hakuna makanisa mengi israel kwasababu hakuna wakristo wengi huko,na hata asilimia kubwa ya wakristo ni wapalestina na wahamiaji wachache wa kiyahudi.
it is offence in israel to preach christianity.
Anti missionary law.
>anyone who preach with the purpose of causing another person to change his religion is liable to three years imprisonment or a fine of NIS 50,000(£9000).
See hiyo ndo sheria iliyopitishwa mwaka 2007.
Only satanism rival judaism's visious hatred for jesus christ.the Talmud even claim that jesus is being punished in hell by being boiled in hot semen.
Interestingly enough,islam is much closer to christianity than judaism.for istance judaism condemns the virgin mary as a prostitute and viciously condemn jesus as an evil sorcerer and a bastard.the Talmud even claim jesus was a sexual pervert who had intercource relation with his donkey.
While muslim claim jesus as a messenger of God.
Yet you still support jews?.
Wake the hellup.
haiwezekani ukachagua aya za kuendelea kutumia katika agano la kale na zingine ukaziacha.
Isaya ni agano la kale ambalo wengine wanadai lilikua haliwezi kutumika tena baada ya yesu kufa msalabani.
Soma 1 thesalonike 2:14-16.
14-maana ninyi ndugu mlikuwa wafuasi wa MAKANISA YA MUNGU yaliyo katika UYAHUDI na katika kristo yesu,kwakuwa mlipata mateso yaleyale kwa watu wa taifa lenu wenyewe,waliyoyapata nao kwa hao WAYAHUDI.
15-ambao WALIMWUA BWANA YESU,na hao manabii na KUTUUDHI sisi wala HAWAMPENDEZI MUNGU wala HAWAPATANI NA WATU WOWOTE.
16-huku wakituzuia tusiseme na mataifa wapate kuokolewa,ili watimize dhambi zao siku zote.LAKINI HASIRA IMEWAFIKIA HATA MWISHO.
Sasa swali,kama hasira ya mungu imewafikia wanaendelea vipi kuwa taifa teule?
Tena mbaya zaidi alimkufuru Mungu wa Ibrahim, Is aka, Yakobo na Mungu wa Israel afadhari angekuwa mungu wa waarabu-allah.
1. Mtengenazaji meli ya titanic.
Baada ya kutengeneza meli ya TITANIC, mwandishi wa habari alimuuliza ni kiasi gani ilikuwa salama, nae akajibu " Ni salama sana na haiwezi kuzama na hata mungu hawezi kuizamisha".
Nafikiri unajua kilichotokea kuhusu TITANIC
2.AZUZA (mwanamuziki brazil)
Alipokuwa kwenye show yake ndani ya jiji la Rio dejeneiro , alichukua sigara akaanza kuvuta, akachukua nyingine kisha akairusha juu na kusema " Mungu na hiyo yako , chukua na wewe uvute. Alifariki akiwa na miaka 32 kwa ugonjwa wa kansa ya mapafu, ambayo iliharibu sana mapafu yake kuliko mgonjwa yeyote.
3.Christina hewt (mwandishi)
Huyu alikaririwa akisema " Nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibaya kama biblia, siku chache baada ya kusema maneno hay, mwili wake ulikutwa umeunguzwa moto ambao haijajulikana hadi Leo umesababishwa na nini.
4. John Lennon (muimbaji)
Wakati alipokuwa akihojiwa na waandishi wa habari la gazeti la america alinukuliwa akisema " ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwas na hilo kwa kuwa Nina uhakika nalo. Huyu naye baada ya mda alikutwa amekufa nyumbani kwake
5. Tancredo neves (rais wa brazil)
Alisema kwamba endapo angeshinda kura laki tano katika uchaguzi mkuu Brazil na kuwa rais , hata mungu asingeweza kumtoa katika urais huo. Akafanikiwa akapata kura zaidi ya laki tano akashinda uchaguzi, siku moja kabla ya kuapishwa akafariki dunia.
Kama yes ni mungu?alipokuwa anasali alikuwa anamuomba nani?
ushahidi maana yake nini kwa mtizamo wako?.Hivi wewe unajua maana ya ushahidi?
Hayo uliyoweka hapo yana tofauti gani na maandishi yako mengine?
Kama umekaa na mkeo na kuamua kuweka hapa hayo maandishi halafu unasema ni ushahidi kiaje?
huwezi ukampaint mungu kama ni jitu linalopenda kunyofoa roho za watu kila linapojisikia.tena nashangaa unafikia hadi hatua ya kumjaji mtu kwamba hawezi fika miaka 30,kama kwamba mungu ni mjomba wako na huwa mnapanga nae mambo mbalimbali.kweli wengi wanaomkufuru Mungu wanaangamia kabisa
unatambua kuwa hata huyu mwenye tovuti ya FACEBOOK amesema na kumkana Mungu kuwa hayuko na wala yeye hamtambui kabisa ngoja tuone naye kama atafikisha 30 years kwani sasa ana 27years?
mahubiri yote ni ndani ya kanisa,hakuna mikutano ya hadharani kama yakina Graham,kakobe etc.Wewe si umesema hapa kuwa ukihubiri injili Israel ni kosa kisheria na unakwenda jela?
Sasa hata hao wachache unaodai wapo huko wanatoka wapi?
Kwanini hawafungwi?
Kwanini kama ni kosa tu kuhubiri iweje kuwe na hata hayo makanisa machache?
kha?!!kwahiyo wayahudi ni watoto wa mungu wengine sie watoto wa nyani?Mwanao akikuudi na ukamuadhibu tayari anakuwa sio mwanao?
huwezi ukampaint mungu kama ni jitu linalopenda kunyofoa roho za watu kila linapojisikia.tena nashangaa unafikia hadi hatua ya kumjaji mtu kwamba hawezi fika miaka 30,kama kwamba mungu ni mjomba wako na huwa mnapanga nae mambo mbalimbali.
Apart from the fact kwamba mungu sio gaidi eti awahold watu hostage kwamba asiyemtaka anamuua,lazima ujue kuwa mwanadamu kapewa freewill ya kuchagua,sasa kama huyo mark wa fcbk tayari wewe na mungu wako mmepanga asifike miaka 30 kama adhabu yake,then tuseme mwisho wa dunia tena ahukumiwe kwa kosa gani.
Leonard Robert uko wapi tuambizane maana wiki imeisha.Kama kweli hayupo nakuomba Leonard Robert baada ya wiki moja njoo hapa JF uje utoe ushuhuda kuwa hayupo. Pse ukitoa ushuhuda wako kuwa kweli hayupo ni mention ili nisiukose. Hebu tuanzie hapo naye MUNGU aliye mkuu ajidhihirishe kwako katika kipindi hicho.
Sent from my iPad using JamiiForums
Tena mbaya zaidi alimkufuru Mungu wa Ibrahim, Is aka, Yakobo na Mungu wa Israel afadhari angekuwa mungu wa waarabu-allah.