Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

hakuna makanisa mengi israel kwasababu hakuna wakristo wengi huko,na hata asilimia kubwa ya wakristo ni wapalestina na wahamiaji wachache wa kiyahudi.

Wewe si umesema hapa kuwa ukihubiri injili Israel ni kosa kisheria na unakwenda jela?

Sasa hata hao wachache unaodai wapo huko wanatoka wapi?
Kwanini hawafungwi?

Kwanini kama ni kosa tu kuhubiri iweje kuwe na hata hayo makanisa machache?
 
it is offence in israel to preach christianity.

Anti missionary law.
>anyone who preach with the purpose of causing another person to change his religion is liable to three years imprisonment or a fine of NIS 50,000(£9000).
See hiyo ndo sheria iliyopitishwa mwaka 2007.
Only satanism rival judaism's visious hatred for jesus christ.the Talmud even claim that jesus is being punished in hell by being boiled in hot semen.
Interestingly enough,islam is much closer to christianity than judaism.for istance judaism condemns the virgin mary as a prostitute and viciously condemn jesus as an evil sorcerer and a bastard.the Talmud even claim jesus was a sexual pervert who had intercource relation with his donkey.
While muslim claim jesus as a messenger of God.
Yet you still support jews?.
Wake the hellup.

Hivi wewe unajua maana ya ushahidi?

Hayo uliyoweka hapo yana tofauti gani na maandishi yako mengine?

Kama umekaa na mkeo na kuamua kuweka hapa hayo maandishi halafu unasema ni ushahidi kiaje?
 
haiwezekani ukachagua aya za kuendelea kutumia katika agano la kale na zingine ukaziacha.

Isaya ni agano la kale ambalo wengine wanadai lilikua haliwezi kutumika tena baada ya yesu kufa msalabani.
Soma 1 thesalonike 2:14-16.
14-maana ninyi ndugu mlikuwa wafuasi wa MAKANISA YA MUNGU yaliyo katika UYAHUDI na katika kristo yesu,kwakuwa mlipata mateso yaleyale kwa watu wa taifa lenu wenyewe,waliyoyapata nao kwa hao WAYAHUDI.
15-ambao WALIMWUA BWANA YESU,na hao manabii na KUTUUDHI sisi wala HAWAMPENDEZI MUNGU wala HAWAPATANI NA WATU WOWOTE.
16-huku wakituzuia tusiseme na mataifa wapate kuokolewa,ili watimize dhambi zao siku zote.LAKINI HASIRA IMEWAFIKIA HATA MWISHO.

Sasa swali,kama hasira ya mungu imewafikia wanaendelea vipi kuwa taifa teule?

Mwanao akikuudi na ukamuadhibu tayari anakuwa sio mwanao?
 
Tena mbaya zaidi alimkufuru Mungu wa Ibrahim, Is aka, Yakobo na Mungu wa Israel afadhari angekuwa mungu wa waarabu-allah.

Mwenyewe unajiona umeongea point sana hapo..bila shaka unajiona uko sahihi kabisa...Japo Allah si Mungu wa waarabu wote kama unavyodhani lakini Mungu kwa maana ya Allah ndo huyu huyu aliyeumba dunia..aliyemfanya Mariam kuwa na Mimba pasipo kuingiliwa na mwanaume na kisha kumzaa Issa/Yesu ambaye wewe unamwita Mungu bila shaka.
 
kweli wengi wanaomkufuru Mungu wanaangamia kabisa
unatambua kuwa hata huyu mwenye tovuti ya FACEBOOK amesema na kumkana Mungu kuwa hayuko na wala yeye hamtambui kabisa ngoja tuone naye kama atafikisha 30 years kwani sasa ana 27years?

1. Mtengenazaji meli ya titanic.
Baada ya kutengeneza meli ya TITANIC, mwandishi wa habari alimuuliza ni kiasi gani ilikuwa salama, nae akajibu " Ni salama sana na haiwezi kuzama na hata mungu hawezi kuizamisha".
Nafikiri unajua kilichotokea kuhusu TITANIC
2.AZUZA (mwanamuziki brazil)
Alipokuwa kwenye show yake ndani ya jiji la Rio dejeneiro , alichukua sigara akaanza kuvuta, akachukua nyingine kisha akairusha juu na kusema " Mungu na hiyo yako , chukua na wewe uvute. Alifariki akiwa na miaka 32 kwa ugonjwa wa kansa ya mapafu, ambayo iliharibu sana mapafu yake kuliko mgonjwa yeyote.
3.Christina hewt (mwandishi)
Huyu alikaririwa akisema " Nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibaya kama biblia, siku chache baada ya kusema maneno hay, mwili wake ulikutwa umeunguzwa moto ambao haijajulikana hadi Leo umesababishwa na nini.
4. John Lennon (muimbaji)
Wakati alipokuwa akihojiwa na waandishi wa habari la gazeti la america alinukuliwa akisema " ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwas na hilo kwa kuwa Nina uhakika nalo. Huyu naye baada ya mda alikutwa amekufa nyumbani kwake
5. Tancredo neves (rais wa brazil)
Alisema kwamba endapo angeshinda kura laki tano katika uchaguzi mkuu Brazil na kuwa rais , hata mungu asingeweza kumtoa katika urais huo. Akafanikiwa akapata kura zaidi ya laki tano akashinda uchaguzi, siku moja kabla ya kuapishwa akafariki dunia.
 
