Watu wa zamani pichani walikuwa weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe?

Watu wa zamani pichani walikuwa weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe?

Too illogical...
😪😪😠😠🤬
 
Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini

Ukiangalia picha za zamani za miaka 1700 1800 huko Waafrika wote inaonekana walikua weusi kabisa

Sasa miaka hii na miaka michache ya nyuma kuanzia 1900 na hadi sasa Waafrika wengi ni weupe.

Hapa nazungumzia weupe sana,na ambao wapo brown watu weusi tii ni wachache sio wengi sana mfano katika jamii fulani

Mfano nzuri angalieni Wachaga wengi tu ni weupe kabisa, lakini mfano Wajaluo wengi ni weusi tii kabisa

Sasa kwanini sasa hivi kwanini Waafrika tunasemaga ni weusi tii wakati kuna Rangi nyingi humu barani? Wapo weusi, maji ya kunde, brown, weupe na weupe sana kupitiliza yaani unakuta hadi tofauti yake na muerope ni nywele tu na lens ya jicho mfano nzuri angalia Wamarangu.

Sasa kwanini hivi? Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini?
Wanakunywa maji sana labda
 
Hakuna sehemu uliandikiwa rangi ya mwafrika ni nyeusi huo ni ubahili wa kufikiri kaka.
 
Muingiliano wa watu. Kuoana.

Zamani tulikua tunaoana wenyewe kwa wenyewe. Huwezi kuta mwarabu kaoa ama kazaa na mswahili. Ama mzungu naye kafanya hivyo. Siku hizi ndio mtindo wa kuigwa. Watu wako huru kuoana. Hivyo unao waona weupe peee fuatilia wazazi wao ama wazee wao lazima kuna uchakachuzi sehemu.

Asili yetu ni rangi nyeusi sawa, lakini haimaniishi kuwa weusi wote unafanana...wapo wang'avu kiasi na waliokolea. Aaah tukiachilia mbali uumbaji wa Mungu, dunia sasa ni kijiji kimoja. Unaweza dhani unamtazama mtanzania kumbe uko uso kwa uso na muamerika.
 
Zamani makabila yalikua yanaoana wao kwa wao ila mambo yalipobadilika kuingia kuoa jamii na makabila mengine machotara wakatokea
 
Zamani makabila yalikua yanaoana wao kwa wao ila mambo yalipobadilika kuingia kuoa jamii na makabila mengine machotara wakatokea
 
Kwani hujui siku hizi kimsboy kuna mikorogo!!! Mpaka wanaume wana2mia mikorogo, nenda dar na Tanzania kote utakutana na mijanaume inakalkiti nywele na kutumia mikorogo iwe kama waarabu, pamoja na hayo bado hawajafikia hata robo ya waarabu/wazungu. Ni ujinga na ulimbukeni kumkosoa aliyekuumba.
Nimeamini kumbe humu wengi hamkusoma!!!Sisi EA tuko ukanda wa Ikweta jua linatugonga kisawa sawa direct usoni!! na watanzania wengi mna rangi mbili mbili!!

kifuani, tumboni matako, mbusus ni nyeupe peee ila na usoni nyeusi tiii!! .....lile sasa ni kovu kifupi umeungua kabisaaa!! unapaswa lile kovu uliondoe tena kirahisi kabisaa!! kwa kukaa kivulini tu!!

Mitanzania miiingi haisomi likimaliza chuo basi ni bangi tuuuuu! na mademu acheni ujinga hakuna mtu mweusi Duniani ila tuna Dark brown tu! na weupe peee!!

sasa weupe peee wazungu mama wee ule ni ugonjwa hata wao hawapendi! wanatuonea wivu sana!...ndo maana wanajifanya kutubagua lkn kimoyoni wanatutamani mnoo.

mabwabawa mengi maafrika hamjui kuwa ngozi hii tuna thamani sana!! ivo wazungu wametuacha ivovivo tuungue na jua kwakuwa wanajua sisi tukijua ni Dark brown tutalinga sana!! kifupi hkn Black!
 
kwa mfano warangi, wanyakyusa,wahaya,,DSM ,wachaga nk wengi ni weupe sababu Moshi hakuna direct utla violet scotch huko moshi!......
 
Ngoja nikazie kwa picha.



