Nilisema humu 2013 kwamba 2015 Rais ni Mh John Joseph Pombe Magufuli na nasema tna leo 2019 kuwa 2025 Rais ni Mh Seleman Jafo Yombo Lukinga Mojaaaaaaa
Muache kwanza ajue matatizo ya ndani ya nchi yke vzuri hlf tutamshauri Mh John Joseph Pombe Magufuli kuanzia 2020 ampe wizara ya mambo ya nje ushauri mzuri kaka tupo Pamoja lengo letu ni moja kuona Tanzania yetu inasonga mbele.....kama ccm wanataka Jafo awe mgombea wao basi wamteue Waziri wa Mambo nje, au wamteue we balozi ili awe na upeo mkubwa zaidi.
..sasa hivi nchi inapwaya na kuonekana kituko kwa sababu bwana mkubwa ana upeo mdogo sana kimataifa na hajui dunia inakwenda wapi.
..Tz inategemewa kuwa wakati wote Raisi wake kuwa ni intellectual heavy weight; anayeweza kuongoza na kuwasemea Maraisi wa nchi nyingine za Afrika ktk masuala mbalimbali.
Twende na Mh Seleman Jafo 2025 Waukae mtu wa watu Yombo Lukinga Moja...Kubashiri by accident 2015 doesnt mean jack shit!
Geuka prophet,geuka mganga,geuka mpiga ramli,etc...who cares?
Uliyotoa ni maoni kama maoni mengine!
Watu wa Pwani hata km anaongea kawaida unahis anachamba!au anaimba taarabu!eish!
Twende na Mh Seleman Jafo 2025 Waukae mtu wa watu Yombo Lukinga Moja...
Hivi ni watatu??duh..na kusafiri kote huko jaman hizo ngv unatoa wap?mamaaa!..ila wake zake watatu kidiplomasia na kimataifa itakuwa inaleta ukakasi.
Taratibu mkuu msije mkataja na majina...Kuna makabila kupewa tu uwaziri wa fedha au uwaziri wa mipango kila fedha zinaenda mikoa yao tu wakapewa ukuu Tanesco basi kila umeme kwao tu niradi yote walipeleka kwao maruhuni wakubwa Hadi migombani umeme unawaka
Jafo hongera kwa kujali nchi.Uhuru wa Tanzania ulianzia Pwani.Tanu ilianzia Pwani watu wa Pwani tunajali utaifa zaidi.Hongera Jafo kutuwakilisha vizuri watu wa pwani
Twende na Mh Seleman Jafo 2025 Waukae mtu wa watu Yombo Lukinga Moja...
Watu wa Pwani ndio wajengaji wakubwa wa nyumba za kupanga ulishaona mangi kajenga nyumba ya kupangisha watu Pwani au dar es salaam? Yeye kazi yake kujenga mijumba self contained yenye mivyumba kibao ya kukaa yeye na mabanda yake ya nguruwe tu hata kama Yuko peke yakeSasa mlitaka tuhangaike na watu kutwa kuchwa mko mnacheza ngoma na bao. Mlitaka tuwajengee nyumba. Mie sijawahi sikia duka ambalo siyo la mangi. Hivu ndugu huwa mnakwama wapi
Mbona magufuli kapewa urais akaishia kupeleka pesa chato au na yeye ni mchaga?Kuna makabila kupewa tu uwaziri wa fedha au uwaziri wa mipango kila fedha zinaenda mikoa yao tu wakapewa ukuu Tanesco basi kila umeme kwao tu niradi yote walipeleka kwao maruhuni wakubwa Hadi migombani umeme unawaka
Jafo hongera kwa kujali nchi.Uhuru wa Tanzania ulianzia Pwani.Tanu ilianzia Pwani watu wa Pwani tunajali utaifa zaidi.Hongera Jafo kutuwakilisha vizuri watu wa pwani
Sema wewe ni mchaga kwani huko Geita kulikwama kwa sababu nyinyi mlikuwa kwenye maamuzi mnapindisha miradi mnapeleka mashatiKatika kitu ambacho huwa najuta maishani sikuolewa na mchaga🤔!yaan tuseme kwel..kuna mikoa inazungukwa na vitu vya thamani lakini jamii inayozunguka sasa unajikuta unajiuliza hv hawa ni misukule?..mtu anamake hela lakini nyumba alojenga ni ya kawaidaaaa alafu yameridhika na biashara zao..wanachukulia easy sana ..nasemaga geita ingekuwa ina wachaga🤔🤔hayo maghorofa had tungejuta!kuna makabila ni kero...hawafai hata kushika nchi!wazitooo!shenji!
hamna cha vision ya taifa wala nini,tatizo huko kwenu pwani mwajua ngoma tu,na kukaa barazani sasa mnataka maendeleo ya nini.Hata Jafo mwenyewe anajua hilo anapeleka MAENDELEO YANAKOHITAJIKA HUKO KWENU MBAKI NA TEMBE ZENUWachaga Wana individual spirit .They are individualistic hawajali kuwa Tanzania Ina makabila zaidi ya 120 .Kila post wakipewa hawana broad vision ya nchi wako concentrated kwenye kikabila Chao tu tofauti na watu wa Pwani Kama Jafo ambao Wana vision ya Taifa sio watu wa Pwani tu
Mkuu niaje, watu kusifia kwao kwani kuna ubaya:hivi mtu unaweza kusema huu ni mkoa wangu ? kwa kipi ulichonacho zaidi ya mtanzania yoyote katika huo so called mkoa wako ?
Wakati watu wanataka kusonga mbele kwa kuondoa tofauti zao wengine wapo busy kuonyesha usisi na wao...
Ubaya ni pale unapoona kwamba maendeleo yaje so called kwanu na sio kwingine.., unasahau kwamba kila mtanzania ana haki sawa hapo unapopaita kwenu, na sehemu zinapozidi kuwa miji unaweza kujikuta huko kwenu hauna hata ardhi ya kuzika kuku na wote unaokodisha kwao ardhi sio kwao kwa muktadha wa definion yako ya kwetu na kwao....Mkuu niaje, k kusifia kwao kwani kuna ubaya:
Kwani wewe hupendi kwenu? MTU KWAOUbaya ni pale unapoona kwamba maendeleo yaje so called kwanu na sio kwingine.., unasahau kwamba kila mtanzania ana haki sawa hapo unapopaita kwenu, na sehemu zinapozidi kuwa miji unaweza kujikuta huko kwenu hauna hata ardhi ya kuzika kuku na wote unaokodisha kwao ardhi sio kwao kwa muktadha wa definion yako ya kwetu na kwao....