Watu wa mikoani (Vijijini), badilikeni too much!

Duh....Tanzania tunasafari ndefu sana[emoji848]
 
Tumekuelewa mkuu. Na nyinyi mkija muache kubeba mazao yetu na kujaza kwenye magari yenu. Aidha, mkome kudinya mademu zetu blaadfakin nyie. Mnakuja na vijinzi vyenu mibato, vimechanikachanika mapajani, mademu zetu wazuriwazuri wanawashobokeeni mnawadinya kinoma. Mkiondoka nyuchi zao zote zina sugu. Pumbafu nyie. Sasa mkome!
 
Siku zote watu wanakosea padogo sana, na nashindwa kuwaelewa, hivi kwanini ukose raha kila unapotaka kwenda kwenu kuwasalimia Wazazi wako/ndugu zako iwe tatizo?

Wazazi wako kukuona wewe ikiwa mnaishi mbali ni faraja tosha, na hawana shida na Pesa yako.

Muhimu wewe kila unapoenda kwenu wafikirie Wazazi wako, na ndugu zako wa karibu. Hao jamaa wengine ni kutokana na mazoea uliyojiwekea nayo ndio maana wanajazana kwenu, usingekuwa na mazoea hayo wasingekuja
 
Punguza hasira bro[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mada yako nafikiri haiwahusu wale ambao kila wakipata vijisenti lazima wakimbilie huko nyumbani kwenda kutamba, kuvimba na kuuza sura kuwa wana hela.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huu mtindo anao baba na mama. Yaan akiombwa anatoa elf 5, hahaha hata hajari yeye.
 
Hakika kama tungekua tunamake kwa njia hiyo Leo hii Tanzania isingekua masikini
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] advance unaombwa hela? Khaaah
 
Nimecheka hapa mbavu sina daaah, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaaah kimeumana lol
 
Pole sana mkuu..

Lakini hao mademu zenu hatutaacha kuwadinya wakitushobokea.
 
Wengi hasa ni wachagga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…