Watu wa Tanga nawaita hapa

Achaneni na CCM!
 
Alietuloga na alaaniwe kutoka tanga ya viwanda mpk tanga ya magofu inaumiza sana
Hakuna kulogwa ni Umwinyinyi umekithiri.
Ingekuwa rahisi ningeeabeba wooote waende jkt au mambo wakapate ujakamavu kidooogo.
 
Ongezea na Kupenda Ngono

Ni Mkoa pekee umebarikiwa kuwa na Mawaziri Karibia 4.Lakini sinahakika kama wanaumia kwa kudorora kwa uchumi wa Mkoa(sipendi kuita Jiji)

1.January
2.Ummy
3.Juma
4.Khamisi
Huyo January Ondoa kwenye list,
Waziri/Mbunge Gani Jimbo lake halina hata Nukta ya Lami? Karavati tuu limemshinda, Asaivi maji yanapita Juu ya barabara... Watanganyika mkimpa huyu mtu Uraia namba 1 mmekwisha...
 
Hakuna kitu kama hicho hakunamahali pana uchawi kama dar es salaama maana kuna mvurugiko wa makabila kila mtu anajihami
DAR ES SALAAM haina kabila lakini DSM ina masikini wengi hata hivyo masikini wengi DSM ni wakazi wa mikoa ya pwani
 
Sasa hivi Tanga imebaki na kiwanda cha warembo
 
Hakuna kulogwa ni Umwinyinyi umekithiri.
Ingekuwa rahisi ningeeabeba wooote waende jkt au mambo wakapate ujakamavu kidooogo.
Umenena kweli, ila kuna wanawake wazuri na wanajua kupika vyakula vya kunukia vizuri.
 
Ongezea na kupenda ngono

Ni Mkoa pekee umebarikiwa kuwa na Mawaziri Karibia 4. Lakini sinahakika kama wanaumia kwa kudorora kwa uchumi wa Mkoa (sipendi kuita Jiji)

1. January
2. Ummy
3. Juma
4. Khamisi
wote wa ccm
 
Hivi na sisi wakulima tunaoishi huku Lushoto milimani, tunaruhusiwa kuchangia chochote kwenye huu uzi?
 
Vijana Tanga wote wamekimbilia Dar,wamebakia wazee,ila twende mbele turudi nyuma Tanga pazuri sana.Ukitaka kuifaidi Tanga uwe na Baiskeli au Usafiri wako binafsi,halafu uanze kutembelea mitaa unayotaka wewe ,isiwe ni boda au Taxi,ni mji mzuri kiasi chake.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…