luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
AsanteeeMaendeleo ya sehemu hayaletwi na watu wa sehemu husika kupewa vyeo vya serikali kwa wingi bali huletwa na uelewa watu unaotokana na elimu,utamaduni wa kujiongeza kwa kuchapa kazi ,ushirikiano nk
Hahaha jibu mujarabhamna cha vision ya taifa wala nini,tatizo huko kwenu pwani mwajua ngoma tu,na kukaa barazani sasa mnataka maendeleo ya nini.Hata Jafo mwenyewe anajua hilo anapeleka MAENDELEO YANAKOHITAJIKA HUKO KWENU MBAKI NA TEMBE ZENU
Hivi ni watatu??duh..na kusafiri kote huko jaman hizo ngv unatoa wap?mamaaa!
Nani kakudanganya? Bajeti hupitishwa na bunge,je bunge lilikuwa lá wachaga?Sema wewe ni mchaga kwani huko Geita kulikwama kwa sababu nyinyi mlikuwa kwenye maamuzi mnapindisha miradi mnapeleka mashati
Akijibu natoa dollar 200 bure[emoji3][emoji3]Mbona magufuli kapewa urais akaishia kupeleka pesa chato au na yeye ni mchaga?
Hahaha kilichobaki uwe mkwe wangu, una kesi ya kujibu vinywaji utagharamia wewe.Katika kitu ambacho huwa najuta maishani sikuolewa na mchaga🤔!yaan tuseme kwel..kuna mikoa inazungukwa na vitu vya thamani lakini jamii inayozunguka sasa unajikuta unajiuliza hv hawa ni misukule?..mtu anamake hela lakini nyumba alojenga ni ya kawaidaaaa alafu yameridhika na biashara zao..wanachukulia easy sana ..nasemaga geita ingekuwa ina wachaga🤔🤔hayo maghorofa had tungejuta!kuna makabila ni kero...hawafai hata kushika nchi!wazitooo!shenji!
Not to that extent,mangi unakuta ameshajenga majumba mengi ya kupangisha alafu ndio anajenga jumba lake self container la kuishiWatu wa Pwani ndio wajengaji wakubwa wa nyumba za kupanga ulishaona mangi kajenga nyumba ya kupangisha watu Pwani au dar es salaam? Yeye kazi yake kujenga mijumba self contained yenye mivyumba kibao ya kukaa yeye na mabanda yake nguruwe tu hata kama Yuko peke yake
Kaangalie watu wa Pwani ndio wenye nyumba nyingi za kupangisha za watu wengi na za Bei nafuu affordable
Nyumba ya mbuzi kilimanjaro Ni nzuri kuliko za kule kwenu kimazichanaNdio utamaduni wetu km nyie ilivyo nyie kulala na mbuzi nyumba moja kikubwa 2025 twende na Mh Seleman Jafo Yombo Lukinga Moja...
Wamebaki kupiga majungu tuSasa mlitaka tuhangaike na watu kutwa kuchwa mko mnacheza ngoma na bao. Mlitaka tuwajengee nyumba. Mie sijawahi sikia duka ambalo siyo la mangi. Hivu ndugu huwa mnakwama wapi
HahahahaKuna makabila yalipewa mpaka Rais lakini bado wanacheza ngoma na tunguri tuuu
Wewe ni nani hata utupangie mtu wa kuja kutuongoza watanzania zaidi ya elfu 50 ?Kwa jicho la 3, Hakuna waziri anaye fit nchi 2025 tofauti na Jaffo kuna factor nyingi zinambeba tunajadili 2024
Note Bene : JAFFO NDIO NEXT PRESIDENT
Babu juma huwa hachokiHivi ni watatu??duh..na kusafiri kote huko jaman hizo ngv unatoa wap?mamaaa!
Imagine jiwe angekua mchaga[emoji23]Mbona magufuli kapewa urais akaishia kupeleka pesa chato au na yeye ni mchaga?
mimi ni raia wa dunia na nyumbani ni Tanzania.., kwetu ni Tanzania nzimaKwani wewe hupendi kwenu? MTU KWAO
Pwani ni starehe kwa kwenda mbele, kinamama kuvaa madila na kunukia manukato mazuri na kwenda kwenye shughuli za kila mwezi.hamna cha vision ya taifa wala nini,tatizo huko kwenu pwani mwajua ngoma tu,na kukaa barazani sasa mnataka maendeleo ya nini.Hata Jafo mwenyewe anajua hilo anapeleka MAENDELEO YANAKOHITAJIKA HUKO KWENU MBAKI NA TEMBE ZENU
Waziri Jafo Ni waziri aliyoitenendea haki wizara ya Serikali ya mitaa kuliko waziri yeyote toka Tanzania ipate Uhuru.
Kama ilivyo watu wa Pwani hatuna ubinafsi tunakaribisha wawekezaji wazawa toka Tanzania nzima,Wawe wachaga,wapemba au makabila yote nchi nzima wote wamejaa Dar es salaam na Pwani .Bomu likipigwa Dar es salaam na Pwani Tanzania nzima itakuwa misiba sababu makabila yote ya Tanzania yako Dar es salaam na Pwani kwa ukarimu wa watu wazawa wa Dar es salaam na Pwani anakotokea Jafo.
Jafo amepeleka Maendeleo mikoa yote halmashauri zote na Manispaa na majiji yote Tanzania nzima bila kujali watu wa Pwani wako hiyo mikoa au la.
Kuna mikabila inajijali yenyewe ingepewa hiyo wizara isingesambaza Maendeleo mikoa mingine ingejaza Maendeleo mikoa yao tu.
Kuna Mikoa ilipewa uwaziri tu wa fedha ,benki kuu na TRA,kampuni ya Simu ,Tanesco nk kila kitu walipeleka kwao na kujazana wenyewe
Hahaha kilichobaki uwe mkwe wangu, una kesi ya kujibu vinywaji utagharamia wewe.