Watu wakiuliwa kikatili ni haki wananchi kuandamana! Hii hapa mifano kutoka nchi mbalimbali duniani

Watu wakiuliwa kikatili ni haki wananchi kuandamana! Hii hapa mifano kutoka nchi mbalimbali duniani

Kwani hao watu milioni saba na zaidi walijiandikisha kwenye vyama sio Watanzania. Sasa kwanini sheria za maandamano zipo Tanzania! ni kwa CCM tu au. Basi toeni sheria hizi futeni vyamba tuwe kama uganda kama hamtaki vyama sio kuuwa watu na kupiga risasi wapinzani. Mambo ya kutekana hakuna Mtanzania ambaye si Chawa anafurahia hata wana CCM.
Mnajilalamisha kama wajinga,yaani utamke kabisa kwamba itafanya maandamano ya kumtoa Rais harafu uchekewe kwamba unazuiwa kufanya maandamano?

Hiyo kama ndio Haki basi haipo kokote hata kule mnakodhani Kuna Demokrasia ya Vyama vingi mfano Kenya ,Ruto aliingiza wanajeshi mtaani na kusema Serikali inaondolewa kwenye kura ndicho na SSH kawaambia juzi.

Mama kamatia hapo hapo Hawa wasilete mzaha
 
ni muhimu zaidi kuandamana hata kwaajili ya wanaikufa kwa ajali za bodaboda, magari na malori...

na ita make sense zaidi kuandamana hata kwa wanaofia mahospitalini kwa sababu mbalimbali, kifo ni kifo tu ndrugu zango, hakibagui mtoto wala mkubwa, mwanasiasa au mwalimu, tajiri au maskini n.k🐒

kwanini maandamano ya kibaguzi hvyo ndrugu zango? 🐒
NDUGU YANGU USIPOTOSHE, NARUDIA USIPOTOSHE..NIFUATE HAPA CHINI NIKUPE DARASA ,TUELIMISHE WATU SIO KUWAPOTOSHA..

Ndugu yangu, Comrade Tlaatlaah Siungi Mkono machafuko Aina yoyote ile wala Mtu yoyote mwenye kupanga kufanya mapinduzi,Maovu aunkuchafua taswira wala itikadi ya chama changu kwani tunaamini au inajikita kwenye Ujamaa

Ila kwa Hili Umejibu bila kufikiria Pengine ni Muhemko wa Hoja aliyoitoa Alikuwa Upande usioupenda..

Nakujua Kwa nondo unazotoa ila kwa hili utanisamehe nipingane na wewe Kisomi..

kwakuwa umejibu bila kuhusisha Intellectual Thinking..

Moja kwa moja niende kwenye Hoja Uliyoitanguliza...

Kifo hakiwezi kuwa Sawa kwa muktadha wowote ule labda kama unazungumzia kidini ila sio kisheria na kisiasa..

Kuna Natural Cause of Dealth na Un-natural cause of Dealth..

Kifo cha mtu aliyekufa kwa Malaria sio sawa na kifo cha mtu aliyechomwa na Kisu au aliyepatwa na ajali yaani kukatishwa Uhai..

Na ndo maana Kifo cha Malaria na vifo vingi naturally huwa havina Postmortem Labda kama Ndugu watahitaji kujiridhisha..

ila ni matakwa ya Kisheria kwa Un-natural dealth Zote kufanyiwa Uchunguzi...

Nikukumbushe Hata kwenye aina Ya kifo kwenye Cheti cha Kifo (Dealth Type) huandikwa Unnatural cause au Natural cause..

SIamini Kuwa Ulichokisema ni Msimamo au Itikadi ya Chama Hata kama kitakuwa Kimesemwa na Kiongozi wa Chama kwani kwenye katiba ya Chama Changu Cha CCM toleo la mwaka 2022,Ibara ya 4 ibara ndogo ya (1) kuhusu Imani ya Chama chama Kinaamini Binadamu wote ni sawa! (Hii kauli nitaitumia Baadae kwenye Conclusion)

Hata hivyo tukisoma katika ibara ya 8 (2) ikisomwa pamoja na Ibara ya 8(6) ya Katiba hiyo hiyo ya chama Toleo la 2022..

