salim kimosa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 391
- 362
Ni kweli Mkuu Mungu si wakumfanyia mchezo. mimi naogopa kitabu cha Mungu na wala sifanyi mchezo na Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama mnalazimisha watu wajue kuwa mungu yupo?
Kama yupo acheni kupiga kelele watu watajua wenyewe.
Mnawatisha watu kwa mawazo ya ajabu.
Hakuna kitu kinaitwa Mungu kiliumba dunia. Mungu wako wewe ni ubongo.
Usipokua na ubongo hata hilo jina mungu hutalikumbuka.
Shtuka, mungu ni mchezo wa kuwapumbaza watu wasifikirie vikubwa wabaki ndani ya box ili watawaliwe vizuri.
Mimi leo nasema hakuna kitu kinaitwa mungu nataka yanitokee hayo mabaya.
Jiongezeni acheni uvivu wa kufikiria
Mungu akusamehe bure,aiseeMbona kama mnalazimisha watu wajue kuwa mungu yupo?
Kama yupo acheni kupiga kelele watu watajua wenyewe.
Mnawatisha watu kwa mawazo ya ajabu.
Hakuna kitu kinaitwa Mungu kiliumba dunia. Mungu wako wewe ni ubongo.
Usipokua na ubongo hata hilo jina mungu hutalikumbuka.
Shtuka, mungu ni mchezo wa kuwapumbaza watu wasifikirie vikubwa wabaki ndani ya box ili watawaliwe vizuri.
Mimi leo nasema hakuna kitu kinaitwa mungu nataka yanitokee hayo mabaya.
Jiongezeni acheni uvivu wa kufikiria
Kweli unachoongea lakini jf kila sku watu wanajiungaUzi wenyewe ZILIPENDWA TULISHA JADILI WAKONGWE KITAMBO WAKATI BDO UKO SHULE
BashiteHivi ile ya nanii alosema dunia siyo ya Muumba?
NaniHivi ile ya nanii alosema dunia siyo ya Muumba?
Wanakuja mkuuNaona watu mnaogopa kucomment mmeniachia mwenyewe!
Wanakuja mkuuNaona watu mnaogopa kucomment mmeniachia mwenyewe!
Duu punguza kidogo mkuu unakoelekea ni kubayaMbona kama mnalazimisha watu wajue kuwa mungu yupo?
Kama yupo acheni kupiga kelele watu watajua wenyewe.
Mnawatisha watu kwa mawazo ya ajabu.
Hakuna kitu kinaitwa Mungu kiliumba dunia. Mungu wako wewe ni ubongo.
Usipokua na ubongo hata hilo jina mungu hutalikumbuka.
Shtuka, mungu ni mchezo wa kuwapumbaza watu wasifikirie vikubwa wabaki ndani ya box ili watawaliwe vizuri.
Mimi leo nasema hakuna kitu kinaitwa mungu nataka yanitokee hayo mabaya.
Jiongezeni acheni uvivu wa kufikiria
Yule nadhani albadiliBado aliyesema hii dunia siyo ya mungu