Mdigokhan
JF-Expert Member
- May 2, 2022
- 942
- 2,198
Baada ya Dar kuwa jiji likafata Tanga nadhani wakati huo hujazaliwa..Kume Tanga ni jiji??? Since when?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya Dar kuwa jiji likafata Tanga nadhani wakati huo hujazaliwa..Kume Tanga ni jiji??? Since when?
Achaneni na CCM!
Jamani ndugu zangu wa Tanga kwani alietuloga nani? fursa tunazisikia ila hata hatushtuki wanakuja walowezi wanajizolea fursa na sisi tupo hapa hapa kweli, zinatangazwa zabuni mpo kimya mnakuja kukurupuka dakika za majeruhi watu wameshasafirikutoka mikoani mbali huko kukimbilia fursa.
Na hata mkipewa nafasi hamchangamkii mpk mnawapa watu nafasi ya kujipandikiza na kuwahia nafasi kupitia wachahce wenye nazo ambao ni waroho na wenye tamaa ya pesa. Halafu mnalalamika mji unazidi kufa wakati pesa zimekuja na zinaondoka kurudi mikoa mingin. Mradi wa ujenzi wa Jetty ungekuwa umetangazwa vizuri na vyombo vya habari vya hapa tanga na serikali kwa ujumla.
Huu mradi ungerudisha hadhi ya mkoa wetu kwa jinsi ulivyo na tija ila cha kusikitka hata wale waliofidiwa baada yakupisha eneo la ujenzi badala ya kuzungusha mrdini pesa wengi wamekwenda kuoa kuongeza wake wengine eeeehh Mungu baba. Nini shida?
Kunahaja kupaza sauti kurudisha mkoa kwenye chati yake, fikiria mkoa umeshakuwa jiji lkn ni kheri hata kipindi ulipokuwa mji. Wana Tanga tuamke jamani hali tete inaumiza. Viwanda vimebaki kama magofu, wagosi wa kaya wamechoka kupiga kelel wameamua kujiajiri nchi imewekwa bond.
Hakuna kulogwa ni Umwinyinyi umekithiri.Alietuloga na alaaniwe kutoka tanga ya viwanda mpk tanga ya magofu inaumiza sana
Huyo January Ondoa kwenye list,Ongezea na Kupenda Ngono
Ni Mkoa pekee umebarikiwa kuwa na Mawaziri Karibia 4.Lakini sinahakika kama wanaumia kwa kudorora kwa uchumi wa Mkoa(sipendi kuita Jiji)
1.January
2.Ummy
3.Juma
4.Khamisi
Nitake radhi mkuuBaada ya dar kuwa jiji likafata tanga nadhani wakati huo hujazaliwa..
Tanga imezidiKuna mahali panazidi dar na mwanza kwa uchawi!?
DAR ES SALAAM haina kabila lakini DSM ina masikini wengi hata hivyo masikini wengi DSM ni wakazi wa mikoa ya pwaniHakuna kitu kama hicho hakunamahali pana uchawi kama dar es salaama maana kuna mvurugiko wa makabila kila mtu anajihami
Sasa hivi Tanga imebaki na kiwanda cha warembo...Inahuzunisha Sana ! [emoji45] Ukikumbuka Tangold iliyotoa Juisi ya Embe iliyokuwa Nzito na Tamu Sana!
Kiwanda Cha Sabuni kilichotoa Mbuni na Gardenia.
Kiwanda Cha Chuma.
Kiwanda Cha Mbolea
Kiwanda Cha Plastiki Amboni zilikotoka ndoo na mabeseni Bora vya Plastiki.
...vyote vimebaki Historian TU.
Tanga kunani palee ?
Watu wa Tanga wamelala sanaDuh nimetoka Tanga mwaka 2003 mpaka leo naona malalamiko ni hayo hayo tatizo ni nini? Au Siasa !!!
Umenena kweli, ila kuna wanawake wazuri na wanajua kupika vyakula vya kunukia vizuri.Hakuna kulogwa ni Umwinyinyi umekithiri.
Ingekuwa rahisi ningeeabeba wooote waende jkt au mambo wakapate ujakamavu kidooogo.
wote wa ccmOngezea na kupenda ngono
Ni Mkoa pekee umebarikiwa kuwa na Mawaziri Karibia 4. Lakini sinahakika kama wanaumia kwa kudorora kwa uchumi wa Mkoa (sipendi kuita Jiji)
1. January
2. Ummy
3. Juma
4. Khamisi
wanavyoipenda CCM sasaWatu wa Tanga wamelala sana
Karibu Tanga 'TANGA RAHA mkuu.Umenena kweli, ila kuna wanawake wazuri na wanajua kupika vyakula vya kunukia vizuri.
Mkuu Tate Tanga ni Tanga haijalishi upo Lushoto,Kwinji au KwedikwazuHivi na sisi wakulima tunaoishi huku Lushoto milimani, tunaruhusiwa kuchangia chochote kwenye huu uzi?
Khaaa! Ila hao maskini hawatoki TANGA mkuuDAR ES SALAAM haina kabila lakini DSM ina masikini wengi hata hivyo masikini wengi DSM ni wakazi wa mikoa ya pwani
Awamu ya kwanza tu hakuna mwingineAlietuloga na alaaniwe kutoka tanga ya viwanda mpk tanga ya magofu inaumiza sana
Mimi nilishangaa hadi kule muheza ya amani wana mahaba pambeee.Mkuu Tate Tanga ni Tanga haijalishi upo Lushoto,Kwinji au Kwedikwazu