Acha kabisa mmoja alisema amenunua gari akajua mm mshamba ile nimesimama Kituo cha Msikitini kama unatoka mbagala kwenda kwa Azizi aly ghafla Vix hili hapa la mkonge kucheki nyuma lina namba za STL nikasema moyoni weeeee shuziii kweli akasema gari yangu hhii nimetoka ofisini mara moja anajua mm wa mkoani mshamba.
Tukaenda mpaka Girrafe hotel kama Afrikana kunywa mbili tatu kama baada ya nusu saa simu ikaita akaenda kupokea akaja akaniachia hela ya nauli ya tax akasema anarudi ofisin kuna kazi ghafla
MOYONI NIKASEMA WEWE SHUZI NI DEREVA WA SERIKALINI USIONE NIMETOKAA MKOANI UKAZANI NITABABAIKA NA GARI KWENDRAAAH NA BLOCK JUUU
wanaume wa dar wana dhambi