Watu wa Mwanza hizi rangi mnapaka kwenye nyumba huwa mnawaza nini?

Watu wa Mwanza hizi rangi mnapaka kwenye nyumba huwa mnawaza nini?

Ingia Instagram account za madalali wa Dar utakutana na hizo rangi pia.
 
Huwa napenda kupita mtandao wa Jiji.co.tz kuangalia nyumba na vitu mbalimbali. Nimeshangazwa na rangi ya baadhi ya nyumba za Mwanza. Ukipita humo utaziona. Huwa mnawaza nini watu wa Mwanza?
236174_dalalimwanza-mwanza-20200509-160642-2_7_1080x1080.webp


3357129_MTAyNC03NjgtZDBiN2IzZjExMg.webp


3224061_MTAyNC03NjktODAwMDYxYWM5Yg.webp

3182653_MTQ0MC0xMDgwLWEzNTA3MWJiZDg.webp


3187970_MTQ0MC0xMDgwLWEyZDgzOTE2YjY.webp


2639123_MTUwMC0xMTI1LTg4ZGI1MjA3ZWE.webp
Unacheza na sie wasukuma ww.
Huko ndani utakuta kuna rangi mia mbili kila ukuta na rangi ake. To yeye.

Hua napenda sana Subaru Forester lkn kuna Forester moja hua nikiona nasikia vby, tumbo kuuma, hamu ya chakula kukata yani ina Ile rangi ya Mountain Dew weeeeeeh acha ccy
 
Tafuta vitu vya kujadili vyenye kuleta maendeleo sasa unajadili rangi kweli?mbona maji hayana rangi
 
Rangi ya nyumba hutumika kama kielelezo na kuelekeza wageni.
 
Unataka wapake rangi unazozipenda wewe kwenye Nyumba zao na sio rangi wanazozipenda wahusika wenyewe?

Ipo siku pia utakuja na hoja ya kuwapangia watu wavae nguo za rangi gani.
 
Back
Top Bottom