Watu wa town mnatuumiza sana sie wa mikoani na kauli zenu " aise huu mkoa bado sanaaa yaan hamna totoz kabisa"

Mie nikiendaga mikoani ndio naona raha sana kwa kuwa nabadilisha mazingira,halafu lzm niweke jiwe la msingi sitokagi hivi hivi aisee!
Nalog off
 
Wanaume wa dar wanaogopa vizinga tu hawana lolote utasikia ninamichakato flani hivi akija sasa utasikia una jero hapo
 
Wewe wa Mkoa Gani?
 
Kama wameweza kubadiri hili neno "Jamani na kuwa Jomoni"ndo liwe hili la kukukimbia...!!!?wengi wamepanga vyumba viwili ama kimoja so ukiwaambia nipo hapa mjini wanajua unataka ukaone wanavyoishi.sittng rum zao zimejichanganya kati ya masofa na ndoo za maji.hawapendi hili kabisaa.kama huamini wee mwambie njoo sehemu flani nikununulie bia mbili tatu hv...weeeee weeee hazitazid dk 3...
 
kumbeee[emoji16] [emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…