Aisee hii kwel kabisa toka nizamie mjini Sasa Kila nikiwaza kwenda kuwasalimu nikiwaza hili swala naahirisha๐Habari za muda huu wana Jf.
Kuna katabia fulani wanacho baadhi ya watu waishio mikoani huwa inaudhi na kukera sana, mno yani[emoji35]. Tunafahamu, huko ndio chimbuko la uzao wa walio wengi umeanzia, tunaelewa umuhimu wenu, na tunapaswa kuwasaidia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Halafu kuna watu wanawatete huku nilipanga kukaa wiki mbili kwa hali ninayoiyona siwez aiseee[emoji848]Aisee hii kwel kabisa toka nizamie mjini Sasa Kila nikiwaza kwenda kuwasalimu nikiwaza hili swala naahirisha[emoji23]
Punguza mdomo mtoto wa kiume, kumbe huelewi hata nini maana ya jamii forum[emoji41]Kuliko kuja kuandika hapa jukwaani ambako watu wa huko kijijini kwenu hawatakusikia ni kheri ungeenda kwa mwenyekiti akusanye wanakijiji wote uwaambie wenyewe, sisi huku hatuna msaada kwa hilo.
Ee maneno ya watu wa wapi tena haya, ila hongera yako brother wewe unayejua maana ya jf.Punguza mdomo mtoto wakiume, kumbe huelewi hata nini maana ya jamii forum[emoji41]
Ukifa hao ndo watakaokuja kukuchimbia kaburi, mambo mengine kama yanakera kutoka kwa ndugu zako wasitiri kwa kukaa kimya kuwatuhumu kwenye mitandao ya kijamii ni ushambaSina cha kukujibu ila ushauri wangu acha ushabiki zingatia maudhui
Humu uliowaandikia wote wa mjini hakuna mtu wa aina ya unaowazungumzia. Awe JF halafu akusubiri wewe wa mjini umpatie 2000 au 1000? Hakuna. Umejisumbua. Rudi kijijini kwenu kawaambie uso kwa uso.Habari za muda huu wana Jf.
Kuna katabia fulani wanacho baadhi ya watu waishio mikoani huwa inaudhi na kukera sana, mno yani[emoji35]. Tunafahamu, huko ndio chimbuko la uzao wa walio wengi umeanzia, tunaelewa umuhimu wenu, na tunapaswa kuwasaidia.
Tukienda kijijini tusambaze upendo.Huu uzi urudiwee
Kuna mtu anaanza kazi mjini mshahara wa kwanza tu anataka kusafiri kwenda nyumbani๐๐๐๐Mada yako nafikiri haiwahusu wale ambao kila wakipata vijisenti lazima wakimbilie huko nyumbani kwenda kutamba, kuvimba na kuuza sura kuwa wana hela.
Mimi mwenyewe nina ndugu zangu wa hivyo.Kuna mtu anaanza kazi mjini mshahara wa kwanza tu anataka kusafiri kwenda nyumbani๐๐๐๐
[emoji3][emoji3][emoji3]Kuna watu wana mbwembwe..Kuna mtu anaanza kazi mjini mshahara wa kwanza tu anataka kusafiri kwenda nyumbani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]