Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakunywa maji sana labdaWatu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini
Ukiangalia picha za zamani za miaka 1700 1800 huko Waafrika wote inaonekana walikua weusi kabisa
Sasa miaka hii na miaka michache ya nyuma kuanzia 1900 na hadi sasa Waafrika wengi ni weupe.
Hapa nazungumzia weupe sana,na ambao wapo brown watu weusi tii ni wachache sio wengi sana mfano katika jamii fulani
Mfano nzuri angalieni Wachaga wengi tu ni weupe kabisa, lakini mfano Wajaluo wengi ni weusi tii kabisa
Sasa kwanini sasa hivi kwanini Waafrika tunasemaga ni weusi tii wakati kuna Rangi nyingi humu barani? Wapo weusi, maji ya kunde, brown, weupe na weupe sana kupitiliza yaani unakuta hadi tofauti yake na muerope ni nywele tu na lens ya jicho mfano nzuri angalia Wamarangu.
Sasa kwanini hivi? Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini?
Kamera na rangi halisi wapi na wapi mufti?Teknolojia ya camera imeimprove sana.
Ngoja waje.....Labda wanajiongeza...
Mkuu hujui kua camera ina play part kubwa kwenye quality ya picha?Kamera na rangi halisi wapi na wapi mufti?
Malizia zote hadi za masikioZamani binti wa miaka 30 ana bikra ila sahivi miaka 10 kashatolewa bikra
Nimeamini kumbe humu wengi hamkusoma!!!Sisi EA tuko ukanda wa Ikweta jua linatugonga kisawa sawa direct usoni!! na watanzania wengi mna rangi mbili mbili!!Kwani hujui siku hizi kimsboy kuna mikorogo!!! Mpaka wanaume wana2mia mikorogo, nenda dar na Tanzania kote utakutana na mijanaume inakalkiti nywele na kutumia mikorogo iwe kama waarabu, pamoja na hayo bado hawajafikia hata robo ya waarabu/wazungu. Ni ujinga na ulimbukeni kumkosoa aliyekuumba.
1.Ukiangalia wa picha ya kwanza hapo juu!!
mixologist ni mweupe! pee!Zidisheni maombi mtakua weupe
1. Life, maisha yamebidilika kwa kiasi kikubwa, kipindi cha nyuma hakukuwa na usafiri wa rahisi kama ilivyo sasa, watu walitakiwa kutembea umbali mrefu kwenda makazini, masokoni, mawindoni etc Hata kwa wazungu rangi yao ya sasa karne hii wengi ni pale tofauti na kipindi hicho ilikuwa tan ukitoa familia za kifalme ambao walikaa kivunini muda mwingi.Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini
Ukiangalia picha za zamani za miaka 1700 1800 huko Waafrika wote inaonekana walikua weusi kabisa
Sasa miaka hii na miaka michache ya nyuma kuanzia 1900 na hadi sasa Waafrika wengi ni weupe.
Hapa nazungumzia weupe sana,na ambao wapo brown watu weusi tii ni wachache sio wengi sana mfano katika jamii fulani
Mfano nzuri angalieni Wachaga wengi tu ni weupe kabisa, lakini mfano Wajaluo wengi ni weusi tii kabisa
Sasa kwanini sasa hivi kwanini Waafrika tunasemaga ni weusi tii wakati kuna Rangi nyingi humu barani? Wapo weusi, maji ya kunde, brown, weupe na weupe sana kupitiliza yaani unakuta hadi tofauti yake na muerope ni nywele tu na lens ya jicho mfano nzuri angalia Wamarangu.
Sasa kwanini hivi? Watu wa zamani pichani walikua weusi sana, mbona sasa Waafrika wengi ni weupe? Kwanini?
Endelea kuomba na kukanyaga mafutamixologist ni mweupe! pee!
kwa mfano warangi, wanyakyusa,wahaya,,DSM ,wachaga nk wengi ni weupe sababu Moshi hakuna direct utla violet scotch huko moshi!......