Pre GE2025 Watu wa mwambao wana utamuduni wao, hakuna shaka watamchagua Mama samia kiti cha Urais. Kwa nafasi ya Wabunge...

Pre GE2025 Watu wa mwambao wana utamuduni wao, hakuna shaka watamchagua Mama samia kiti cha Urais. Kwa nafasi ya Wabunge...

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mohamed Abubakar

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2014
Posts
984
Reaction score
1,179
Watu wa Mwambao wana utamaduni wao unayotokana na dini yao.

Musiwapangie sawa na utamaduni wenu.

Utafiti nilioufanya kwa watu wa mwambao huwaambii kitu, weshamchagua Samia kura ya Urais.

Yaani haijalishi. Jambo lolote litalofanywa na watendaji wa Serikali litakaloumiza hisia za Waislam kwa kipindi hili; watu hawa wataibuka na kusema msitugombanishe na Rais wetu, mama yetu na tunampenda.

Utafiti nilioufanya chadema ina nafasi kubwa ya kutoa viti vya ubunge na udiwani iwapo watachanga karata yao vizuri.

Kama walivyo wazanzibar tukisema leo tubadili katiba ili wao wawe na mamlaka zaidi ya kiutawala. Watasheherekea siku hiyo.
Vivyo hivyo kwa watu wa mwambao.

Chadema ina sera ya utawala wa majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe. Iwapo chadema itafanya ushawishi wa siri kwaa watu wa mwambao, wakaandikishina kwa siri kuwa chadema ikishinda itaanzisha serikali ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Chadema ikawaachia majimbo ya mwambao wawaeke wagombea wanaowataka wao.

Ni wazi chadema itashinda serikali kwa idadi kubwa ya viti vya ubunge kuwezesha kutunga sheria na kuweza kusimamia sera yao ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Hivyo hata Samia akishinda nafasi ya urais, hatokuwa na uwezo au maguvu aliyonayo sasa.

Ushauri wangu wa bure; Watz tuungane na dhana hii. Kwani hata tukisema tulazikishe mgombea wa urais chadema ashinda sawa na sera hii ya majimbo hatokuwa na nguvu kama katiba ya sasa inavyotoa mamlaka makubwa kwa rais.

Hivyo ni vema tukaungana kumpa Rais Samia kura za urais. Kwa kuwa ndilo jambo kubwa analolitakata. Tunhakikishie ili asiendelee kutumia mapesa kujifanyia kampeni.

Lkn tupeleke nguvu za ushawishi kwa watz wote. Kama serikali ya ccm ina wabunge wote, madiwani wote, wenyeviti wa serikali za mitaa wote. Lkn hakuna tofauti yyt waliyoyafanya. Ni vema basi tupeleke ushawishi huu kuwa tuwachague wabunge wote wa upinzani na hasa wabunge kutoka vyama vyenye sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Hii ndio karata bora na nguvu inapohitajika ya propaganda na ushawishi kwa watz
 
Watu wa Mwambao wana utamaduni wao unayotokana na dini yao.

Musiwapangie sawa na utamaduni wenu.

Utafiti nilioufanya kwa watu wa mwambao huwaambii kitu, weshamchagua Samia kura ya Urais.

Yaani haijalishi. Jambo lolote litalofanywa na watendaji wa Serikali litakaloumiza hisia za Waislam kwa kipindi hili; watu hawa wataibuka na kusema msitugombanishe na Rais wetu, mama yetu na tunampenda.

Utafiti nilioufanya chadema ina nafasi kubwa ya kutoa viti vya ubunge na udiwani iwapo watachanga karata yao vizuri.

Kama walivyo wazanzibar tukisema leo tubadili katiba ili wao wawe na mamlaka zaidi ya kiutawala. Watasheherekea siku hiyo.
Vivyo hivyo kwa watu wa mwambao.

Chadema ina sera ya utawala wa majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe. Iwapo chadema itafanya ushawishi wa siri kwaa watu wa mwambao, wakaandikishina kwa siri kuwa chadema ikishinda itaanzisha serikali ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Chadema ikawaachia majimbo ya mwambao wawaeke wagombea wanaowataka wao.

