Watu wa Tanga nawaita hapa

Watu wa Tanga nawaita hapa

Vijana Tanga wote wamekimbilia Dar,wamebakia wazee,ila twende mbele turudi nyuma Tanga pazuri sana.Ukitaka kuifaidi Tanga uwe na Baiskeli au Usafiri wako binafsi,halafu uanze kutembelea mitaa unayotaka wewe ,isiwe ni boba au Taxi,ni mji mzuri kiasi chake.....
Mji ni mzuri sawa, lakini tatizo la Tanga huwezi kuishi mtu mpambanaji lazima upachukie sana.

Tanga wanaamka saa nne alafu biashara zafungwa saa 9 alasiri.....
Weekend yaanza alhamisi sheihk.
Panaboa sana....
 
Back
Top Bottom