Hivi wewe unajua maana ya ushahidi?

Hayo uliyoweka hapo yana tofauti gani na maandishi yako mengine?

Kama umekaa na mkeo na kuamua kuweka hapa hayo maandishi halafu unasema ni ushahidi kiaje?
ushahidi maana yake nini kwa mtizamo wako?.

Kumbe naongea na mtu mwenye uelewe zero kabisa,what a wastage of time!!.
Ila kwakua maji nimeyavulia nguo ntayaoga,sikujua,kumbe kiwango cha elimu kimeshuka sana bongoland hadi mtu hawezi akaelewa simple statement kama hiyo niliyokupa,hata kama hujui kimombo si ungemuomba maxshimba akutafsirie kuliko kuropoka.
Umetaka ushahidi kuwa israel wamepiga marufuku mihadhara,mikutano ya kuhubiri injili,nimeweka links lukuki,nimeweka hadi kifungu cha sheria kilichotungwa na bunge la kneset huko israel,sasa unataka ushahidi gani zaidi,ama unataka nikukatie tiketi ya ndege hadi jerusalemu ukajionee?.
Bora basi ungepinga kwa kuniwekea hata link ya kuonyesha mahubiri ya kidini huko israel,.
But una argu for the sake of arguing...ili uonekane na wewe upo.

N.B-huyo mke umenioza wewe?.
 
kweli wengi wanaomkufuru Mungu wanaangamia kabisa
unatambua kuwa hata huyu mwenye tovuti ya FACEBOOK amesema na kumkana Mungu kuwa hayuko na wala yeye hamtambui kabisa ngoja tuone naye kama atafikisha 30 years kwani sasa ana 27years?
huwezi ukampaint mungu kama ni jitu linalopenda kunyofoa roho za watu kila linapojisikia.tena nashangaa unafikia hadi hatua ya kumjaji mtu kwamba hawezi fika miaka 30,kama kwamba mungu ni mjomba wako na huwa mnapanga nae mambo mbalimbali.

Apart from the fact kwamba mungu sio gaidi eti awahold watu hostage kwamba asiyemtaka anamuua,lazima ujue kuwa mwanadamu kapewa freewill ya kuchagua,sasa kama huyo mark wa fcbk tayari wewe na mungu wako mmepanga asifike miaka 30 kama adhabu yake,then tuseme mwisho wa dunia tena ahukumiwe kwa kosa gani.
 
Wewe si umesema hapa kuwa ukihubiri injili Israel ni kosa kisheria na unakwenda jela?

Sasa hata hao wachache unaodai wapo huko wanatoka wapi?
Kwanini hawafungwi?

Kwanini kama ni kosa tu kuhubiri iweje kuwe na hata hayo makanisa machache?
mahubiri yote ni ndani ya kanisa,hakuna mikutano ya hadharani kama yakina Graham,kakobe etc.
 
nimekuuliza au umejiamulia kuingilia kitu usichokijua tambua kuwa kila mtu amepewa uwezo wa kuchat hivyo usipende kuingilia uhuru na maoni ya mtu mjengoni hapa huo ndo mtazamo wangu hivyo kuwa makini usicoment :hat:
huwezi ukampaint mungu kama ni jitu linalopenda kunyofoa roho za watu kila linapojisikia.tena nashangaa unafikia hadi hatua ya kumjaji mtu kwamba hawezi fika miaka 30,kama kwamba mungu ni mjomba wako na huwa mnapanga nae mambo mbalimbali.

Apart from the fact kwamba mungu sio gaidi eti awahold watu hostage kwamba asiyemtaka anamuua,lazima ujue kuwa mwanadamu kapewa freewill ya kuchagua,sasa kama huyo mark wa fcbk tayari wewe na mungu wako mmepanga asifike miaka 30 kama adhabu yake,then tuseme mwisho wa dunia tena ahukumiwe kwa kosa gani.
 
Kama kweli hayupo nakuomba Leonard Robert baada ya wiki moja njoo hapa JF uje utoe ushuhuda kuwa hayupo. Pse ukitoa ushuhuda wako kuwa kweli hayupo ni mention ili nisiukose. Hebu tuanzie hapo naye MUNGU aliye mkuu ajidhihirishe kwako katika kipindi hicho.


Sent from my iPad using JamiiForums
Leonard Robert uko wapi tuambizane maana wiki imeisha.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Em acheni kukaa mna-support huu ujinga, Mungu si wa kukaa na kuua watu kisa wanamkufuru, dhambi ipo, na hiyo dhambi wanaofanya ni wengi tu... Mungu si wa namna hiyo, anawaachia watu wafanye wanayotaka na hawaadhibu ati kisa wanamkufuru. Wanatenda dhambi sawa na dhambi nyingine tu.... Hao waliokufa uliprove kua waliongea hayo?? Hakuna evidence yoyote kua walisema maneno hayo zaidi ya raia moja kukaa kwenye internet na kubandika uongo ukasambaa, hivi ndivo hua likes facebook zinatafutwa, ni msako wa hela tu hakuna kingine
 
Back
Top Bottom