Ni wazi chadema itashinda serikali kwa idadi kubwa ya viti vya ubunge kuwezesha kutunga sheria na kuweza kusimamia sera yao ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Hivyo hata Samia akishinda nafasi ya urais, hatokuwa na uwezo au maguvu aliyonayo sasa.

Ushauri wangu wa bure; Watz tuungane na dhana hii. Kwani hata tukisema tulazikishe mgombea wa urais chadema ashinda sawa na sera hii ya majimbo hatokuwa na nguvu kama katiba ya sasa inavyotoa mamlaka makubwa kwa rais.

Hivyo ni vema tukaungana kumpa Rais Samia kura za urais. Kwa kuwa ndilo jambo kubwa analolitakata. Tunhakikishie ili asiendelee kutumia mapesa kujifanyia kampeni.

Lkn tupeleke nguvu za ushawishi kwa watz wote. Kama serikali ya ccm ina wabunge wote, madiwani wote, wenyeviti wa serikali za mitaa wote. Lkn hakuna tofauti yyt waliyoyafanya. Ni vema basi tupeleke ushawishi huu kuwa tuwachague wabunge wote wa upinzani na hasa wabunge kutoka vyama vyenye sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Hii ndio karata bora na nguvu inapohitajika ya propaganda na ushawishi kwa watz
Siasa za udini na ukabila zimepitwa na wakati. Watu wanatakiwa kupiga kura kwa kuangalia hoja.

Zaidi, watu wa mwambao wote hawafanani.
 
binafsi sina shaka na uraisi kwani hata aje nani tutaendelea kuumia kwani nchi haina dira.
ni wazi na kila Tanzania mwenye utambuzi wa maswala ya uongozi au mwenye akili timamu ankiri na kujua kuwa kwa sasa nchi yetu iko katika autopilot mode.
autopilotmode: kwa sbabu kila "mtawala" anayekalia dola anaongoza kwa utashi wake na mapenzi na silo kwa kufuata dira ya chi ambayo wananchi wamemuajiri kuitekeleza.
hatuna budu kama taifa kuwa na wivu wa shabaha sahihi ya maendeleo kkuliko maendeleo yenyewe! shabaha sahihi itakufanya upate maendeleo kwa baraka na thabiti.
tunafanya Diana Katina uandaaji wa
dira ya taifa kitu ambacho siyo sahihi na hatupaswi hata siku moja kuliacha kama jukumu la wanasiasa. tunavyoendelea kuwachekelea wanasiasa wakiwapatia vijana wetu posho na hongo za vyakula na vinywaji katika matamasha na "makongamano batili" ambayo ndani yake aidha yamejumuisha kampeni za chama tawala au shughuli yoyote ya kisiasa au vote kwa pamoja.

vijana hawala buddy kuwa na waive na nchi Yao kuliko familia zao kwani familia zoo zitahitaji maamuzi na uwajibikaji wao kipindi ambacho wao watakuwa wamefungwa kwa namna yoyote ile.
 
Hivi hakuna namna nyingine ya kutumia kiuandishi ili kuondoa huo ujinga tuliomezeshwa na Warabu na wazungu kwamba hiyo ndo kila kitu wakati wao wamejikita kujiletea maendeleo bila kujali dini zao?

Tumekuwa wapumbavu licha kwamba tumeendelea kuelimika?

Udini hauna maana kabisa linapokuja suala la kitaifa

Mwandishi ni msomi kabisa mwenye Degree kadhaa, lakini naye kaamua kuandika uleule ujinga wa kidini?

Kwa nini dini zetu tusizizungumze tunapokuwa nje ya mada ya kitaifa?
 
Watu wa Mwambao wana utamaduni wao unayotokana na dini yao.

Musiwapangie sawa na utamaduni wenu.

Utafiti nilioufanya kwa watu wa mwambao huwaambii kitu, weshamchagua Samia kura ya Urais.

