Watu wa Pwani tumuunge mkono Waziri Jafo kupelekamaendeleo mikoa yote bila upendeleo wala ukabila

Watu wa Pwani tumuunge mkono Waziri Jafo kupelekamaendeleo mikoa yote bila upendeleo wala ukabila

hamna cha vision ya taifa wala nini,tatizo huko kwenu pwani mwajua ngoma tu,na kukaa barazani sasa mnataka maendeleo ya nini.Hata Jafo mwenyewe anajua hilo anapeleka MAENDELEO YANAKOHITAJIKA HUKO KWENU MBAKI NA TEMBE ZENU
Hahaha jibu mujarab
 
Hivi ni watatu??duh..na kusafiri kote huko jaman hizo ngv unatoa wap?mamaaa!

..hata mimi nimemshangaa sana Mh.Jafo.

..pamoja na ujana na usomi wake bado anaendekeza utamaduni wa kale wa kuoa wake wengi.
 
Sema wewe ni mchaga kwani huko Geita kulikwama kwa sababu nyinyi mlikuwa kwenye maamuzi mnapindisha miradi mnapeleka mashati
Nani kakudanganya? Bajeti hupitishwa na bunge,je bunge lilikuwa lá wachaga?
Hawa watu Wana akili by nature ulishafika huko mashati /tarakea nk ukaona jinsi vijijin kulivyo na maendeleo?
Ulishafika sehemu yoyote nchini ukawakosa wachaga? Hawa watu Ni wapambanaji ndio maana Wana maendeleo, wangekuwa wanategemea serikali Kama unavyohisi wangekuwa washatoka kwenye ramani,muuza supu wa Moshi anamiliki Mali za kutosha Hawa watu acha kabisa Ni talented naturally
 
Katika kitu ambacho huwa najuta maishani sikuolewa na mchaga🤔!yaan tuseme kwel..kuna mikoa inazungukwa na vitu vya thamani lakini jamii inayozunguka sasa unajikuta unajiuliza hv hawa ni misukule?..mtu anamake hela lakini nyumba alojenga ni ya kawaidaaaa alafu yameridhika na biashara zao..wanachukulia easy sana ..nasemaga geita ingekuwa ina wachaga🤔🤔hayo maghorofa had tungejuta!kuna makabila ni kero...hawafai hata kushika nchi!wazitooo!shenji!
Hahaha kilichobaki uwe mkwe wangu, una kesi ya kujibu vinywaji utagharamia wewe.
 
Watu wa Pwani ndio wajengaji wakubwa wa nyumba za kupanga ulishaona mangi kajenga nyumba ya kupangisha watu Pwani au dar es salaam? Yeye kazi yake kujenga mijumba self contained yenye mivyumba kibao ya kukaa yeye na mabanda yake nguruwe tu hata kama Yuko peke yake

Kaangalie watu wa Pwani ndio wenye nyumba nyingi za kupangisha za watu wengi na za Bei nafuu affordable
Not to that extent,mangi unakuta ameshajenga majumba mengi ya kupangisha alafu ndio anajenga jumba lake self container la kuishi
Hebu ona huku Ni marangu unaona majumba yalivyo ?
FB_IMG_15702098938113855.jpeg
 
Ndio utamaduni wetu km nyie ilivyo nyie kulala na mbuzi nyumba moja kikubwa 2025 twende na Mh Seleman Jafo Yombo Lukinga Moja...
Nyumba ya mbuzi kilimanjaro Ni nzuri kuliko za kule kwenu kimazichana
Hebu ona mazingira yanavyopendeza
FB_IMG_15707285916351968.jpeg
 
Kwa jicho la 3, Hakuna waziri anaye fit nchi 2025 tofauti na Jaffo kuna factor nyingi zinambeba tunajadili 2024

Note Bene : JAFFO NDIO NEXT PRESIDENT
Wewe ni nani hata utupangie mtu wa kuja kutuongoza watanzania zaidi ya elfu 50 ?
Mimi binafsi huyo jamaa huwa simpendi namuonaga hamnazo
 
Kwani wewe hupendi kwenu? MTU KWAO
mimi ni raia wa dunia na nyumbani ni Tanzania.., kwetu ni Tanzania nzima
na unless otherwise mahali nilipo ninalazimishwa kuwepo sababu ya shughuli zangu basi pale ndio nyumbani huwezi mtu unaishi sehemu na ndio unapategemea alafu unaona hapafai wakati haujafungwa minyororo kwenda kule unapoona ni pazuri zaidi...

Na point yangu ilikuwa kwamba ni jambo la kushangaza mimi nasema huku ni kwetu napapenda wala siendi na sijawekeza kitu kule, wakati mtu mwingine aliyewekeza kila kitu chake pale ninamuona kwamba sio kwao..., hapo utaona kuna upotofu fulani..., thus dunia inapoendelea kuwa kijiji ni uwezo wako tu ndio utakufanya sehemu iwe kwenu au uwe mpita njia...
 
Huku kwetu Maji, umeme upo.

Shule ya sekondari ni hamna. Soko hamna.

Waambie waje kunaitwa viziwaziwa ni pwani
 
hamna cha vision ya taifa wala nini,tatizo huko kwenu pwani mwajua ngoma tu,na kukaa barazani sasa mnataka maendeleo ya nini.Hata Jafo mwenyewe anajua hilo anapeleka MAENDELEO YANAKOHITAJIKA HUKO KWENU MBAKI NA TEMBE ZENU
Pwani ni starehe kwa kwenda mbele, kinamama kuvaa madila na kunukia manukato mazuri na kwenda kwenye shughuli za kila mwezi.

Unasafiri na raha leo kutoka pale barabara ya 12 Tanga mpaka unafika dar ni mwendo wa kusikiliza nyimbo za taarabu.
 
Waziri Jafo Ni waziri aliyoitenendea haki wizara ya Serikali ya mitaa kuliko waziri yeyote toka Tanzania ipate Uhuru.

Kama ilivyo watu wa Pwani hatuna ubinafsi tunakaribisha wawekezaji wazawa toka Tanzania nzima,Wawe wachaga,wapemba au makabila yote nchi nzima wote wamejaa Dar es salaam na Pwani .Bomu likipigwa Dar es salaam na Pwani Tanzania nzima itakuwa misiba sababu makabila yote ya Tanzania yako Dar es salaam na Pwani kwa ukarimu wa watu wazawa wa Dar es salaam na Pwani anakotokea Jafo.

Jafo amepeleka Maendeleo mikoa yote halmashauri zote na Manispaa na majiji yote Tanzania nzima bila kujali watu wa Pwani wako hiyo mikoa au la.

Kuna mikabila inajijali yenyewe ingepewa hiyo wizara isingesambaza Maendeleo mikoa mingine ingejaza Maendeleo mikoa yao tu.

Kuna Mikoa ilipewa uwaziri tu wa fedha ,benki kuu na TRA,kampuni ya Simu ,Tanesco nk kila kitu walipeleka kwao na kujazana wenyewe

Mijinga sana nyie watu.
Sasa mnaanza ukabila, mna nini lakini?
 
Back
Top Bottom