Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Nakuona unavyokongoroka kwa kukosa uhondo msalimie handsome wetu GShoga hata wanichambe sijibu G ananitazama kila kona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuona unavyokongoroka kwa kukosa uhondo msalimie handsome wetu GShoga hata wanichambe sijibu G ananitazama kila kona
Kwendraaa uko na mauwongo yakoWiki ijayo naja, ole wako transfoma ilipukeee
Watu wa mkoani mnazingua sana! kwanza mnakula sana, pili hamjui kutembea haraka mnatembea kizembe sana!Kauli zenu zinatufanya tujione wanyonge,,
[emoji117] "yaan hapa hakuna mzunguko" kabisa wa pesa
[emoji117] "yaan hata weekend hakuna pa kwenda"
[emoji117]" nimekuja mara moja kumcheki mother kesho nasepa'
[emoji117]"nimekuja ktk sherehe mara moja kesho nasepa"
muwe mnakaa hata week basi ujue tume wa miss[emoji16] [emoji16]
CHA AJABU nikiingia town kwao huwa wengine wananikwepa, utawaaskia "leo niko bizee joh kesho ntakuchek"
kesho hapatikani, basi mi nafanya yangu then nageuka mkoa[emoji1]
nani huyoMmhh! Wewe naye wa mkoani??? Mbona pm siku ile uliniambia unaishi mikocheni??
Hahahahahatanga tena hahahah[emoji1] [emoji16]
unakaziaangoja waje wahaya wadhibitishe....hahah
Wanaboa sana wakija mkoani masifa telewww mpaka huwa nataman mm demiss nihamie Darhahah uneona eeeh
hahahahah [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mfyuuuu zako mm ninavyopenda wangeni ukuje uko
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni mara ngapi unanikimbia wewe shunie embu usinitoneshe kidonda, ulinivurugia bajeti yangu ya usafiri kabisa. Nyie watu wa dar sio watu wazuri kabisa [emoji57]
Mbona siku ile pm uliniambia unaishi osterbay???Ndiwooo mkuu
Niko huku namtumbo
Hahahahahaha usisahau kunitagngoja waje wahaya wadhibitishe....hahah
Mpaka huwa nataman kuhamia Dar mm Chamdeko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena waache hizo tabia, na wakija mikoani wanavyojua kutudanganya sijui kwanini.
Mhhhhh utakuwa umechanganya I'd mpendwa, mie siwezi kudanganya nakaa dar maana ukiniuliza sehemu gani siwezi kukumbuka ntajikuta nimesema UBUNGO maana ndio ninapopajuaMmhh! Wewe naye wa mkoani??? Mbona pm siku ile uliniambia unaishi mikocheni??
Sijawahi kukuja dar aki, ni domKhaaaa wewe kweli
Nakuona nakuonaaaa[emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
dadaKhaaaa wewe kweli
Unacheka nini [emoji57][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakija kijiji kizimaaaa kinazimaaaaa kwa mbwembweUsiiwaigee...
Mie wananiaga kwa mbwembwe tukija tukuletee nini my dear!! Huwa nasema tuu chochote, wacha waje tena msimu ujao, holla ... Nshawazoea wala hawanisumbui kabisaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wiki ijayo naja, ole wako transfoma ilipukeee