azyzy omary
JF-Expert Member
- Dec 8, 2020
- 863
- 1,293
Mm ni mkimya japo sio mpole na sipendi sana kuchangamana na watu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna tofaut gan kati ya rafiki na mshkaji?Njna rafiki mmoja tu ambae ndie ndugu angu
Wengine wote wamebaki washkaji tu.
Nn tofauti ya rafiki na mshkaji?Mimi rafiki zangu wa kidunia ni miziki tu hawa wengine ni washkaji wa ile oya niaje basi, kiroho ni Mungu pekee ndo rafiki mwaminifu..
Kibongo bongo ukitaka kutoboa lazma uwe mtu wa madili na introvat tunapata sana tabu kupata madili mana wenye madili wanaogopa kutuambia wanahsi sisi ni maafsa usalamaUkija kwenye maisha ya madili Introvert utamuacha mbali sana,lakini inapokuja kutafuta pesa kwa kutumia akili lazima akuache mbali sana.Maisha ya madili ni lazima ushirikiane na watu wengi ndio utoke, lakini inapokuja kwenye kutumia akili hapo ni ubongo wako tu ndio utakufanya utoboe..
Uko sahihiKibongo bongo ukitaka kutoboa lazma uwe mtu wa madili na introvat tunapata sana tabu kupata madili mana wenye madili wanaogopa kutuambia wanahsi sisi ni maafsa usalama
Sijaona uhusiano wa kuwa introvert na kuwa single mother...Kuwa introvert kumenicost sana kimahusiano
Nimekuwa na small range of choice
Na usinglw mother ukaja
Ratiba yangu ikawa
1. KAZI ambayo ni too much demanding
2.FAMILIA ambayo napenda kuspent nao muda unaobaki baada ya kazi
3.KANiSANI jpili tu
4.BEING ALONE( STAREHE KUBWA) kudraw my energy
Nikaweka tangazo la mchumba hapa nikapigwa na kitu kizito nikawa single mother wa second JF baby
Kazini wengi wameoa na wengine wadogo zangu wananiheshimu balaa boss wao
Au wasiwe na marafiki kabisa 🥴Introvert's circle of friends is very small and tight.
Usishangae ukakuta watu kama hawa wana marafiki hawafiki watatu au watano.
Wewe ni Extrovert au Extroverted Introvert ? 🥴Sijaona uhusiano wa kuwa introvert na kuwa single mother...
Ukiwa na small range of choice ni more likely ukakutana na wrong partner(s) sababu uwanja wa machaguo ni mdogo sana sana sana na hata ukimpata sababu hauko social sana sio rahisi kumjua vema na sababu ya upweke he/she may take advantage of thatSijaona uhusiano wa kuwa introvert na kuwa single mother...
Okay.Ukiwa na small range of choice ni more likely ukakutana na wrong partner(s) sababu uwanja wa machaguo ni mdogo sana sana sana na hata ukimpata sababu haiko social sana sio rahisi kumjua vema na sababu ya upweke he/she take advantage of that
Nmekuelewa Mimi nina zero friends except one 🥴😟Ukiwa na small range of choice ni more likely ukakutana na wrong partner(s) sababu uwanja wa machaguo ni mdogo sana sana sana na hata ukimpata sababu haiko social sana sio rahisi kumjua vema na sababu ya upweke he/she take advantage of that
DuhNmekuelewa Mimi nina zero friends except one [emoji3061][emoji45]
Mmoja ni Mimi mwenyewe mkuu 🥴🤒Duh
Aisee
Changamoto sana
Hongera hata kwa mmoja
HahahahahahahaaMmoja ni Mimi mwenyewe mkuu [emoji3061][emoji855]
Acha kukaa kinyonge mkuu.Enjoy being introvert🙂.Mmoja ni Mimi mwenyewe mkuu 🥴🤒
Yeeeees mkuu that's how I doAcha kukaa kinyonge mkuu.Enjoy being introvert🙂.
Just be confident,work on your dreams then chill and watch how things move smoothly...
Ni ushauri mzuri sanaAcha kukaa kinyonge mkuu.Enjoy being introvert[emoji846].
Just be confident,work on your dreams then chill and watch how things move smoothly...
Hii point ipo sawa lakin does not work every where somtmes introvert wanakuwa na pesa lakin wanakosa mtu au marafiki wa kutumia nae hizo pesa ukiachan na urafiki wa kinafiki ukiwa intro kila kitu unaona n ubatiliTafta hela broo ukiwa na pesa hao marafiki watakuja wenyewe!