"Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza

Kaka Pascal Tabia ya mtu huwezi kuipima kwa mazungumzo pekee yake. Suala la kuwa vizuri katka kupangilia hoja ya mambo ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania sio credit za kujiridhisha Kama mtu huyo atauweza urais ipasavyo.
Naunga mkono hoja, kipimo kisiwe mazungumzo pekee.
Mbona nilisema kila kitu kumhusu JPM tangu 2014, nilisema Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli na baada ya uchaguzi nikasema Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! but he kept changing for the better, hivyo nikaanza kusifu, hadi anatwaliwa ni straight peponi!.
Pascal utakubaliana na Mimi kwamba Rais Magufuli hayupo vizuri Sana katka kupangilia hoja lkn yupo vizuri katka kusimamia kile anachokiamini na baadae kuleta mawazo chanya kwa wananchi.
Nakubaliana na wewe 100% kwa 100% na hiki ndicho wananchi wanachotaka!, changing people's mindset, Tanzania sio nchi masikini, Watanzania sio masikini!, ukichange mindset kutoka umasikini na kuwa tajiri, unakuwa tajiri!. Positive outlook and positivity na positivism attitude!.
Usipokubaliana na Mimi Basi wewe Ni msifiaji tu bila kujua unachosifia kina nantiki gani ukirejerea post zako nyingi zipo humu za kusifia utendaji mzuri wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania .
Mimi sio msifiaji tuu kama machawa!, kila nikisifu kitu naweka na reasons, na hata huyo ninayemsifu akikosea namkosoa!.
Na ukikubaliana na Mimi kuwa uongeaji sio utendaji Basi post yako hapa juu haina mantiki yoyote zaidi ya kusifia facial expression ya Mama Samia
Japo nakubaliana na wewe kuwa uongeaji sio utendaji, lakini naamini by now na wewe utakuwa umeona how much I was damm right!.
Naunga mkono hoja na naamini hili utakuwa umeliona na kulishuhudia.
Need I say more?.
P
 
Kumbe ndio maana...!, then 2025 tunakwenda kupata SUK ya JMT!.
P
 
Mama Samia yuko vizuri sana. Tafuta clip alipomtembelea Tundu Lissu pale Hospitalini Nairobi. Utamfaidi Samia orijino yaani bila zile mbwembwe za kisiasa. Mama mmoja mtamu saaana.
Duh...!, Mkuu Mindi hizi lugha hizi...!,
P
 
Mkuu Hassan J. Mosoka , leo ndio nakusoma hapa in between the lines!, umesema jambo fulani kubwa sana, ambapo zile Idara za wale 'jamaa' za wenzetu ndio huwa wanachukulia serious!. Kwa vile walifanya siri, usikute ni kweli hiki ndicho kilichotokea!.
You are very powerful fellow!, sharpen those powers!.
P
 
Uchaguzi Mkuu wa rais anafanyikia mioyoni mwa watu siku nyingi kabla, mfano sasa japo tuko 2023, lakini uchaguzi wa rais wa JMT wa 2025 ameisha chaguliwa mioyoni mwa watu, uchaguzi ni kukamilisha tuu taratibu!.
P
Ni kwa sababu unajua kuwa hapa huwa haufanyiki uchaguzi bali uchafuzi kama uliofanywa na yula juha wa kisukuma
 
Ni kwa sababu unajua kuwa hapa huwa haufanyiki uchaguzi bali uchafuzi kama uliofanywa na yula juha wa kisukuma
Kiafrika tuna mila na utamaduni wa kuwaheshimu marehemu wetu, mtu very bright upstairs with calculus photographic memory, huwezi kumuita juha!.
P
 
appreciate = thamini

Ila kwa vile umeijaza kimombo kuonesha msisitizo, acha ikae hivyo!
Nikiacha hivyo na kuonekekana kama mimi natamani... haitakuwa poa, japo mimi pia ni binadamu, na wanadamu wote ni viumbe dhaifu!.
P
 
Duhh, hizi kauli kweli huumba. Haikuchua muda.


“Kwa hoja kama hizi za huyu mama Samia, kama age sio issue sana, si huyu mama atatufaa sana 2025 au tuwashauri kwa vile Magufuli analamika sana kuhusu urais, mara ni mateso, mara ni kazi ngumu, mara ni mzigo mzito, tumshauri rais Magufuli, kwa vile Samia anatosha sana, hivyo tumpunguzie mateso, hana haja ya kuendelea na mateso, mzigo mzito na kazi ngumu ya urais, na hata kama ni wale tausi au wanyama wa Magogoni, au yale majabali ya Chamwino, tutamjengea Chato na kumuomba bora apumzike tuu mapema, na kumpisha Mama Samia ndio amalizie ngwe yake iliyobakia?. Hili mnalionaje?.”
 
Kiafrika tuna mila na utamaduni wa kuwaheshimu marehemu wetu, mtu very bright upstairs with calculus photographic memory, huwezi kumuita juha!.
P
Juha ni juha tu awe mzima au marehemu, uzuri alikuwa chizi akaonekana ni bright kwa wenzie
 
Pascal Bango lako hili limekuwa kama Dua njema kwa Mama Samia
Leo ndie Mku wa Nchi
Sasa Ni wakat muafaka kuondoa Kero zote za Muungano
ikiwemo ya Mamlaka ya Zanzibar kurejeshwa.
 
Taja faida zake Ili uweze kutuambia utaulinda kwa Gharama zote!
Karibu hapa usome faida za muungano.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…