Watu walio kwenye utumishi wa umma karibu wote ni vilaza ukitoa wahadhiri wa vyuo vikuu

Watu walio kwenye utumishi wa umma karibu wote ni vilaza ukitoa wahadhiri wa vyuo vikuu

Hizi kazi za serikali ni kujuana tu na ukishapata hamna kazi inayofanywa huko na competence haiangaliwi kazini kwa sababu hakuna mtu wa kuwaangali ukilinganisha na private sector ambapo results oriented.

Utakuta mtu ni HR kwenye let say chuo kikuu Cha umma au chuo kama TIA lakini hajui lolote anakaa ofisini tu hajui afanye kazi gani.

Wahasibu wengi wizara ya fedha ni vilaza hawajui hata analysis ya chochote lakini hakuna wa kuwaangalia.

Ukija huku polisi au jeshi ndio madudu yamejaa. Mtu hajui hata kuandika maelezo ya mtuhumiwa japo wanajiita eti wanaintelligency sijui hiyo intelligence unatoka wapi wakati ukimuangalia unatamani umnyang'anye pen uanze kunifundisha hata kuandika.

Jeshini nako wanashinda wanalewa tu Maana hakuna kazi ya kufanya hata ukichunguza institutions wanazomiliki Kama shule walimu wa kijeshi ni vilaza hawajui chochote.

Nilicho-conclude ni kwamba wenye akili na big brains wako mtaani wanakufa kwa stress tu hasa anapoona mtu aliyesoma naye kilaza wa kutupwa ndio kashikilia kitengo kinachohitaji mtu mwenye akili kama yeye lakini yeye anakufa kwa kutopata connection tu.
HASIRA ZA UJOBLESS HIZO
Ukweli mtupu, kila sehemu kwenye public institutions kumejaa watu wenye uwezo mdogo sana, na Wengi wao hawataki kujifunza kuongeza ujuzi
NA NYIE WA KITAA NDO MNA AKILI SANA
 
Tafuta kazi dogo, haya malalamiko siku hizi mnafundishwa vyuoni?
Kazi gani wakati jpm aliharibu kazi zote akatutengenezea umachinga. Labda kwa sasa mama anarestore situation kazi zinaanza kuonekana
 
Kuna mwalimu wa primary huwa nawasiliana naye severally, nikiangalia anavyoandika msg, asivyojua kuwa inatakiwa kuwepo space baada ya koma na nukta, anavyokosea spelling tena za Kiswahili tu, najiuliza sana alivyopata huo ualimu na anachofundisha watoto huko🙄🤔
Haya mengine ni makasiriko yaani mtu amalizi form4 asome miaka miwili chuo halafu ashindwe kuandika text?
 
Hizi kazi za serikali ni kujuana tu na ukishapata hamna kazi inayofanywa huko na competence haiangaliwi kazini kwa sababu hakuna mtu wa kuwaangali ukilinganisha na private sector ambapo results oriented.

Utakuta mtu ni HR kwenye let say chuo kikuu Cha umma au chuo kama TIA lakini hajui lolote anakaa ofisini tu hajui afanye kazi gani.

Wahasibu wengi wizara ya fedha ni vilaza hawajui hata analysis ya chochote lakini hakuna wa kuwaangalia.

Ukija huku polisi au jeshi ndio madudu yamejaa. Mtu hajui hata kuandika maelezo ya mtuhumiwa japo wanajiita eti wanaintelligency sijui hiyo intelligence unatoka wapi wakati ukimuangalia unatamani umnyang'anye pen uanze kunifundisha hata kuandika.

Jeshini nako wanashinda wanalewa tu Maana hakuna kazi ya kufanya hata ukichunguza institutions wanazomiliki Kama shule walimu wa kijeshi ni vilaza hawajui chochote.

Nilicho-conclude ni kwamba wenye akili na big brains wako mtaani wanakufa kwa stress tu hasa anapoona mtu aliyesoma naye kilaza wa kutupwa ndio kashikilia kitengo kinachohitaji mtu mwenye akili kama yeye lakini yeye anakufa kwa kutopata connection tu.
Sio kwamba wanauwezo mdogo bali wakishaajiriwa mfumo wa serikali unawafanya wawe hivyo unavyowaona.
 
Nilicho-conclude ni kwamba wenye akili na big brains wako mtaani wanakufa kwa stress tu hasa anapoona mtu aliyesoma naye kilaza wa kutupwa ndio kashikilia kitengo kinachohitaji mtu mwenye akili kama yeye lakini yeye anakufa kwa kutopata connection tu
Kwa maelezo yako hata na wewe ukipata kazi serikalini utakuwa kilaza kama hao wengine.

Maelezo yako yana ukweli uliopinda kwa kiwango cha juu. Kuna kipindi nilikuwa nashiriki sana kuhoji watumishi watarajiwa (interviews) kwa sekta niliyokuwa nafanyia kazi na kwa kiwango kikubwa tulkuwa tunapata waajiriwa wenye uwezo mzuri kitaaluma.

