1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
- Thread starter
-
- #121
[emoji16] [emoji1] [emoji16] [emoji1]Acha kabisa mmoja alisema amenunua gari akajua mm mshamba ile nimesimama Kituo cha Msikitini kama unatoka mbagala kwenda kwa Azizi aly ghafla Vix hili hapa la mkonge kucheki nyuma lina namba za STL nikasema moyoni weeeee shuziii kweli akasema gari yangu hhii nimetoka ofisini mara moja anajua mm wa mkoani mshamba.
Tukaenda mpaka Girrafe hotel kama Afrikana kunywa mbili tatu kama baada ya nusu saa simu ikaita akaenda kupokea akaja akaniachia hela ya nauli ya tax akasema anarudi ofisin kuna kazi ghafla
MOYONI NIKASEMA WEWE SHUZI NI DEREVA WA SERIKALINI USIONE NIMETOKAA MKOANI UKAZANI NITABABAIKA NA GARI KWENDRAAAH NA BLOCK JUUU
wanaume wa dar wana dhambi
HahahahahaKwendraaa uko na mauwongo yako
Loooooh leo wacha niwape kidongeee chaoTuachie kaka zetu[emoji13]
Na hii ongeza kwenye orodha.....Binti mzuri afu unaishi Mkoani Aisee unatutesa wanaume wa darunakaziaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ney chizi sanaMhhhhh utakuwa umechanganya I'd mpendwa, mie siwezi kudanganya nakaa dar maana ukiniuliza sehemu gani siwezi kukumbuka ntajikuta nimesema UBUNGO maana ndio ninapopajua
[emoji1] [emoji16]Usiiwaigee...
Mie wananiaga kwa mbwembwe tukija tukuletee nini my dear!! Huwa nasema tuu chochote, wacha waje tena msimu ujao, holla ... Nshawazoea wala hawanisumbui kabisaaa
MhSijawahi kukuja dar aki, ni dom
Abeeh kaka angu mzuri mzuri shikamoodada
Unanichekesha sanaUnacheka nini [emoji57]
Huhuhuh! Ata mbagala hujawaji pasikia?? Pole sana hii fursa sasa njoo nitagharamia kila kitu, kama umeolewa uage kabisa siyo uko huku dsm mumeo anapiga simu usiku.[emoji7]Mhhhhh utakuwa umechanganya I'd mpendwa, mie siwezi kudanganya nakaa dar maana ukiniuliza sehemu gani siwezi kukumbuka ntajikuta nimesema UBUNGO maana ndio ninapopajua
AiseeeWatu wa mkoani mkija dar mnakua washamba sana mnatusumbua Mara tukapande Mwendo kasi, mara twende kuona Mafuriko ya Msimbazi,Mara fly overs basi tafrani tupuu!!
Halafu wasumbufu mnoo...bakini huko huko!!
Watakuja na gari za kuazima kwa siku elf 20 unasema maisha ndo hayaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani dar wanawake kwa wanaume ni matapeli.
Safari hii nikija uje kunipokea ubungo
Mie huyooo?!Mbona siku ile pm uliniambia unaishi osterbay???
Woyoooooooooooooooooo halafu kuna kitimoto pale unakunywa na malta yako niko nagonga mambo zanguHahahahaha
La moyoni hilooo, lazima nkikuja twende makutini mwaya!!
mkuu nimekuelewa nami natrot kimkoaWatu wa mkoani mnazingua sana! kwanza mnakula sana, pili hamjui kutembea haraka mnatembea kizembe sana!
Afu kwenu muda siyo deal mjue siye wa town riziki iko miguuni mwetu kama mbwa hivyo tuacheni tuendelee kutroti.
Hahahahahaha usisahau kunitag[/QUOTE
Poapoa....ila kwa huo mchambo sizan kama wata replay
Na nyimbo zao za kukariri sasa!!!Wakija kijiji kizimaaaa kinazimaaaaa kwa mbwembwe
Mmhh!Mie huyooo?!
Labda ulichat na bae wanguu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huhuhuh! Ata mbagala hujawaji pasikia?? Pole sana hii fursa sasa njoo nitagharamia kila kitu, kama umeolewa uage kabisa siyo uko huku dsm mumeo anapiga simu usiku.[emoji7]