Watu walio kwenye utumishi wa umma karibu wote ni vilaza ukitoa wahadhiri wa vyuo vikuu

Watu walio kwenye utumishi wa umma karibu wote ni vilaza ukitoa wahadhiri wa vyuo vikuu

Chikenpox

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2022
Posts
784
Reaction score
1,246
Hizi kazi za serikali ni kujuana tu na ukishapata hamna kazi inayofanywa huko na competence haiangaliwi kazini kwa sababu hakuna mtu wa kuwaangali ukilinganisha na private sector ambapo results oriented.

Utakuta mtu ni HR kwenye let say chuo kikuu Cha umma au chuo kama TIA lakini hajui lolote anakaa ofisini tu hajui afanye kazi gani.

Wahasibu wengi wizara ya fedha ni vilaza hawajui hata analysis ya chochote lakini hakuna wa kuwaangalia.

Ukija huku polisi au jeshi ndio madudu yamejaa. Mtu hajui hata kuandika maelezo ya mtuhumiwa japo wanajiita eti wanaintelligency sijui hiyo intelligence unatoka wapi wakati ukimuangalia unatamani umnyang'anye pen uanze kunifundisha hata kuandika.

Jeshini nako wanashinda wanalewa tu Maana hakuna kazi ya kufanya hata ukichunguza institutions wanazomiliki Kama shule walimu wa kijeshi ni vilaza hawajui chochote.

Nilicho-conclude ni kwamba wenye akili na big brains wako mtaani wanakufa kwa stress tu hasa anapoona mtu aliyesoma naye kilaza wa kutupwa ndio kashikilia kitengo kinachohitaji mtu mwenye akili kama yeye lakini yeye anakufa kwa kutopata connection tu.
 
Hizi kazi za serikali ni kujuana tu na ukishapata hamna kazi inayofanywa huko na competence haiangaliwi kazini kwa sababu hakuna mtu wa kuwaangali ukilinganisha na private sector ambapo results oriented.

Utakuta mtu ni hr kwenye let say chuo kikuu Cha umma au chuo kama TIA lakini hajui lolote anakaa ofisini tu hajui afanye kazi gani.

Wahasibu wengi wizara ya fedha ni vilaza hawajui hata analysis ya chochote lakini hakuna wa kuwaangalia.

Ukija huku polisi au jeshi ndo madudu yamejaa. Mtu hajui hata kuandika maelezo ya mtuhumiwa japo wanajiita eti wanaintelligency sijui hiyo intelligence unatoka wapi wakati ukimuangalia unatamani umnyang'anye pen uanze kunifundisha hata kuandika.

Jeshini nako wanashinda wanalewa tu Mana hakuna kazi ya kufanya hata ukichunguza institutions wanzomiliki Kama shule walimu wa kijeshi ni vilaza hawajui chochote.

Nilichoconclude ni kwamba wenye akili na big brains wako mtaani wanakufa kwa stress tu hasa anapoona mtu aliyesoma naye kilza wa kutupwa ndo kashikilia kitengo kinachohitaji mtu mwenye akili kama yeye lakini yeye anakufa kwa kutopata connection tu.
Kwa vile asilimia kubwa ni wanaccm huko ndiyo kuna kiwanda cha kuzalisha wapumbavu
 
Siiju ehhhe nambie
Hao wenye uwezo mkubwa si ndio hawataki kuajiriwa serikalini? Kuna uzi ulikuwa unawananga waajiriwa wa serikalini kuwa watakufa maskini maana mishahara ni duni.
Hivi kazi HR kwanza unaifahamu mkuu.
Ii
 
Tafuta konekisheni gpa kubwa peleka nyumbani kwako...hata hao wahadhiri wachuo kutwa kuchwa kukimbizana na sketi..hawana masaada kwa taifa tafiti zao ni kopy na paste.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hao wenye uwezo mkubwa si ndio hawataki kuajiriwa serikalini? Kuna uzi ulikuwa unawananga waajiriwa wa serikalini kuwa watakufa maskini maana mishahara ni duni.
Hivi kazi HR kwanza unaifahamu mkuu.
Usimpatilize Naye ni kilaza huyo..Atambue humo serikali watu wanajua sana sema wanakosa motisha haswa kweny maslahi mfano watu wa afya na walimu yeye anapiga porojo na walimu hao mbona walienda private wanakuwa nondo baada ya kupata misharaha mikubwa.

