Watu wa town mnatuumiza sana sie wa mikoani na kauli zenu " aise huu mkoa bado sanaaa yaan hamna totoz kabisa"

Watu wa town mnatuumiza sana sie wa mikoani na kauli zenu " aise huu mkoa bado sanaaa yaan hamna totoz kabisa"

Mkuu labda huko kwenu lakini sisi tukienda moshi huwa hatutamani kurudi dasilamu sema basi tu majukumu ya kimaisha,,ila sijawahi kumuona mtu anaenda moshi anaboreka aisee
Asee kweli kabisa. Kamji kadogo kyenye mambo mengi.

Ika sasa kule inabidi huwe na pesa ndio utaenjoy vizuri zaidi
 
Eti mtu anatoka mkoani anataka aonane na wewe jumanne, ukimuuliza yuko wapi anakwambia yulo Kitunda! Watu tuna mishe zetu hamna muda wa kupoteza tusubirini huko mikoani maanake mna muda wa mchezo jembe si mwisho saa sita!
Ewaaaaaa
 
Eti mtu anatoka mkoani anataka aonane na wewe jumanne, ukimuuliza yuko wapi anakwambia yulo Kitunda! Watu tuna mishe zetu hamna muda wa kupoteza tusubirini huko mikoani maanake mna muda wa mchezo jembe si mwisho saa sita!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu mikoani mfunge milango mlale sasa msije kuliwa na fisi maana mkoani giza likiingia tu ni usiku mnene na wanyama kama fisi wanaanza kutembea!
Sawa tumewaskia nyie wa dar, ngoja tufunge milango tulale. Lakini si bora siye tunaolala ndani kuliko nyie mnaolala vibarazani eti joto yaan nyie mnavituko sana
 
Back
Top Bottom