Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Sawa my sisterKwa leo wapumzishe kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa my sisterKwa leo wapumzishe kidogo
Utajutaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama naliona hilo bango silipatii picha
Oooh sawaHahaha hamna wsp mbona yupo
Umeonaaaa eeehNaona mmeanza kukataana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka kwa nguvuUtajutaaaaa
Na mastatus juuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Woiiii naanzaje kuishi huko jamani niko zangu mbezi kwa msuguri mie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inabidi unipe namba zako tuu aki, transformer ikileta shida nikupigie tushauriane
Maana huku chit chat nahisi watu hawatajua maumivu yangu... Mastatus yatakusindikiza kuleee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka kwa nguvu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Chizi sana ww[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona mmeanza kukataa na sehemu zenu mnazotudanganyaja kwamba ndio mnaishi huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dada ebu niache jamaniMaana huku chit chat nahisi watu hawatajua maumivu yangu... Mastatus yatakusindikiza kuleee
Sasa we thubutuuuuu kuzimaa tuu simu!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dada ebu niache jamani
Walugaluga mkija mnazinguaNaona mmeanza kukataana
Yap na ufikeeee tu na siku hizi nasikia Dar wanakodisha magari kwa sikuuu elf 20,
Anakodi anakufata nalo mpaka ubungo unasema bwana si ndo huyu anakupeleka kwenye zile nyumba za Mbweni wanazoachiwaga na matajir kusimamia zisichafuke unasemaaa eeeh mm ndo mother house wa mjengo looooooh wanaume wa dar mna dhambiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo unawaongelea ndugu zetu waliokuja kutafuta maisha...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ebu tukalale ukoSasa we thubutuuuuu kuzimaa tuu simu!!
Mwezi mzima sura yako inabembea kwenye status
Wametudanganya sana Dear tumewashtukia sasaNakazia tena jamani
sawa dada usijali nitakwambiaa...nitakufata kabisa.Usijali kabisaaa kaka jamani... Ila ukimaliza ubusy we niambie nije
Hata wale wanaozima cm na kudanganya ni transformer imeleta shida pia wapo includedJamani kwahiyo mnaokutana nao ndio wanaowaongopea eenh
we acha hizo nenoHao watakuwa WAKUJA!