Ndetimakete
JF-Expert Member
- May 19, 2013
- 402
- 306
Mungu mwache aitwe Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MUNGU=ALLAHWaliomkufuru Allah je?
Ebanaee, hiyo sikupata kuisikia. Nilichosikia kisababishi cha umauti wake ni tahayari ya muflisi aliyoibaini kwenye akaunti yake.Kighoma Ally Malima alimkufuru Alah hata Mungu abishe atakuwa rais wa Tz kwa kupitia NRA,Mungu alimpiga bao la kisigino kwa dharau zake,RIP Malima.
Nonsense!! waliokufa wote wamemdhihaki mungu? Na wasiomdhihaki hawatakufa kabisa kwani kifo ni adhadu?Kighoma Ally Malima alimkufuru Alah hata Mungu abishe atakuwa rais wa Tz kwa kupitia NRA,Mungu alimpiga bao la kisigino kwa dharau zake,RIP Malima.
Hawaishi milele ila wanaishi kulingana na ahadi za Mungu na huo ndio upendeleo waowasiomdhihaki mungu wanaishi milele?
VERY TRUE..KUNA WATU WENGI TU WANATAMKA MANENO MACHAFU NA WANAPETA TU. MUNGU SIO BINADAMU..ANGEKUWA ANAADHIBU KWA STYLE HIYO HAKUNA AMBAYE ANGEKUWA HAINonsense!! waliokufa wote wamemdhihaki mungu? Na wasiomdhihaki hawatakufa kabisa kwani kifo ni adhadu?
Acha kusingizia watu uongoKighoma Ally Malima alimkufuru Alah hata Mungu abishe atakuwa rais wa Tz kwa kupitia NRA,Mungu alimpiga bao la kisigino kwa dharau zake,RIP Malima.
wew chengaNitake radhi kuna tofauti kubwa kati ya Mungu wa wakristo na mungu wa waislamu(Allah)
DuhMmeanza vitisho vyenu kama wakati wa kuzika.. logic hamna kabisa.. mmeulizwa kila siku..kama huyu Mungu yupo..na ana akili sana..mbona hakutengeneza dunia nzuri sana isiyo na dhambi..wala makosa..nini kusudi lake..je alituumba akitegemea tutatenda dhambi ili atucheke na kutuchoma kama mnavyo dai.. hamuoni kwamba ni maigizo alifanya..yaani anatengeneza dhambi alafu anatukataza kufanya dhambi.. mtu/kiumbe yule yule mmoja..
pili mbona vitabu vyake vitakatifu..vina makosa sana tena primitive/vya kikale..na mambo yasiyo ya kibinadamu kama utumwa vimetamalaki.. tena mbaya zaidi vitabu havijui hata mambo ya wazi kabisa kama umbo la dunia..na kusema eti dunia ni ya flat.. huu ni ukale..
muandishi wake si mtu makini kama inavyo semwa bali ni mtu primitive..asiyekua na maarifa yakutosha