Mimi nimefanya kazi serikalini kwa muda wa miaka zaidi ya 40 na kwa maoni yangu yanayotokea serikalini ni kama yafuatayo:

1. Zamani (enzi unaajiriwa bila ya degree) unakwenda kujiunga kazini unamkuta bosi wako anakufunza kazi kwa uhakika kabisa na wewe bila ya dharau unasota kujifunza. Na unajifunza kweli hatua kwa hatua bila ya short cut.

Leo hii kijana ameajiriwa ana degree inakuwa balaa akifika kazini yeye ndiye anajiona anajua vitu kumbe hajui na hana uzoefu wo wote. Dharau zinakuwa nyingi sana hata ukimuelekeza anakudharau eti 'mimi nina degree ya kitu fulani wewe utaniambia nini?'. Matokeo yake wanaachwa kama walivyo na wanaishia kuharibu kazi.

2. Kupewa cheo bila ya kuwa na uzoefu kunamfanya kijana kujiona kama yeye ndiyo kila kitu, communication skills hakuna kabisa. Anaandika barua ya kiswahili tu basi haieleweki kabisa, sisemi hiyo kiingereza tena. Zamani mtumishi wa serikali ulikuwa unafanya mtihani wa kiswahili na kiswahili kigumu (hii aliniambia mfanyakazi mwenzangu).

3. Nadhani ule mpangilio wa kwenda kujifunza a b c za utumishi serikalini pale Magogoni zingerudishwa kwa ajili ya kuweka nidhamu serikalini.

Mukubali kujifunza mukipata ajira musijione muna degree ndiyo munajua kila kitu.
 
Hizi kazi za serikali ni kujuana tu na ukishapata hamna kazi inayofanywa huko na competence haiangaliwi kazini kwa sababu hakuna mtu wa kuwaangali ukilinganisha na private sector ambapo results oriented.

Utakuta mtu ni HR kwenye let say chuo kikuu Cha umma au chuo kama TIA lakini hajui lolote anakaa ofisini tu hajui afanye kazi gani.

Wahasibu wengi wizara ya fedha ni vilaza hawajui hata analysis ya chochote lakini hakuna wa kuwaangalia.

Ukija huku polisi au jeshi ndio madudu yamejaa. Mtu hajui hata kuandika maelezo ya mtuhumiwa japo wanajiita eti wanaintelligency sijui hiyo intelligence unatoka wapi wakati ukimuangalia unatamani umnyang'anye pen uanze kunifundisha hata kuandika.

Jeshini nako wanashinda wanalewa tu Maana hakuna kazi ya kufanya hata ukichunguza institutions wanazomiliki Kama shule walimu wa kijeshi ni vilaza hawajui chochote.

Nilicho-conclude ni kwamba wenye akili na big brains wako mtaani wanakufa kwa stress tu hasa anapoona mtu aliyesoma naye kilaza wa kutupwa ndio kashikilia kitengo kinachohitaji mtu mwenye akili kama yeye lakini yeye anakufa kwa kutopata connection tu.
Fikiri nje ya box
 
Too subjective, mkuu kunywa maji baridi.
 
Hizi kazi za serikali ni kujuana tu na ukishapata hamna kazi inayofanywa huko na competence haiangaliwi kazini kwa sababu hakuna mtu wa kuwaangali ukilinganisha na private sector ambapo results oriented.

Utakuta mtu ni HR kwenye let say chuo kikuu Cha umma au chuo kama TIA lakini hajui lolote anakaa ofisini tu hajui afanye kazi gani.

Wahasibu wengi wizara ya fedha ni vilaza hawajui hata analysis ya chochote lakini hakuna wa kuwaangalia.

Ukija huku polisi au jeshi ndio madudu yamejaa. Mtu hajui hata kuandika maelezo ya mtuhumiwa japo wanajiita eti wanaintelligency sijui hiyo intelligence unatoka wapi wakati ukimuangalia unatamani umnyang'anye pen uanze kunifundisha hata kuandika.

Jeshini nako wanashinda wanalewa tu Maana hakuna kazi ya kufanya hata ukichunguza institutions wanazomiliki Kama shule walimu wa kijeshi ni vilaza hawajui chochote.

Nilicho-conclude ni kwamba wenye akili na big brains wako mtaani wanakufa kwa stress tu hasa anapoona mtu aliyesoma naye kilaza wa kutupwa ndio kashikilia kitengo kinachohitaji mtu mwenye akili kama yeye lakini yeye anakufa kwa kutopata connection tu.
Hata hao uliowatoa nao ni vilaza na elimu ya kuungaunga tu
 
ukitaka kulijua hili zaidi nenda sehem moja Dar inaitwa Mchikichini kuna vichwa vinafundisha tuition mpaka mm najiuliza hawa kwann hawakuajiriwa uwalimu halafu nenda shule sasa unakuta walimu vichwa vibovu kabisa
 
Kuita kundi la watu vilaza.. naona sio sawa.. Kuna watumishi wengi sana ni vichwa.. mtu mwenye Phd au Prof. Unamwita kilaza Kwa sababu yupo tu kwenye kundi Hilo. Ni mawazo mgando kuja nayo hapa JF.
 
Sio vilaza tatizo letu tukishapata ajira rasmi basi tunaona tumeshamaliza kila kitu tunaanza kufanya kazi kwa mazoea na dharau.
 
Back
Top Bottom