Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #101
Duuuh.....
Kuna mawili hapa.
Mosi unajua ulichoandika ni crap lakini hauna jinsi nyingine maana ndicho kinachokuweka mjini.
Pili wewe ni wale watu waliopata platform ya kuandika au kuskika ila kuna virutubisho ubongo ulikosa.
Mtu anakuambia CHADEMA ni yawanachadema kama mjinga.
Alafu huyohuyo utamsikia akiikosoa CCM wakati yeye sio mwanaccm.