Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

Watu wa Pemba mnaweza vipi kuishi sehemu pagumu kama huku?

Muongo Sana wewe,tangu zamani watu wanaoenda Sana visiwani ni wanyamwezi,hata vibarua mashambani ni wanyamwezi,Sasa wao kila atokae Bara humuita mnyamwezi,kabla ya mapalala na lipumba
Nadhani hata wazanzibari wote kwa bara wanaitwa "wapemba" tu wakati wao pia wana makabila yao mfano wamakunduchi, watumbatu, wakojani, washirazi
 
Ebhana niaje, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.

1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sana.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi
3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa
5. Pemba maisha ni ghali sana
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue, yaani huku hawana habari za kutumiana wahuni, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida😃
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi, yaani majitu fulani mahuni, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu

13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)

14. Pemba shule inaitwa Skuli
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen

♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA
mbn mm na demu wa kipemba na alikuwa anakuja sana camp nimepiga sana
 
Pemba 100% ya wadada ambao hawajaolewa ni bikra (upande wa mbele), lkn kwa nyuma hawana malinda.
Acha kuchafua watu bhana. Hujawahi hata kupanda feri kuvuka Kigamboni unazushia watu mambo ya TG
 
1. Wanahudumia mteja kwa kujisikia. Siku ya kwanza tu kula machomane nusura nigombane na mhudumu. Nikakausha sipendi kabisa kugombana na wanawake wahudumu.
2. Wanapenda chakula cha baridi. Kila mahali utapewa chakula kimepoa.
3. Watu wana shombo la samaki hata asubuhi (Vumba) Sorry mjitahidi…..
4. Kwa wanawake kama haujazoea nguo ndefu sana ukivaa , tuna kawaida ya kuishikilia kidogo isiburuzike, kwenye kushika nguo inaweza kufunuka miguu ikaonekana, wanaume watakuangalia pale palipofunuka kwa uchu! Miguu tu!!!!
5. Watu ni wakarimu kwa kuongea, sio visirani.
 
Vipi kuhusu magonjwa makubwa
Vipi umri wao kuishi ni kama bara?
Afya zao vipi
Nimeona wanaume ndio wanabeba vikapu kwenda kuhemea marikiti
 
Ebhana niaje, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.

1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sana.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi
3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa
5. Pemba maisha ni ghali sana
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue, yaani huku hawana habari za kutumiana wahuni, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida😃
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi, yaani majitu fulani mahuni, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu

13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)

14. Pemba shule inaitwa Skuli
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen

♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA
Mixx by Yas wanatoa?
 
Nadhani hata wazanzibari wote kwa bara wanaitwa "wapemba" tu wakati wao pia wana makabila yao mfano wamakunduchi, watumbatu, wakojani, washirazi
Je hizo kabila km washirazi, watumbatu, wakojani wamakunduchi wana lugha yao ukiacha kiswahili cha kipemba ? Naona kama unasema wamanzese, wabughuruni, waostebei nk.
 
Je hizo kabila km washirazi, watumbatu, wakojani wamakunduchi wana lugha yao ukiacha kiswahili cha kipemba ? Naona kama unasema wamanzese, wabughuruni, waostebei nk.
, japo wote wanaongea Kiswahili Ila kuelewana kimazungumzo na mtumbatu NI kaz ngum
 
Back
Top Bottom