Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

huu ni zaidi ya upu.uuzi...ingekua hivyo kina mgen,maxshimba,nkwesamakambo,gavana,ishmarl,remote eyc..etv eanfeshakufa maake kila siku wanakyfuru na kumtukana Allah na Jehiva humu ndani....acha kuwa mvivu wa kufikuri mkuu

kwani wapo hai?
 
hayo majanga waliyoyapata yanatokea hata kwa watu wasiomdhihaki Mungu.. Angela Chibalonza alipatwa na ajali akafariki, na alikua mwimba kwaya mzuri tu, kuna mchungaji alipata ajali familia yake yote ikateketea.. Mungu hawazi kama awazavyo mwanadamu, wala hahukumu kama ahukumuvyo mwanadamu.. Mungu ni mwema kwa kila mtu...
mavyuoni watu wanafaulu na hawana mda na Mungu, na wale wacha Mungu unakuta performance yao ni ya kawaida, unabaki unastaajabu inakuaje tena mi napitwa na huyu jamaa hata kanisani haendi? Mungu humbariki hata yule mwovu..

sisemi kwamba walikua sahihi kukufuru ila usiseme wameuliwa na Mungu.
 
Na Kuna Ndugu yangu Mmoja Mama Mmoja na Baba Mmoja, alikuwa Na dhihaka sana, Mimi Ni Mtu Ninayeamini Kuwa Yesu alilituokoa wanadamu Kwa Kifo chake, Na maisha yetu Tukijitaja ni Wafuasi wake basi Tuangalie sana Tunavyoishi na Hasa Tunayowafanyia wengine, Basi Kufupisha habari huyu Ndugu yangu alikuwa na Tabia ya Kufuungua Bia Mbele zangu na Kusema, "Yesu Karibu Tunywe" Pia alikuwa na Dhihaka sana Kwa Wazazi, Nikimtaja Kila Mtanzania alishamsikia, Lakini Leo Hii Maisha yake Ni ya Kutia Huruma Ni sawa kabisa na ya Mbwa asiye na "nyumbani" Alikuwa Mwandishi wa RTD na Baadaye Mwandishi Mwandamizi na Msimamizi wa Kanda wa Kwanza wa TV fulani Kubwaa!
 
Dhihaka ilioje kwa muumba!..mifano tunayo hapahapa ya kina nyerere lkn tunatoa ya wazungu tu.
Ni Kweli Mimi Na Mama yangu Mzazi Tulikuwa Tukiangalia TV Pale Nyumbani Kimara Mwl. Nyerere foundation walimwandalia Birthday ya Miaka 75, Na alipokuwa akitoa Hotuba akasema Kuwa Mama yake Mzazi yupo yeye atakwenda wapi, Na Akauliza Kwanini Vitoto Vidogo Vinakufa, Akasema kama hatatokea Mwendawazimu kumuua basi ataishi Kuona Mkapa namaliza Miaka yake Kumi ya Utawala, Akasema Pia atakuja mwingine atamaliza Pia Miaka yake, Lakini wa Awamu ya Tano akasema Itakuwa Ni Majaliwa. Nakumbuka Mimi Na mama yangu tukasema atasemaje hivyo? Kwani yeye Ni Mungu? Muda mfupi baadaye Mama yake akafariki, Kisha na Yeye akafariki Miaka Miwili Baada ya Kauli yake. Sherehe hiyo Ilifanywa 1997, Na Hutuba ya Mkapa ilikuwa, "Maisha ya Almasi"

 
Ma yule aliyeswma kwenye sherehe yakw ya kuzaliwa kwamba ataiona miaka yake ya sabini ajadhihaki?
 
huu ni zaidi ya upu.uuzi...ingekua hivyo kina mgen,maxshimba,nkwesamakambo,gavana,ishmarl,remote eyc..etv eanfeshakufa maake kila siku wanakyfuru na kumtukana Allah na Jehiva humu ndani....acha kuwa mvivu wa kufikuri mkuu
Nawakumbuka hao watu unajua wako wapi sasa?
 
Marilyn Monroe aliuwawa na serikali baada ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na rais J.F Kennedy pamoja na wadogo zake rais wawili na alikuwa na siri nyingi za serikali alizokuwa anaelezwa na familia hiyo.
 
Sikubaliani na wewe hata kidogo. Mungu ni mwenye upendo na kamwe si mtoa roho. Mtoa roho ni shetani ibilisi. Na ibilisi anatutoa roho kwa sababu tumekataa kumtii Mungu tumeamua kumfuata ibilisi.
Mkuu kutoa roho ni kutimiza maandiko ya Mungu mwenyewe, baada ya Adamu na Hawa kula tunda ndani ya bustani ya edeni, Mungu alisema Mtakufa hakika . kwa hiyo kifo akihusiana na shetani ni Mungu pekee, ndiye mwenye mamlaka ya kutoa roho.
 
Huyo hana uwezo huo. Yeye hulindwa kwa majambia na mapanga tu na wafuasi wake. Wanalinda mungu badala ya mungu huyo kuwa Mungu anayejitukuza mwenyewe.
 
