget zake.
Leo imebidi nimwite mzee chemba. Nimemkabidhi fungu lao, na nikamwambia kabisa nimebaki na hela ya mafuta ya kunirudisha Dar, sasa kama wewe ndio umewaambia nipo hapa kawape hizo zako na mkeo.
Siku tatu nitumie 600k just kwa kugawa gawa tu nakulisha familia za watu wasijue hata mjini na ishije[emoji20][emoji850][emoji848][emoji848][emoji848]
Mtanisamehe kwa kweli[emoji120], kama nitatafsirika nina roho mbaya acha ionekane hivyo.
Mliokutana na huu upuuzi hebu changieni tupate la kujifunza.
mtoa mada sema tu ni tabia ilioko kijijin kwenuSasa tabia za watu wa kijijini kwenu unazi generalize kwa nchi nzima. BTW ungewambia hao wanakijiji wakakuelewa na sio kuja kulialia humu.
watu mna maneno hatariiPoint ni kwamba huna hela basi