Yaani haijalishi. Jambo lolote litalofanywa na watendaji wa Serikali litakaloumiza hisia za Waislam kwa kipindi hili; watu hawa wataibuka na kusema msitugombanishe na Rais wetu, mama yetu na tunampenda.

Utafiti nilioufanya chadema ina nafasi kubwa ya kutoa viti vya ubunge na udiwani iwapo watachanga karata yao vizuri.

Kama walivyo wazanzibar tukisema leo tubadili katiba ili wao wawe na mamlaka zaidi ya kiutawala. Watasheherekea siku hiyo.
Vivyo hivyo kwa watu wa mwambao.

Chadema ina sera ya utawala wa majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe. Iwapo chadema itafanya ushawishi wa siri kwaa watu wa mwambao, wakaandikishina kwa siri kuwa chadema ikishinda itaanzisha serikali ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Chadema ikawaachia majimbo ya mwambao wawaeke wagombea wanaowataka wao.

Ni wazi chadema itashinda serikali kwa idadi kubwa ya viti vya ubunge kuwezesha kutunga sheria na kuweza kusimamia sera yao ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Hivyo hata Samia akishinda nafasi ya urais, hatokuwa na uwezo au maguvu aliyonayo sasa.

Ushauri wangu wa bure; Watz tuungane na dhana hii. Kwani hata tukisema tulazikishe mgombea wa urais chadema ashinda sawa na sera hii ya majimbo hatokuwa na nguvu kama katiba ya sasa inavyotoa mamlaka makubwa kwa rais.

Hivyo ni vema tukaungana kumpa Rais Samia kura za urais. Kwa kuwa ndilo jambo kubwa analolitakata. Tunhakikishie ili asiendelee kutumia mapesa kujifanyia kampeni.

Lkn tupeleke nguvu za ushawishi kwa watz wote. Kama serikali ya ccm ina wabunge wote, madiwani wote, wenyeviti wa serikali za mitaa wote. Lkn hakuna tofauti yyt waliyoyafanya. Ni vema basi tupeleke ushawishi huu kuwa tuwachague wabunge wote wa upinzani na hasa wabunge kutoka vyama vyenye sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Hii ndio karata bora na nguvu inapohitajika ya propaganda na ushawishi kwa watz
Kwa fikira na maoni yangu mimi naamini upinzani ni rahisi zaidi kumwangusha Samia kama wataweka mtu strong na kama nchi tukifanikiwa kuzuia wizi wa kura. Wabunge wengi wa ccm wanazo wanazo base na Kwa hivyo wengi wanaweza kushinda lakini siyo Samia.
 
Watu wa Mwambao wana utamaduni wao unayotokana na dini yao.

Musiwapangie sawa na utamaduni wenu.

Utafiti nilioufanya kwa watu wa mwambao huwaambii kitu, weshamchagua Samia kura ya Urais.

Yaani haijalishi. Jambo lolote litalofanywa na watendaji wa Serikali litakaloumiza hisia za Waislam kwa kipindi hili; watu hawa wataibuka na kusema msitugombanishe na Rais wetu, mama yetu na tunampenda.

Utafiti nilioufanya chadema ina nafasi kubwa ya kutoa viti vya ubunge na udiwani iwapo watachanga karata yao vizuri.

Kama walivyo wazanzibar tukisema leo tubadili katiba ili wao wawe na mamlaka zaidi ya kiutawala. Watasheherekea siku hiyo.
Vivyo hivyo kwa watu wa mwambao.

Chadema ina sera ya utawala wa majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe. Iwapo chadema itafanya ushawishi wa siri kwaa watu wa mwambao, wakaandikishina kwa siri kuwa chadema ikishinda itaanzisha serikali ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Chadema ikawaachia majimbo ya mwambao wawaeke wagombea wanaowataka wao.

Ni wazi chadema itashinda serikali kwa idadi kubwa ya viti vya ubunge kuwezesha kutunga sheria na kuweza kusimamia sera yao ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Hivyo hata Samia akishinda nafasi ya urais, hatokuwa na uwezo au maguvu aliyonayo sasa.

