Watu wakimya (introverts) mnapataje marafiki wa kawaida ukubwani?

Watu wakimya (introverts) mnapataje marafiki wa kawaida ukubwani?

Kwani marafiki ni watu wa namna gani wakuu??

Nyie mnaosema mna rafiki mmoja sijui wawili, ina maana kitaa hamfahamiki kabisa??
Ukienda bar pale counter hamna anaekuja kukupa hi na story mbili tatu za hapa na pale zaidi ya huyo rafiki yako mmoja sijui wawili??

Kama ni hivyo hayo maisha ni hatari, mnaishije? Mmeajiriwa? Au mmejiajiri na kama labda ni mfanyabiashara utawezaje bila kuwachangamkia wateja??

Au labda mna wana/washkaji ila marafiki ndo hao wawili tu??
 
Wanaume na nyie mnakuaga na so called best friends???
Yaaah ipo hiyo. Hata uwe na marafiki milioni lakini yupo/wapo wachache ambao mnaaminiana n Kufichiana siri, ila hii ni kwa wachache achana na wale lopolopo hawana hiyo wao kila mtu ni rafiki yao na wanafunguka ishu zao hata za ndo kwa kila mtu as long as mnafahamiana.
 
Yaaah ipo hiyo. Hata uwe na marafiki milioni lakini yupo/wapo wachache ambao mnaaminiana n Kufichiana siri, ila hii ni kwa wachache achana na wale lopolopo hawana hiyo wao kila mtu ni rafiki yao na wanafunguka ishu zao hata za ndo kwa kila mtu as long as mnafahamiana.

Hatuna BF sisi tuna WANA,MCHIZI WA DAMU, namaKaka(Broz), kabla ya kua mtu mzima zaidi ukiwa kijana lazima utakua na mwana mmoja ambae mnaelewana sana na yule bro ambae mnaheshimiana sana kwa wana unaweza kuta mnapambana kutafuta maisha kwenye kazi moja aneo moja na unapoanguka mnasaidiana vitu vidogo vidogo na dill za apa na pale mnapeana pia Bro ndo yule anakusaidia mambo makubwa na ndo kimbilio la kupata ushauri au suluhu ya tatizo kubwa lilikukuta.

kama unavyoona kina harmo na chopa na Jembe pia kina Dai na Romy na Babutale and etc.
 
Hatuna BF sisi tuna WANA,MCHIZI WA DAMU, namaKaka(Broz), kabla ya kua mtu mzima zaidi ukiwa kijana lazima utakua na mwana mmoja ambae mnaelewana sana na yule bro ambae mnaheshimiana sana kwa wana unaweza kuta mnapambana kutafuta maisha kwenye kazi moja aneo moja na unapoanguka mnasaidiana vitu vidogo vidogo na dill za apa na pale mnapeana pia Bro ndo yule anakusaidia mambo makubwa na ndo kimbilio la kupata ushauri au suluhu ya tatizo kubwa lilikukuta.

kama unavyoona kina harmo na chopa na Jembe pia kina Dai na Romy na Babutale and etc.
Ni utofauti wa maneno tu ndgu lakini wana wa damu ndo hao bf kwa girls.

Kwa wanaume hasahasa ni wale wana mliokua pamoja, mnaenda sambamba kwa almost kila kitu.

Wana na machizi wengine wako na wa mwanao ambao automatically wanakua machizi wako pia.
 
Ni utofauti wa maneno tu ndgu lakini wana wa damu ndo hao bf kwa girls.

Kwa wanaume hasahasa ni wale wana mliokua pamoja, mnaenda sambamba kwa almost kila kitu.

Wana na machizi wengine wako na wa mwanao ambao automatically wanakua machizi wako pia.

