digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Huyo allah mleta amani imekuwaje hajaleta amani sudani(Khartoum),palestine ,somalia, Afghanistan,iraq, Syria nk ambako ndo chanzo chake aje alete amani kwa watu ambao sio chanzo chake!?8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani
na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
M nakuuliz km unazoUnazo?
Ndio maana wanalazimika kuoa mapema, tofauti na hapo ni kununua malaya tu.Wenyeji wa huko uroda wanapata wapi??
Wote??
Tarime ukiingia club wale wakurya wanacheza huku kiunon wana mapangaHii nchi kubwa sana, ukifika tarime ndo utashangaa zaidi
Siendi Pemba hata iweje, sehemu inayoendekeza Uislam mashetani ama majini ni kawaida kuyaona, yaani wapo nje nje tu. Ukijamba unatupiwa jini, ukila vizuri ni hivyo hivyo.....yaani full balaa.Ebhana niaje, niko pemba mwezi wa Tatu huu sasa. Pemba ni kamji kadogo kenye mambo yake ya kustahajabisha.
1. Wale dada zetu poa huku kuwapata ni kasheshe sana.
2. Pombe mpaka uende Messi huko kwenye ukumbi wa wanajeshi
3. Kupata Sigara pemba ni mtiti maduka yanayo uza fegi yanajulikana kabisa
4. Wanawake wakipemba hawaogopi Talaka kabisaaa
5. Pemba maisha ni ghali sana
6. Pemba hakuna migahawa local kama ile ya bara, na kama ipo inahesabika
7. Pemba kutupiana vijini ndio issue, yaani huku hawana habari za kutumiana wahuni, yaani ni vijini tu.
8. Pemba polisi hawafanyi kazi kubwa sababu ni mji uko na Amani na watu wake wengi wana hofu ya mungu(Allah)
9. Pemba Samaki bei kuliko Singida😃
10. Pemba usipo kuja na mke utakufa na nyege, utapiga puli mpka akili ikukae
11. Wapemba hawapatani na Waunguja(paka na panya)
12. Pemba watu wa bara tunaitwa Wanyamwezi, yaani majitu fulani mahuni, hayamjui mungu. Kumbe hawajui chochote, zaidi ya kusoma Bidaa tu
13. Pemba hakuna kufeli mtihani wa darasa la sita( hivi sasa ndio wanasoma mpka darasa la saba)
14. Pemba shule inaitwa Skuli
15. Pemba jojo au bablishi inaitwa Ubani
16. Wanawake wa kipemba wanalafudhi tamu sana inahamasisha kwakweli, ila ile lafudhi wanaume hawafai kuiongea
17. Pemba wanawake wanasura nzuri ila robo tatu ni flat screen
♧UKIPATA MUDA TEMBELEA PEMBA
Siendi Pemba hata iweje, sehemu inayoendekeza Uislam mashetani ama majini ni kawaida kuyaona, yaani wapo nje nje tu. Ukijamba unatupiwa jini, ukila vizuri ni hivyo hivyo.....yaani full balaa.
Hao malaya wananunua wapi na hawapo?Ndio maana wanalazimika kuoa mapema, tofauti na hapo ni kununua malaya tu.
BofloUmesahau mkate mgumu kama jiwe ,ukitaka kuulw loweka kwenye chai nusu saa kabla!?
Kweli kabisa na wananchi wake wamechoka ile mbaya. Wakitaka maendeleo wanaambiwa waendelee kusali tu raha iko mbinguni.Maeneo kama hayo huwa hayana maendeleo,labda maendeleo ya kuuziana majini,wivu,chuki na husda.
Wabongo akili yao ni kwenye zinaaa na pole tu!Maiafrika kuwaza ngono tu, sijaona fursa za kiuchumi wala ishu ya maana hapo
USSR
Usafiri wa ndege upoNatamani kufika Pemba ila kupanda boti ndo sitaki
Mwanamke sio mbuzi na hiyo ndio heshima ya mkeWazaz kuozesha kama wanafanya biashara hupati mke chini ya mil.1
Hujaiona hapo fursa ya kuuza pombe?Maiafrika kuwaza ngono tu, sijaona fursa za kiuchumi wala ishu ya maana hapo
USSR