Ushauri wangu wa bure; Watz tuungane na dhana hii. Kwani hata tukisema tulazikishe mgombea wa urais chadema ashinda sawa na sera hii ya majimbo hatokuwa na nguvu kama katiba ya sasa inavyotoa mamlaka makubwa kwa rais.

Hivyo ni vema tukaungana kumpa Rais Samia kura za urais. Kwa kuwa ndilo jambo kubwa analolitakata. Tunhakikishie ili asiendelee kutumia mapesa kujifanyia kampeni.

Lkn tupeleke nguvu za ushawishi kwa watz wote. Kama serikali ya ccm ina wabunge wote, madiwani wote, wenyeviti wa serikali za mitaa wote. Lkn hakuna tofauti yyt waliyoyafanya. Ni vema basi tupeleke ushawishi huu kuwa tuwachague wabunge wote wa upinzani na hasa wabunge kutoka vyama vyenye sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Hii ndio karata bora na nguvu inapohitajika ya propaganda na ushawishi kwa watz
Sina hakika kama una ubongo, umeandika utumbo mtupu! Hivi na wewe unalipwa!?
Kama watu wa pwani wakiamua mumpa hizo kura vipi kuhusu kanda ya ziwa, kaskazini, magharibi n.k? Kichwa chako kimejaa takataka
 
Hii ni shubiri.

Ni ngumu kumeza. Hata kama ni dawa kwa taifa
Wewe ni muongo huku mikindani malalamiko ni mengi mno dhidi ya huyo samia,kwanza muulize hawa ghasia alivyokatawala kwa tabu mno kwasababu tamaduni za pwani mwanamke hawi kiongozi,hiyo hali mpaka salma kikwete inamsumbua pale mchinga
 
Sina hakika kama una ubongo, umeandika utumbo mtupu! Hivi na wewe unalipwa!?
Kama watu wa pwani wakiamua mumpa hizo kura vipi kuhusu kanda ya ziwa, kaskazini, magharibi n.k? Kichwa chako kimejaa takataka
Siwezi kuzisemea kanda nyingine. Lakini naamini kwa utamaduni wa watz; na ndugu ya rais aliye madarakani akiamua kutaka Urais ktk Serikali za kifashisti. Hafeli. Atashinda tu.

Kwa vile mama Samia kauamulia. Tusipoteze muda wetu. Kwani hata wananchi hawako tayari kupotezewa muda na wanasiasa.

Bali ubunifu ndio utakaowalewa wananchi ktk kupiga kura. Njia nyepesi zaidi ni kuwatangazia umma na kuusgawishi kuwa sisi kama wananchi tuchague wabunge wote kama si wengu wachague upinzani ili mg Samia apate challenge ya kuwa na wabunge wengi wa upinzani.

Lkn kulitokea matokeo tofauti na utabiri huu. Hakuna shika Kwani kimsingi watu wa mwambao wanataka serikali za kanda zenye uhuru zaidi au uhuru kamili wa kujiamulia mambo yao wenyewe
 
Siwezi kuzisemea kanda nyingine. Lakini naamini kwa utamaduni wa watz; na ndugu ya rais aliye madarakani akiamua kutaka Urais ktk Serikali za kifashisti. Hafeli. Atashinda tu.

Kwa vile mama Samia kauamulia. Tusipoteze muda wetu. Kwani hata wananchi hawako tayari kupotezewa muda na wanasiasa.

Bali ubunifu ndio utakaowalewa wananchi ktk kupiga kura. Njia nyepesi zaidi ni kuwatangazia umma na kuusgawishi kuwa sisi kama wananchi tuchague wabunge wote kama si wengu wachague upinzani ili mg Samia apate challenge ya kuwa na wabunge wengi wa upinzani.

Lkn kulitokea matokeo tofauti na utabiri huu. Hakuna shika Kwani kimsingi watu wa mwambao wanataka serikali za kanda zenye uhuru zaidi au uhuru kamili wa kujiamulia mambo yao wenyewe
Empty vassels
 
Hivi hakuna namna nyingine ya kutumia kiuandishi ili kuondoa huo ujinga tuliomezeshwa na Warabu na wazungu kwamba hiyo ndo kila kitu wakati wao wamejikita kujiletea maendeleo bila kujali dini zao?

