Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Mungu hadhihakiwi
Kama Mkuu Jose, umekomenti hivi basi ni kweli.
Mungu hadhihakiwi,

Kuna watu wanasema Mungu hayupo kwa sababu hawamjui na wala hawajawahi kupata taarifa zake.
Kuna wengine ambao ni wengi wanasumbuliwa tu na Kibri,
Kiburi cha Uzima, wakisha shiba Pilau na kulinywea maji baridi basi mabega juu, hata hawaulizi nani alitengeneza huo mpunga wa Pilau na Maji wanayo kula na kufulahi, na wala hawana wa kumshukuru kwa kuleta Pilau zaidi ya kumsifia aliye pika.
Wanaamini wao wapo duniani kwa miujiza tu, hakuna aliyewaumba.
Na mazingira yanayowalea kama, chakula, maji, Jua, hewa, nk, vipo kimiujizaijiza tu, hakuna aliyeviandaa kwa ajiri yao.
Pia wapo ambao wanapinga uwepo wa Mungu, lakini wanaujua ukweli kuwa Mungu yupo.

Usisumbuke mkuu dunia ina watu wa kila aina.

Wengine sifa yao ni Upinzani, yaani Wanapinga kila kitu, kiwe cha Ukweli au Uongo.

Ndivyo Walivyo.
 
Mkuu hii kitu ilishaletwa humu jf 2014 ikajadiliwa sana

Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia
 
kweli kabisa mkuu aisee
 
Dini si Mungu, wala Mungu si dini

Msahafu si Mungu, wala Mungu hajawahi kuwa Misahafu na haitatokea
 
Kumjua Mungu kuko katika kiini cha mtu -Kinachotokea ni kujitoa ufahamu pale mtu anapokua na kujitambua lakini Kumjua Mungu kuko pale pale ndio maana hata wasiomuamini humtaja kwa njia moja au nyingine iwe kwa kupinga au kwa ubaya kwa sababu Mungu yupo. Hata wanasayansi wameanza kukiri kuwa kuna wenyewe wanaita "inteligent Design" katika kila kilichotengenezwa duniani
 
Ni kweli mkuu.
Hao Wanasayansi hadi hii leo wameshindwa kutengeneza kitu chenye ubora wa Uumbaji wa Mungu.
Hawajawahi kutengeneza kitu chochote chenye uhai wala kukifufua, kama hicho chenye Uhai kikifa.
Pamoja na Sayansi yao hadi hii leo wameshindwa kulikaribia Jua, na hata leo Jua likifa au kuharibika hawajui watalitengenezaje ili liwe zima tena.
Pamoja na Sayansi yao hadi leo wameshindwa kuthibitisha ile nguvu inayoshikilia Sayari zisianguke, au kupoteza mzunguko wake yaani nguvu ya Gravity yenyewe inashikiliwa na nini hadi iwe imara.
Pamoja na sayansi yao wameshindwa kuelezea asili ya Binadamu, yaani chanzo cha chanzo cha binadamu.
Ajabu kubwa zaidi wameshindwa kutengeneza japo Spea ya viungo vyao vya mwili yaani, mkono ukikatika hawawezi kutengeneza mkono mwingine na kuurudishia mwilini.
Ajabu kubwa tena hao Wanasayansi wameshindwa kuzuia kifo hata kifo chao wenyewe.
Hawajui nani aliwaleta duniani, tena bila makubaliano yoyote na mtu yoyote, wamejistukia tu wapo.
Hawajui hatima yao na yetu baada ya kifo.
Cha ajabu wameshangaa sana kwa kuyakuta mazingira mazuri ya kuwalea, yaani Chakula, Maji, Hewa, Ardhi, Mafuta nk.
Kweli Wanasayansi hawana chochote cha kuwasifia katika dhana nzima ya uumbaji, na hawawezi chochote, hiyo dawa tu ya kutibu Ukimwi na Kansa wameshindwa kuigundua.

Watu walikuwepo duniani na maisha yalikuwepo kabla ya hao wanaojiita Wanasayansi.

Hata kama hakuna Wanasayansi maisha yapo.

Tumshukuru sana Mwenyezi Mungu Muumba Mbingu na Nchi kwa.
Kutuchagua sisi (baadhi yetu) ili tuishi duniani.
Kutuumba tukiwa na afya mjema.
Kutupa mahitaji yote muhimu kama chakula, maji nk.
Kutupa miongozo bora ya kuishi duniani.
Kutupa Neno lake.
Zaidi kutuahidi maisha mapya baada ya kifo ya milele ktk ufalme wake.

Amina.
 
Duu your days are numbered. Labda utafuatia wewe. Kama siyp kufa basi jiandae na majanga mazito. Mungu hadhihakiwi na mtu akabaki salama. Bora ungekaa kimya. Pia kumbuka dhambi ya kumuudhi roho mtakatifu haisamehewi.
 
Nina testimony ya watu kibao waliomkufuru Mungu na wakapata madhara moja kwa moja tens hayachelewi. Tubu dhambi zako.
 
ni zaidi ya miaka sasa
 
wasiwasi wangu wewe utakavyokufa kutokana na kauli zako hatutaweza kujua. ila niko sure kwamba na wewe utaongezeka kwenye hii list
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…