Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani
na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
Huyo allah mleta amani imekuwaje hajaleta amani sudani(Khartoum),palestine ,somalia, Afghanistan,iraq, Syria nk ambako ndo chanzo chake aje alete amani kwa watu ambao sio chanzo chake!?

Badi aende na huko alikotoka akawape amani
 
Ebhana niaje, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.

1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sana.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi
3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa
5. Pemba maisha ni ghali sana
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue, yaani huku hawana habari za kutumiana wahuni, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida😃
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi, yaani majitu fulani mahuni, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu

13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)

14. Pemba shule inaitwa Skuli
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen

♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA
Siendi Pemba hata iweje, sehemu inayoendekeza Uislam mashetani ama majini ni kawaida kuyaona, yaani wapo nje nje tu. Ukijamba unatupiwa jini, ukila vizuri ni hivyo hivyo.....yaani full balaa.
 
Siendi Pemba hata iweje, sehemu inayoendekeza Uislam mashetani ama majini ni kawaida kuyaona, yaani wapo nje nje tu. Ukijamba unatupiwa jini, ukila vizuri ni hivyo hivyo.....yaani full balaa.

Maeneo kama hayo huwa hayana maendeleo,labda maendeleo ya kuuziana majini,wivu,chuki na husda.
 
Ongea na watu vizuri mkuu Pemba hadi vijiwe cha mchele vipo
 
Umesahau mkate mgumu kama jiwe ,ukitaka kuulw loweka kwenye chai nusu saa kabla!?
 
Back
Top Bottom