Nakukunda
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 876
- 1,643
Kumbe mimi nina nafuu kidogoHahahahahahahaa
At least ninae mmoja tu ambaye nipo very comfortable nae sema tu yupo mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe mimi nina nafuu kidogoHahahahahahahaa
Hakuna introvert anayependa umbea na unafiki.Hii point ipo sawa lakin does not work every where somtmes introvert wanakuwa na pesa lakin wanakosa mtu au marafiki wa kutumia nae hizo pesa ukiachan na urafiki wa kinafiki ukiwa intro kila kitu unaona n ubatili
Wanakuja ndio ila wanaend up kukuona unaringa au unajishaua sababu mnashindwa kubondTafta hela broo ukiwa na pesa hao marafiki watakuja wenyewe!
😃I like this moment.Unajikuta tu hutaki kuongea.Wanakuja ndio ila wanaend up kukuona unaringa au unajishaua sababu mnashindwa kubond
Anakwambia njoo Samaki samaki kila siku unampa sababu mwisho anaona unajipendekeza
Kila siku yeye ndo anaanza kupiga baadae anachoka anaacha
Kuna wakati hujisikii kupokea simu wala kuongea na yoyote anapiga hupokei
Akituma sms maneno mengi unamjibu na maneno machache
Hata kama ni wewe huwezi endelea
Hahahahahahahaha[emoji2]I like this moment.Unajikuta tu hutaki kuongea.
Mimi binafsi naona kuongea sana michosho.Uzuri najua kufupisha mazungumzo.So nikiwa na mtu ambaye muongeaji sana,natumia techniques za kufanya mjadala uishe.
Unatumia maneno ya jumla,lazima ajishtukie.
It is nice.Hahahahahahahaha
Kuna wakati natamani simu isiwe na sehemu ya call
I prefer sms kuliko call
Za kazini na wazazi sina ujanja
Kuna kipindi naweka flight mode kabisa
Au nikiwa kazini nasingizia meeting namwambia mtu tuma sms
Baadhi ya ndugu wameshasusa japo tukikutana nao niko social sana na nawapenda mno
Nasingizia kazi ila nachukia simu tu na sijui why nachukia
Wewe wasema...Ubinafsi tu! Hakuna cha introvet bongo hayo ni magonjwa ya wazungu,ukiona mbongo anakwambia yy ni introvet jua ni mbinafsi anajificha kwenye magonjwa ya kizungu
Sexy.Jikagueni
View attachment 2351768
Naam na ndio ukweli halisi,siku hizi watu wabinafsi wamejipachika hilo gonjwa jipya la kizunguWewe wasema...
Hawa akina bear ni mimi kabisa [emoji23]Jikagueni
View attachment 2351768
😂😂 Mhhhh sidhani aseeHawa akina bear ni mimi kabisa [emoji23]
Kwa nini 😃😂😂 Mhhhh sidhani asee
Fanya kutafuta maana ya Bear kwa Kijapan Kwanza alafu rudi hapa.Kwa nini 😃
Umeshaabza kunipa quiz jaman😞 haya ngoja nikachekiFanya kutafuta maana ya Bear kwa Kijapan Kwanza alafu rudi hapa.
Fanya kutafuta maana ya Bear kwa Kijapan Kwanza alafu rudi hapa.
Hao ni wolves.Hawa akina bear ni mimi kabisa [emoji23]
Ahsante kunisahihisha.Hao ni wolves.