Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Salama mkuu, sio hiyo ya dunia kuwa duara peke yake. Bali hata nadharia ya Continental Drift(kugawanyika kwa dunia ) ukisoma Mwanzo 10:25 inasema ...Jina la wa kwanza ni Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika. Ule uzi kweli waliufuta. Ila naamini bado kuna waliotoka na kitu cha kuwasaidia.

Kwa hiyo na wewe unamini kabisa kuwa dunia ni cycle?!!!!
 
Pole sn Mkuu!

MUNGU WA KWELI IPO SIKU ATAKUSAIDIA UTAONDOKA KWENYE HUO UPOTOFU!Ili uelewe na usichanganyikiwe lazima uwe tayari kuelewa kwanza na uwe na akili timamu na uwe na uwezo wa kuchanganya za kuambiwa na za kwako......Nataka nikufundishe kwa kutumia mfano km utakuwa tayari kuelewa maana mnaongoza kwa ubishi wa kulazimisha mambo hata km jambo ni jepesi na rahisi kueleweka. Kabla ya maelezo mengine ni kuwa Yesu ni Mungu na Yesu ni Mwana wa Mungu. Kwanza uelewe kuwa neno Mungu limetokana na "uumbaji" au "kuumba" yaani kutengeneza----Mungu (kwa mujibu wa Biblia takatifu) alimuumba mtu kwa mfano wake(huu ni ubishi mwingine wa waislamu maana allah hafanani wala hafananishwi). Wewe ni fundi vitanda, baadaye umemfundisha mtoto wako kutengeneza kitanda, baadaye mkashirikiana pamoja kutengeneza kitanda kizuri.Je, prs nani atakuwa ametengeneza hicho kitanda kizuri? Jibu ni wote. Kama watapewa jina moja bila kujali kuwa mmoja ni baba mwingine ni mwana wataitwaje? Jibu ni kuwa wote wataitwa Fundi lakini kuna fundi baba(Mungu baba) na Fundi Mwana (Mungu mwana).Kwenye Biblia Mungu baba anajulikana kama Yehova na Yesu haitwi Yehova na wala Yehova haitwi Emmanuel. Unajua Biblia ni tamu na raha mno lakini anaweza kuelewa yule tu niliyemwelezea hapo mwanzo.
 
Hii mistari ukiiongeza kwenye kurani itawasaidia hata waislamu wenzio, nasikitika kuwa wewe peke yako ndo unajua haya. hebu nenda ka edit kurani basi kwanza
Qur-an hai edit -wi kama bible. Kwenye Qur-an hakuna agano la kale wala jipya.
 
Qur-an hai edit -wi kama bible. Kwenye Qur-an hakuna agano la kale wala jipya.


As also in all his epistles, speaking in them of these things in which are some things hard to understand, which those who are untaught and unstable twist to their own destruction , as they do also the rest of the Scriptures!

2: Peter 3:16.
 
Mungu hadhihakiwi!
Hata hivyo,post hii ni uzushi,na imethibitika wote hapo juu walikufa vifo vya kawaida!
Baadhi walikuwa na HIV,wengine[kwa mfano huyo binti wa Brazil] hakuna ushahidi popote kuwa kumewahi tokea ajali ya aina hiyo.

CLICK LINK hii:

Beware: Men Who Mocked God - Religion - Nairaland

Halafu msome Lagerwhenindoubt,
kaweka links za sababu za kifo cha kila mmoja hapo.

Wameweka vitisho tu.. hakuna ukweli wowote..ila watu wameshadadia..tu wala haku uhusiano na hicho wanaita mungu
 
mungu wa yakobo na isaka is a fool and a murderous crazy pagan god.

Mmekuwa kila uchao mkisema hapa na kwenye kitabu chenu kumeandikwa Mungu anaezungumziwa kwenye biblia ndio huyohuyo Mungu wenu na anasema kuwa yeye ndie aliyewapa Al-kitaab wayahudi

Sasa nakushangaa unaposema hayo uliyosema hapo

Kwa upande wa Wakristo wao hata kama wakisema kama huyo uliyem quote hapo juu hawana hatia kwasababu wanaamini kuwa mungu wenu ni wakipagani,sasa sijui kama unajua kuwa kum accuse Mungu wa kwenye Biblia ni kum accuse mungu wa kwenye kitabu chako au unapiga porojo tu hapa!
 
Kuwa na agano la kale na jipy ni ishara ya ku edit?
Kumbe ni ishara ya nini? Kwanza kubali kua Yesu ni mtu kama mimi na sio Mungu kama munavyo ongopeana wagala. Kuamini Yesu ni Mungu ndio kunawafanya watu wengi waamini kua hakuna Mungu Duniani. Sababu ningumu kuamini mtu aliekua akila na kunya, akinywa na kukojoa arafu aitwe Mungu hapo inakua ngumu kuamini.
 
Somo kubwa la kufikirika..hamna logic..evidence.. mbwembwe nyingi..kama ni somo kubwa la namna hii basi ukubwa wake unatia shaka

Logic ni nini?
Kwanini unadhani ni muhimu tuitumie?
Imetoka wapi?
Kwanini logic yako na mbuzi iko tofauti?
Kwanini kuna logic?
 
As also in all his epistles, speaking in them of these things in which are some things hard to understand, which those who are untaught and unstable twist to their own destruction , as they do also the rest of the Scriptures!

2: Peter 3:16.
Vamos usar língua de swahili para fazer comonicação. Quando você falar engilish eu não consigir ti atender.
 
Kumbe ni ishara ya nini?
Sijui
Kwanza kubali kua Yesu ni mtu kama mimi
Masuala ya Yesu yamekujaje hapa?
Kwanini awe ni mtu?
na sio Mungu kama munavyo ongopeana wagala.
Wagalatia ni akina nani?
Wanaishi wapi?
Kuamini Yesu ni Mungu ndio kunawafanya watu wengi waamini kua hakuna Mungu Duniani.
Kivipi?
Unajua kuwa wanaopinga uwepo wa Mungu hawataki kuamini wanataka kujua?
Unajuahilo au unaongea tu bila kufikiri?
Sababu ningumu kuamini mtu aliekua akila na kunya, akinywa na kukojoa arafu aitwe Mungu hapo inakua ngumu
mungu wako kuna mambo hawezi kuyafanya?
Kuamini maana yake nini?
 
Back
Top Bottom