Watu walio kwenye utumishi wa umma karibu wote ni vilaza ukitoa wahadhiri wa vyuo vikuu

Dogo tulia Unyolewe...
 
  • Tatizo ukishaajiriwa utatakiwa ufuate sheria, kanuni, taratibu, na sera zilizopo; huwezi kuwa mbunifu, au kuja na kitu chako kichwani "innovation'​
  • Wakurugenzi n.k wengi wao wameajiriwa kisiasa, na kufanya taasisi kwenda kisiasa; hii pia inaharibu utendaji.​
 
Nawe jitahidi uende ukalewe,
 
Huwa unawashwa na wachaga sana,si na wewe usome?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…