View attachment 2120861

Hafu na hapa chini:
View attachment 2120862
1.Ukiangalia wa picha ya kwanza hapo juu!!
maisha yake ni magumu km mjeda wa mkoloni vile! na wale jamaa yaani wakoloni, walikuwa wakakasi mnoo!! unashinda kutwa kuwalinda .

umekakamaa juani! uso unachomwa na miali ya jua matokeo ni weusi huo usoni.....na mwili wake woote haufanani mfano huyu kifua, tumbo, miguu ni maji ya kunde kuliko usoni! na

hata km ni mweusi lkn siyo kwa kung'aa km ivo!...huyu ni rahisi kupata gonjwa la Melanoma! tena linaua vibaya sana Africa,...waafrica mnakufa kwa mengi! Kwa umbumbu wenu na

hakuna sehemu Africa utapima ujue kilicho kuua/muua ndugu yako, saaana mtasema ni mapenzi ya Mungu tena mungu yule wa kizungu!

2. Na huyu wa pili, kwanza maisha yake ni tofauti na huyo wa kwanza hata kwa kuangalia tu, vyakula km Maziwa, Mayai, mapapai nk ndo ana kula huyu,kwa kumuangalia tu,

hata maji anakunywa ya kutosha! nk so mamboa ya ivi ni vyakula vina surpress Melanin productions, kifupi ana maisha ya kivulini, ivo mwili wake wooote una fanana!

si unaona hata miguu ni sawa na usoni! yaani ni full maji ya kunde!...kuna mafuta wanapakaga sana zeruzeru maarufu km sun screen!! haya yanalinda ngozi yako dhidi ya Melanoma!
 
Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini

Ukiangalia picha za zamani za miaka 1700 1800 huko Waafrika wote inaonekana walikua weusi kabisa

Sasa miaka hii na miaka michache ya nyuma kuanzia 1900 na hadi sasa Waafrika wengi ni weupe.

Hapa nazungumzia weupe sana,na ambao wapo brown watu weusi tii ni wachache sio wengi sana mfano katika jamii fulani

Mfano nzuri angalieni Wachaga wengi tu ni weupe kabisa, lakini mfano Wajaluo wengi ni weusi tii kabisa

Sasa kwanini sasa hivi kwanini Waafrika tunasemaga ni weusi tii wakati kuna Rangi nyingi humu barani? Wapo weusi, maji ya kunde, brown, weupe na weupe sana kupitiliza yaani unakuta hadi tofauti yake na muerope ni nywele tu na lens ya jicho mfano nzuri angalia Wamarangu.

Sasa kwanini hivi? Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini?
1. Life, maisha yamebidilika kwa kiasi kikubwa, kipindi cha nyuma hakukuwa na usafiri wa rahisi kama ilivyo sasa, watu walitakiwa kutembea umbali mrefu kwenda makazini, masokoni, mawindoni etc Hata kwa wazungu rangi yao ya sasa karne hii wengi ni pale tofauti na kipindi hicho ilikuwa tan ukitoa familia za kifalme ambao walikaa kivunini muda mwingi.

2. Diet, kwa watu wa sasa wengi ni milo miwili kuendelea tofauti na huko mwanzo sina hakika na milo waliyokuwa wanakula ila chakula kinambadilisha mtu sana, kifupi zamani kulikuwa na shida unakuta familia ina watoto 12 hivyo kula ni mbinde

3. Camera, picha nyingi za mwanzo ni black and white hata nikiangalia picha za warabu wa zamani utaona wote ni weusi kama wewe mnyakyusa

4. Mwingiliano wa makabila, mfano wangoni wana mchanganyiko nzuri kutokana na mwingiliano mkubwa na makabila mengine kipindi cha migration yao. Zenji, Tanga, Kigoma, Tabora etc

5. Umeongelea wamarangu, hawa asiliyao ya weupe inaweza kutokana na asili yao ya kikush

6. Selective breeding, waafrika weupe wanajichagua wao kwa wao unakuta wengine weupe kuzidi

Sababu zinaweza kuwa mia saba ila kikubwa kuliko ni maisha, maisha ya sasa sio sawa na zamani maisha yamekuwa rahisi as people can easy adopt to climate change iwe joto kuna fan, a/c, mafriji ile baridi kuna mablangeti hadi ya umeme, mafuta, madawa ect
 
kwa mfano warangi, wanyakyusa,wahaya,,DSM ,wachaga nk wengi ni weupe sababu Moshi hakuna direct utla violet scotch huko moshi!......

Mtu anajikologa ili awe mweupe, Mungu amekuumba hivyo, why unamkosoa!! Mwisho wa siku unababuka utamlaumu nani!! Wengine hawana matako kwa maana ni flati screen wanafanya surgery kunenepesha matako/matiti, huu ni upumbafu haswaa. Kuna mkoa flani hapa bongo among them hawana matako, na meno ya njano , nafikiri umeshapajua.
 
Back
Top Bottom