Nilikuwa na ticha wangu alikuwa ni mtu wa zenji alitufunfisha physics miaka hyo alikuwa na degree na ni best performer pale udsm ..basi alikuwa anatueleza kwamba serikali hamna maslahi maana alikuwa mlevi wetu pia kweny ishu za dini tulikuwa tunaongea nae sana kipind tupo form two yeye alikuwa na miaka 4 kwenu ajira tayar na uzoefu wa kutosha,basi kufundisha ni ile yuko slow kwanza alikuwa anafundisha madarasa form 1 -4 maa alikuwa na wenzie wakike wote walikuwa meternity leave karibia miezi 6...Topic alikuwa kumaliza mtihani mpaka anatupanga tuje remedial na weekend

Miaka kdhaa mbele alikuja chukuliwa na shule alikuwa inaanzisha ya kiislamu hapo hapo mkoani sio kwao zenji ..walimpa mpaka gari dah!! Ile shule intake ya kwanza walifaulu physics 80% kwa ufaulu mzuri wakampa mpaka kiwanja maeneo karibu na shule mpaka leo ile shule ni hatar na Kuna kipind aligoma akaongeweza msharaha yuko mbali maana nawasiliana nae sana ni mpemba ana nyumba mbili sasa ukiachana na aliyopewa karibu na shule
 
Hizi kazi za serikali ni kujuana tu na ukishapata hamna kazi inayofanywa huko na competence haiangaliwi kazini kwa sababu hakuna mtu wa kuwaangali ukilinganisha na private sector ambapo results oriented.

Utakuta mtu ni HR kwenye let say chuo kikuu Cha umma au chuo kama TIA lakini hajui lolote anakaa ofisini tu hajui afanye kazi gani.

Wahasibu wengi wizara ya fedha ni vilaza hawajui hata analysis ya chochote lakini hakuna wa kuwaangalia.

Ukija huku polisi au jeshi ndio madudu yamejaa. Mtu hajui hata kuandika maelezo ya mtuhumiwa japo wanajiita eti wanaintelligency sijui hiyo intelligence unatoka wapi wakati ukimuangalia unatamani umnyang'anye pen uanze kunifundisha hata kuandika.

Jeshini nako wanashinda wanalewa tu Maana hakuna kazi ya kufanya hata ukichunguza institutions wanazomiliki Kama shule walimu wa kijeshi ni vilaza hawajui chochote.

Nilicho-conclude ni kwamba wenye akili na big brains wako mtaani wanakufa kwa stress tu hasa anapoona mtu aliyesoma naye kilaza wa kutupwa ndio kashikilia kitengo kinachohitaji mtu mwenye akili kama yeye lakini yeye anakufa kwa kutopata connection tu.
Ukiugua gono yupo wa kukuchoma sindano... ukiumwa kichocho na vipindupindu huko ushenzini kwenu wapo wa kuwapa dawa na ukajua kusoma kupitia walimu leo Role model wako ni Harmonise kuliko wanaokutumikia katika sekta za umma!!

We ni mtu wa hovyo na li nyani kama walivyo waswahili wenzio wengi.
 
Hizi kazi za serikali ni kujuana tu na ukishapata hamna kazi inayofanywa huko na competence haiangaliwi kazini kwa sababu hakuna mtu wa kuwaangali ukilinganisha na private sector ambapo results oriented.

Utakuta mtu ni HR kwenye let say chuo kikuu Cha umma au chuo kama TIA lakini hajui lolote anakaa ofisini tu hajui afanye kazi gani.

Wahasibu wengi wizara ya fedha ni vilaza hawajui hata analysis ya chochote lakini hakuna wa kuwaangalia.

Ukija huku polisi au jeshi ndio madudu yamejaa. Mtu hajui hata kuandika maelezo ya mtuhumiwa japo wanajiita eti wanaintelligency sijui hiyo intelligence unatoka wapi wakati ukimuangalia unatamani umnyang'anye pen uanze kunifundisha hata kuandika.

Jeshini nako wanashinda wanalewa tu Maana hakuna kazi ya kufanya hata ukichunguza institutions wanazomiliki Kama shule walimu wa kijeshi ni vilaza hawajui chochote.

Nilicho-conclude ni kwamba wenye akili na big brains wako mtaani wanakufa kwa stress tu hasa anapoona mtu aliyesoma naye kilaza wa kutupwa ndio kashikilia kitengo kinachohitaji mtu mwenye akili kama yeye lakini yeye anakufa kwa kutopata connection tu.
Kuna mwalimu wa primary huwa nawasiliana naye severally, nikiangalia anavyoandika msg, asivyojua kuwa inatakiwa kuwepo space baada ya koma na nukta, anavyokosea spelling tena za Kiswahili tu, najiuliza sana alivyopata huo ualimu na anachofundisha watoto huko🙄🤔
 
Tafuta konekisheni gpa kubwa peleka nyumbani kwako...hata hao wahadhiri wachuo kutwa kuchwa kukimbizana na sketi..hawana masaada kwa taifa tafiti zao ni kopy na paste.