Tofautisha Allah na Mungu.

Waulinze Waislamu wa Malaysia ambao waliwapeleka kortini wa Kristo kuwazuia kutumia jina la Allah wakati wakihubiri manisani...

Imani zina turudisha nyuma sana jamani
 
JOHN LENNON (MUIMBAJI)

Wakati alipokuwa akihojiwa na mwandishi wa habari wa gazeti la American alinukuliwa akisema hivi "Ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwasi na hilo kwa kuwa nina uhakika nalo. Mafundisho ya Yesu yalikuwa sahihi na wala sipingi hilo ila mafundisho yale yalikuwa mepesi sana ambayo mtu yeyote anaweza kuyafundisha. Hebu angalia leo, tumekuwa maarufu hata zaidi yake (Hapo alilitaja kundi lake la The Bettle). Ilikuwa mwaka 1966.
Wiki moja baada ya kutamba kwamba yeye na kundi lake lilikuwa maarufu hata zaidi ya Yesu, akapigwa risasi sita na kufariki.

2. TANCREDO NEVES (RAIS WA BRAZIL)

Alisema kwamba endapo angepata kura laki tano kutoka katika uchaguzi mkuu wa Brazil na kuwa rais, hata MUNGU asingeweza kumtoa katika urais huo. Akafanikiwa, akapata kura zaidi ya hizo, akashinda uchaguzi, siku moja kabla ya kuapishwa, akafariki dunia.

3. CAZUZA (MWANAMUZIKI WA BRAZIL)

Alipokuwa katika shoo yake ndani ya jiji la Rio De Janeiro, alichukua sigara, akaanza kuivuta, akachukua nyingine na kisha kuirusha juu na kusema "Mungu, hiyo yako, chukua nawe uvute"
Alifariki akiwa na miaka 32 kwa ugonjwa wa kansa ya mapafu ambayo iliyaharibu sana mapafu yake kuliko mgonjwa yeyote yule.

4. MTENGENEZAJI WA MELI YA TITANIC.

Baada ya kutengeneza meli ya Titanic, mwanahabari akamuuliza ni kwa kiasi gani ilikuwa salama nae akajibu "Ni salama sana, haiwezi kuzama na hata Mungu hawezi kuizamisha"
Nafikiri unajua kilichotokea kuhusu Titanic.

5. BON SCOTT (MUIMBAJI)

Mwimbaji huyu ambaye alitamba miaka ya 70 alitoa wimbo wake mmoja mwaka 1979 wenye maneno haya
"Don't stop me; I'm going down all the way, down the highway to hell'.
Tarehe 19 February mwaka 1980, alikutwa amekufa baada ya kupaliwa na matapishi yake.

6. Mwanamke mmoja alikuwa akihofia sana kuhusu ulevi wa marafiki wa mtoto wake. Wakati wanataka kuondoka na gari, akamshika mtoto wake mkono garini na kumwambia "Binti yangu, Mungu awatangulie katika safari yenu" Yule binti akajibu "Gari imejaa mama, huyo Mungu labda akae kwenye boneti la gari".
Baada ya masafa fulani ya safari yao, gari lile lilipata ajali kiasi ambacho hata polisi hawakujua ni aina gani ya gari lilikuwa. Lilikuwa limebondeka sana na watu wote walikutwa wamekufa. Kilichowashangaza polisi, trey la mayai wala halikuonekana kuguswa na hakuna hata yai moja lililokuwa limevunjika na wakati gari lilibondeka mpaka kutokutambulika.

7. CHRISTINA HEWITT (MWANDISHI WA HABARI)

Huyu alikaririwa akisema hivi "Nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibaya...kibaya na kibaya kama Biblia"
Siku chache baada ya kusema maneno hayo, mwili wake ulikutwa umeunguzwa na moto ambao haikujulikana mpaka leo ule moto ulisababishwa na nini.

8. MARILYN MONROE (MUIGIZAJI)

Huyu alifuatwa na Bill Graham na kumwambia kwamba alitumwa na Roho wa Mungu kwa ajili ya kumhubiria. Alimkaribisha ndani, akamsikiliza kwa makini, alipomaliza akasema "Simhitaji Yesu wako, unaweza kuondoka nae". Wiki moja baadae, alikutwa amekufa katika makazi yake. Polisi walijaribu kuchunguza kipi kilimuua, mpaka leo hawajapata jibu.

SOURCE CLICK HERE:http://www.google.com/url?sa=t&rct=j&q=&esrc=s&source=web&cd=5&ved=0CEQQFjAE&url=http%3A%2F%2Fwww.city-data.com%2Fforum%2Fchristianit y%2F1837804-those-people-who-mocked-god.html&ei=A_JTU8mnGYK8ygOf_oHgDQ&usg=AFQjCNEQMEIrW8sWG6AjrTymUN O0psriCw&bvm=bv.65058239,d.bGQ&cad=rja


<a href="http://www.google.com/url?sa=t&amp;rct=j&amp;q=&amp;esrc=s&amp;sourc e=web&amp;cd=5&amp;ved=0CEQQFjAE&amp;url=h ttp%3A%2F%2Fwww.city-data.com%2Fforum%2Fchristianit y%2F1837804-those-people-who-mocked-god.html&amp;ei=A_JTU8mnGYK8ygOf_o HgDQ&amp;usg=AFQjCNEQMEIrW8sWG6Ajr TymUNO0psriCw&amp;bvm=bv.65058239, d.bGQ&amp;cad=rja" target="_blank">

Kuna mmoja alisema watu wataishi kama mashetani na watu ni wa Mungu...
 
