Tetesi: Watu wa Mkuranga wanalalamika kupigwa na Polisi

New member!!
 
Kama kweli kitu kama hicho kimetokea polisi wategemee sifuri kufanikisha zoezi lao hatuendi hivyo hata wakati wa vita tulifanikiwa kwa ushirikiano na wananchi wa Uganda ila tahadhari lazima iwepo kwa sababu unakuwa hujui mwema na msaliti

Wakati wa vita lazima wangetoa ushirikiano usipotoa Kwa wanajeshi kifo kilikuita.

Ila hawa wananchi wa hapo Pwani acha wapigwe Hakuna namna maana wanafunga majambazi!!
 
Daah kwahiyo wanamalizia Hasira zao kwa raia wema?

Sasa hapo ni kuongeza chuki na raia wema hawatawasaidia polisi kama wataendelea na uonevu huo, badala yake watawasaidia majambazi!
Hakuna raia mwema hapo, hayo majambazi ni watoto wao, ndugu zao, wajomba zao, na waume zao - wanakula kwao na wanawaona
 
polic wetu tz hajielewi kbsa..wanazid kuongeza chuki tu kwa raia..km wao ni vidume wamtafute kidume mwenzao yule..
 
Mkuu weka mbinu mbadala hapa tofauti nahiyo ya kuwatisha iliwatoetaarifa za wahalifu.
Wasipo wafichua wahalifu watakuwa wanawasaidia police kilamara, wasisubiri kufundishwa jinsi ya kuisaidia police.
Wawe wazalendo tu hakuna namna.

Ccp wanafundishwa kucharaza wananchi viboko?
 
Polisi wameuawa,wao wanashangilia!! Viongozi wa mitaa wamepigwa risasi hadi kupoteza maisha,wenyeji wanakenua meno tu.Nyambafu kabisa. Na wapigwe tu,pigeni hadi wapate akili.
Kichwa maji
 
Police hawajielewi kabisa yaani mtu afanye uharifu mkuranga alafu unategemea utamkuta hapohapo huo ni ufala wanaopgwa sasahv wala hata hawausiki
 
Hii kitu mm leo imenikumba ila mm sikupigwa ila wanacho fanya police wetu si haki ata kidogo kwa raia maana pale walipoweka check point pamekua na hofu tupo asa watapata vip taarifa kama raia wenyewe mnawatisha wanakua wakali watemi wapunguze ubabe ili kazi iwe rais kuwapata awo waarifu lakin kwa mtindo ule watakamata wakulima wakiwa wanatoka shamba na mapanga na mjembe alafu wataambiwa waarifu
 
Polisi wameuawa,wao wanashangilia!! Viongozi wa mitaa wamepigwa risasi hadi kupoteza maisha,wenyeji wanakenua meno tu.Nyambafu kabisa. Na wapigwe tu,pigeni hadi wapate akili.

Wakipigwa ndio watasema ukweli?hope huna ndugu huko ndo maana unaropoka hayo
 

Inasikitisha sana mkuu ila tutafanyaje watu watapigwa bila huruma
 
Hilo ndo kosa.aliyeuwa alikuwa mmoja.hao unawaadhibu kwa lipi?.chuki haitoisha.wekeni kambi.ongeeeni na raia vizuri.watawataja wahalifu.mbona RAIA hawauliwi.?kuna tatizo sio ujambazi ni ugaidi
 
Hv polisi kwa akili ndogo tu mtu aliefanya lile tukio atakua bado mkuranga kweli?usiku ule ukute ameshatambaa zake mpk ukerewe huko now anachek tu mambo yanavyoenda mnawapiga wananchi mnawaonea ukute alikuja na bada wakapaki hapo na kufanya tukio wakaondoka sasa raia watawajuaje?endeleeni kuwapiga Mungu atawajibia
 
~AFRICAN INTELEGENCY;-
RAIA NDIYO INFORMER WA WAHALIFU NUMBER ONE...!,
•KUWA PIGA AU KUWASHURUTISHA KWA LOLOTE NI KUWAOGOFYA..!/
MUNGU TUPE HEKIMA NA BUSARA.
Nguvu ndiyo intelijensia ya majeshi yetu
 
Sasa wakiuwawa na majambazi halafu raia washangilie..... Mangu atawaijia juu hao raia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…