#MaendeleoHayanaChama
Mwambie hao wahadhiri ndo wanaharibu career ya watumishi kuwapa GPA za mchongo mara kuomba rushwa ya ngono .. totally ubovu wa wahadhiri ndo unaleta upambavu mwingi .

Kipind naenda chuo hata advance sikuwa kujua kwamba Kuna mitihani inavuja dah nilikuwa shangaa hatar sana kumbe system ni ile ile uhuni mwanzo mwisho.
 
Mwambie hao wahadhiri ndo wanaharibu career ya watumishi kuwapa GPA za mchongo mara kuomba rushwa ya ngono .. totally ubovu wa wahadhiri ndo unaleta upambavu mwingi .

Kipind naenda chuo hata advance sikuwa kujua kwamba Kuna mitihani inavuja dah nilikuwa shangaa hatar sana kumbe system ni ile ile uhuni mwanzo mwisho.
Wahadhiri wenyewe wamichongo wanavutana hasa vyuo kama udsm huwezi kupata kazi pale kama sio mchaga au mhaya..hata kama kwenye usaili usitoboe watatfuta namna upate kazi.

Sasa utegemee hapo utapata watu competent kweli.?kimsingi wajanja na smart brains huwezi kuwakuta utumishi waumma wengi wapo private sectors.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wahadhiri wenyewe wamichongo wanavutana hasa vyuo kama udsm huwezi kupata kazi pale kama sio mchaga au mhaya..hata kama kwenye usaili usitoboe watatfuta namna upate kazi.

Sasa utegemee hapo utapata watu competent kweli.?kimsingi wajanja na smart brains huwezi kuwakuta utumishi waumma wengi wapo private sectors.

#MaendeleoHayanaChama
Ni hatari sana kwa kweli.
 
Kuna mwalimu wa primary huwa nawasiliana naye severally, nikiangalia anavyoandika msg, asivyojua kuwa inatakiwa kuwepo space baada ya koma na nukta, anavyokosea spelling tena za Kiswahili tu, najiuliza sana alivyopata huo ualimu na anachofundisha watoto huko🙄🤔
Hahaha watumishi wa umma ni vilaza huo ni ukweli

Kuna mtoto mmoja alimaliza form four 2016 na akaenda chuo Cha ualimu akiwa na four ya 30

Now ameajiriwa eti mwalimu wa primary ndio anaandaa watoto wa vizazi vijavyo

Mtu aliyefeli anakuwaje mwalimu wa kuandaa taifa la badae!!

Nchi hii ina mifumo mibovu Sana!!
 
Hizi kazi za serikali ni kujuana tu na ukishapata hamna kazi inayofanywa huko na competence haiangaliwi kazini kwa sababu hakuna mtu wa kuwaangali ukilinganisha na private sector ambapo results oriented.

Utakuta mtu ni HR kwenye let say chuo kikuu Cha umma au chuo kama TIA lakini hajui lolote anakaa ofisini tu hajui afanye kazi gani.

Wahasibu wengi wizara ya fedha ni vilaza hawajui hata analysis ya chochote lakini hakuna wa kuwaangalia.

Ukija huku polisi au jeshi ndio madudu yamejaa. Mtu hajui hata kuandika maelezo ya mtuhumiwa japo wanajiita eti wanaintelligency sijui hiyo intelligence unatoka wapi wakati ukimuangalia unatamani umnyang'anye pen uanze kunifundisha hata kuandika.

Jeshini nako wanashinda wanalewa tu Maana hakuna kazi ya kufanya hata ukichunguza institutions wanazomiliki Kama shule walimu wa kijeshi ni vilaza hawajui chochote.

Nilicho-conclude ni kwamba wenye akili na big brains wako mtaani wanakufa kwa stress tu hasa anapoona mtu aliyesoma naye kilaza wa kutupwa ndio kashikilia kitengo kinachohitaji mtu mwenye akili kama yeye lakini yeye anakufa kwa kutopata connection tu.
Tafuta kazi dogo, haya malalamiko siku hizi mnafundishwa vyuoni?
 
Back
Top Bottom