"Masharti ya kuwa Mwanachama wa CCM ni mtu anayefanya juhudi kuielewa, kuielezea kuitetea na Kutekeleza itikadi ya CCM, na kwamba kwa wakati wote ni mfano wa tabia nzuri,kwa vitendo vyake na kauli yake"

NA kauli uliyotoa si Mojawapo wa Itkadi.ya chama kwahyo ni vizuri ukachutama na Kutafuta Muda Kujifunza kuhusu itikadi ya chama na Yapi hasa ni maneno ya Kuongea Maana nimeona Ulipoongea CHAMA kimeanza Kutukanwa Kupitia wewe..

hili Halikubaliki hasa Tunapoelkea kwenye Uchaguzi

Katiba yetu Ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977, Ibara ya 14 na 15..Imejielekeza wazi kuhusu Haki ya Kuishi, Kufungwa kwa Nguvu au Kukamatwa kwa mabavu na hata kuuliwa..

Screenshot_20240919_063329_Adobe Acrobat.jpg


Labda Pengine Upofu umekuja kwenye Kauli yako.ya Kila Kifo ni sawa nimeelezea Kuhusu Natural na unnatural Death ila hata hivyo..

Kwenye Vifo visivyo Vya asili "yaani vya kukatishwa" uhai vimegawanyika katika makundi mawili..

Murder Case na Manslaughter case...

Yaani kukatisha Uhai kwa Kukusudia na Kukatisha Uhai kwa kutokukusudia na Hivyo vyote Vipo kwenye sheria zetu, au hukubahatika kuvisoma??

Bhasi nifatilize hapa..

Kwa Mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu ya Makosa ya Jinai Sura ya 16 (Penal Cap 16) marekebisho ya mwaka 2022.. Ibara ya 194 na 196,197 na 198
Imeeleza na Kutofautisha aina za Vifo vya kukatishwa Uhai..

Kwa lugha ya Kingereza..
Screenshot_20240919_055822_Adobe Acrobat.jpg


Kwa Lugha ya Kiswahili

Screenshot_20240919_060203_Adobe Acrobat.jpg


Sio hivyo hata Adhabu katika Sheria umeona Ziko tofauti hapo kwenye ibara ya 197 na 198 (Sheria ya Kiswahili) ikiwa Imethibitika kwa kosa hilo limetendwa..
Screenshot_20240919_055848_Adobe Acrobat.jpg


Pia hata Hiyo Manslaughter yaani kuua bila kukusudiwa Imetafsiriwa Vizuri kabisa na Sheria hiyo hiyo kuanzia ibara ya 201 mpaka 203 na adhabu yake iko wazi kabisa..

Lets say wewe umeenda Nyumbani umekuta Kuna mtu yupo na Mkeo na kwenye ubishani ukaamua kumuua itaangaliwa Muda wa Hasira ilipotokea na Tukio la kuua ili iamuliwe kama ni Manslaughter au Ni murder.. na ikumbukwe hata ukisema Nakuua Leo na ukashindwa Kumuua hiyo itachukuliwa kama Attempting Murderer ..TUSOME SHERIA ZIKO WAZI

kwa Kingereza
Screenshot_20240919_055945_Adobe Acrobat.jpg

Screenshot_20240919_060005_Adobe Acrobat.jpg


Kwa Waswahili..
Screenshot_20240919_060235_Adobe Acrobat.jpg

Screenshot_20240919_060254_Adobe Acrobat.jpg



NARUDIA TENA SI KILA KIFO KINAFANANA VIFO HAVIFANANI NA KINGINE TUSIPOTOSHE
 
Vyama vya siasa vina organize tu. Hata USA wanasiasa wana andamana na wananchi kila siku.

Vilevile Vyama ni watu na ni wananchi na wanaruhusiwa kuandamana. Tanzania yenyewe vyama vinaruhusiwa kuandamana bila masharti yeyote. Wanatakiwa kuwaharifu polisi tu tena sio kuwaomba. Ikitokea fujo ndiyo hapo polisi wanatakiwa kuingilia. Huwezi tu kukataza maandamano kwasababu hupendi wanacho ongelea. Kama hatutaki upinzani Tanzania tufute na sio kuuwa watu na kuumizana bila sababu ya msingi. Halafu unawaambia watu wasubiri riport ambayo tunajua hazitoki.

Wananchi acheni uchawa wa kijinga na kutetea wauaji maana kesho anaweza akawa ndugu yako
Mkuu kuna tofauti kubwa kati ya wananchi na vyama vya siasa na maandamano yao.
 
Back
Top Bottom