Nikweli mkuu ila huo utofauti wa maneno unamaana kubwa kwetu sijui kwa wao kike, trust me hawa viumbe hua hawapendi kuona wanaume tupo pamoja tuna ule ukaribu sana, hua wanaamini wao ndo wana iyo nafasi kwaiyo wakikuona unampost mwana labda na kila picha upo nae wanaanza kukusema vibaya ili mwachane tuu wanaweza hata kuwaita mashoga ili tuu muachane ibaki nafasi yao hii nimeigundua basda yakua mtu mzima kumbe wife wangu hakua anapenda ukaribu nilokua na mshikaji wangu damdam tulohustle pamoja toka enzi za kujitafuta hadi kua miji yetu na familia zetu now ,alipokuja kupata dili lingine akahamia huko mbali ndo akanifungukia yote nkajua kua hawa viumbe wakoje akilini mwao ndo maana nikamuwahi uyo dada hapo juu kua sisi hatuna ma BF ila ni Wana maana akili zao wanawaza tofauti na sisi.
 
Nikweli mkuu ila huo utofauti wa maneno unamaana kubwa kwetu sijui kwa wao kike, trust me hawa viumbe hua hawapendi kuona wanaume tupo pamoja tuna ule ukaribu sana, hua wanaamini wao ndo wana iyo nafasi kwaiyo wakikuona unampost mwana labda na kila picha upo nae wanaanza kukusema vibaya ili mwachane tuu wanaweza hata kuwaita mashoga ili tuu muachane ibaki nafasi yao hii nimeigundua basda yakua mtu mzima kumbe wife wangu hakua anapenda ukaribu nilokua na mshikaji wangu damdam tulohustle pamoja toka enzi za kujitafuta hadi kua miji yetu na familia zetu now ,alipokuja kupata dili lingine akahamia huko mbali ndo akanifungukia yote nkajua kua hawa viumbe wakoje akilini mwao ndo maana nikamuwahi uyo dada hapo juu kua sisi hatuna ma BF ila ni Wana maana akili zao wanawaza tofauti na sisi.
Unam-post post Mwanaume mwenzako ili iweje Kamanda?
 
iko hivi nna marafiki kutokana na backgrounds kuna hawa old friends, school mates, colleagues na hata room mates lakini sasa wote wananichukulia kama mtu wao wa karibu sana....kwa kila mmoja na nafasi yake

Ila tatizo mimi nawachukuliq kawaida sina yule best friend mpaka leo ila hao wanadhani mimi ni best friend wao utakuta najua vitu vingi kuhusu wao ila hao wanajua 30% kuhusu mimi!

Hivi hapo ni nn kifupi hamna mtu ntakaefunguka kwake na kujiachia 100% awe mzazi/ mpenzi always naweka guard... sijawahi amini mtu
Nlijua mm ni waajabu, kumbe siko peke yangu, kuna mambo yangu ya ndani hata mzaz wangu hajui. Ninayajua mm tu. Sijawahi kumwamini mtu asilimia 50+
 
Unam-post post Mwanaume mwenzako ili iweje Kamanda?

Mkuu kwenye maisha kuna bro kodes moja wapo nikujaliana, mi mke wangu na mke wangu tunaweza kupata matatizo au tukapata mtoto rafik zangu hua wananipost kunipa moyo au hongera je apo kunatatizo mkuu? Pia kama ushaona hata huko mbele wakina dj khalid hupostiana hata hao kina birdman pia hupostiana na kuna siku dj khalid alishamnunulia zawad ya viatu Jayz kama mshikaji wake kitu ambacho huku hatuwez kufanya ila mi kwangu kupostiana kama kupeana hongera moyo au kukumbushiana mambo ya zamani its ok kwangu
 
Mkuu kwenye maisha kuna bro kodes moja wapo nikujaliana, mi mke wangu na mke wangu tunaweza kupata matatizo au tukapata mtoto rafik zangu hua wananipost kunipa moyo au hongera je apo kunatatizo mkuu? Pia kama ushaona hata huko mbele wakina dj khalid hupostiana hata hao kina birdman pia hupostiana na kuna siku dj khalid alishamnunulia zawad ya viatu Jayz kama mshikaji wake kitu ambacho huku hatuwez kufanya ila mi kwangu kupostiana kama kupeana hongera moyo au kukumbushiana mambo ya zamani its ok kwangu
Sawa umri wako nimeshauelewa, all the best mkuu.
 
Back
Top Bottom