Tumekuwa wapumbavu licha kwamba tumeendelea kuelimika?

Udini hauna maana kabisa linapokuja suala la kitaifa

Mwandishi ni msomi kabisa mwenye Degree kadhaa, lakini naye kaamua kuandika uleule ujinga wa kidini?

Kwa nini dini zetu tusizizungumze tunapokuwa nje ya mada ya kitaifa?
shida kubwa iko katika sera zainazosimamia habari na uandishi (sekta ya habari kwa ujumla) lakini pia ni umahiri wa sanaa na "tamaduni" zetu.
kiufupi sera za nchini kwetu ukiziangalia utagundua hazina mpango wala shabaha ya kuinua na kuleta utaifa kubwa zaidi hazijali wananchi bali zimejikita katika kuilinda na kuwalinda serikali na watawala nakuweka tabaka katika taifa letu.
 
Watu wa Mwambao wana utamaduni wao unayotokana na dini yao.

Musiwapangie sawa na utamaduni wenu.

Utafiti nilioufanya kwa watu wa mwambao huwaambii kitu, weshamchagua Samia kura ya Urais.

Yaani haijalishi. Jambo lolote litalofanywa na watendaji wa Serikali litakaloumiza hisia za Waislam kwa kipindi hili; watu hawa wataibuka na kusema msitugombanishe na Rais wetu, mama yetu na tunampenda.

Utafiti nilioufanya chadema ina nafasi kubwa ya kutoa viti vya ubunge na udiwani iwapo watachanga karata yao vizuri.

Kama walivyo wazanzibar tukisema leo tubadili katiba ili wao wawe na mamlaka zaidi ya kiutawala. Watasheherekea siku hiyo.
Vivyo hivyo kwa watu wa mwambao.

Chadema ina sera ya utawala wa majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe. Iwapo chadema itafanya ushawishi wa siri kwaa watu wa mwambao, wakaandikishina kwa siri kuwa chadema ikishinda itaanzisha serikali ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Chadema ikawaachia majimbo ya mwambao wawaeke wagombea wanaowataka wao.

Ni wazi chadema itashinda serikali kwa idadi kubwa ya viti vya ubunge kuwezesha kutunga sheria na kuweza kusimamia sera yao ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Hivyo hata Samia akishinda nafasi ya urais, hatokuwa na uwezo au maguvu aliyonayo sasa.

Ushauri wangu wa bure; Watz tuungane na dhana hii. Kwani hata tukisema tulazikishe mgombea wa urais chadema ashinda sawa na sera hii ya majimbo hatokuwa na nguvu kama katiba ya sasa inavyotoa mamlaka makubwa kwa rais.

Hivyo ni vema tukaungana kumpa Rais Samia kura za urais. Kwa kuwa ndilo jambo kubwa analolitakata. Tunhakikishie ili asiendelee kutumia mapesa kujifanyia kampeni.

Lkn tupeleke nguvu za ushawishi kwa watz wote. Kama serikali ya ccm ina wabunge wote, madiwani wote, wenyeviti wa serikali za mitaa wote. Lkn hakuna tofauti yyt waliyoyafanya. Ni vema basi tupeleke ushawishi huu kuwa tuwachague wabunge wote wa upinzani na hasa wabunge kutoka vyama vyenye sera ya majimbo yenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yao wenyewe.

Hii ndio karata bora na nguvu inapohitajika ya propaganda na ushawishi kwa watz
Bado hujaweka bayana huo utamaduni ndio upi?
 
Sina hakika kama una ubongo, umeandika utumbo mtupu! Hivi na wewe unalipwa!?
Kama watu wa pwani wakiamua mumpa hizo kura vipi kuhusu kanda ya ziwa, kaskazini, magharibi n.k? Kichwa chako kimejaa takataka
Ikifika suala la dini yake akili yake huamia matakoni
 
Back
Top Bottom