Mkuu kutoa roho ni kutimiza maandiko ya Mungu mwenyewe, baada ya Adamu na Hawa kula tunda ndani ya bustani ya edeni, Mungu alisema Mtakufa hakika . kwa hiyo kifo akihusiana na shetani ni Mungu pekee, ndiye mwenye mamlaka ya kutoa roho.
Kama Mungu ndiye mtoa roho ilikuwaje amtahadharishe Adam? Mbona Mungu anakiita kifo kuwa ni "adui wa kwanza atakayeangamizwa"?
 
1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)
Wakati alipokuwa akihojiwa na mwandishi wa habari wa gazeti la American alinukuliwa akisema hivi "Ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwasi na hilo kwa kuwa nina uhakika nalo. Mafundisho ya Yesu yalikuwa sahihi na wala sipingi hilo ila mafundisho yale yalikuwa mepesi sana ambayo mtu yeyote anaweza kuyafundisha. Hebu angalia leo, tumekuwa maarufu hata zaidi yake (Hapo alilitaja kundi lake la The Bettle). Ilikuwa mwaka 1966. Wiki moja baada ya kutamba kwamba yeye na kundi lake lilikuwa maarufu hata zaidi ya Yesu, akapigwa risasi sita na kufariki.
2. TANCREDO NEVES (RAIS WA BRAZIL)
Alisema kwamba endapo angepata kura laki tano kutoka katika uchaguzi mkuu wa Brazil na kuwa rais, hata MUNGU asingeweza kumtoa katika urais huo. Akafanikiwa, akapata kura zaidi ya hizo, akashinda uchaguzi, siku moja kabla ya kuapishwa, akafariki dunia.
3. CAZUZA (MWANAMUZIKI WA BRAZIL)
Alipokuwa katika shoo yake ndani ya jiji la Rio De Janeiro, alichukua sigara, akaanza kuivuta, akachukua nyingine na kisha kuirusha juu na kusema "Mungu, hiyo yako, chukua nawe uvute" Alifariki akiwa na miaka 32 kwa ugonjwa wa kansa ya mapafu ambayo iliyaharibu sana mapafu yake kuliko mgonjwa yeyote yule.
4. MTENGENEZAJI WA MELI YA TITANIC.
Baada ya kutengeneza meli ya Titanic, mwanahabari akamuuliza ni kwa kiasi gani ilikuwa salama nae akajibu "Ni salama sana, haiwezi kuzama na hata Mungu hawezi kuizamisha" Nafikiri unajua kilichotokea kuhusu Titanic.
5. BON SCOTT (MUIMBAJI)
Mwimbaji huyu ambaye alitamba miaka ya 70 alitoa wimbo wake mmoja mwaka 1979 wenye maneno haya "Don't stop me; I'm going down all the way, down the highway to hell'. Tarehe 19 February mwaka 1980, alikutwa amekufa baada ya kupaliwa na matapishi yake.
6. Mwanamke mmoja alikuwa akihofia sana kuhusu ulevi wa marafiki wa mtoto wake.
Wakati wanataka kuondoka na gari, akamshika mtoto wake mkono garini na kumwambia "Binti yangu, Mungu awatangulie katika safari yenu" Yule binti akajibu "Gari imejaa mama, huyo Mungu labda akae kwenye boneti la gari". Baada ya masafa fulani ya safari yao, gari lile lilipata ajali kiasi ambacho hata polisi hawakujua ni aina gani ya gari lilikuwa. Lilikuwa limebondeka sana na watu wote walikutwa wamekufa. Kilichowashanga
za polisi, trey la mayai wala halikuonekana kuguswa na hakuna hata yai moja lililokuwa limevunjika na wakati gari lilibondeka mpaka kutokutambulika.
7. CHRISTINA HEWITT (MWANDISHI WA HABARI)
Huyu alikaririwa akisema hivi "Nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibaya...kibaya na kibaya kama Biblia" Siku chache baada ya kusema maneno hayo, mwili wake ulikutwa umeunguzwa na moto ambao haikujulikana mpaka leo ule moto ulisababishwa na nini.
8. MARILYN MONROE (MUIGIZAJI)
Huyu alifuatwa na Bill Graham na kumwambia kwamba alitumwa na Roho wa Mungu kwa ajili ya kumhubiria. Alimkaribisha ndani, akamsikiliza kwa makini, alipomaliza akasema "Simuhitaji Yesu wako, unaweza kuondoka nae". Wiki moja baadae, alikutwa ameufa katika makazi yake. Polisi walijaribu kuchunguza kipi kilimuua, mpaka leo hawajapata jibu.
1473223056838.jpg
 
Back
Top Bottom