Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Watu waliomkufuru Mungu wakafariki dunia

Mkuu mleta mada hizi habari ulizoleta ni za uongo at best na unproven kwa kuanzia huyo Azuza alikufa kwa Ukimwi na sio cancer ili kupanda na upande wa pili wa habari taomba uweke hii link Untimely Deaths of Famous People Who Mocked God - Fiction! and Unproven! kwenye post yako ili usipotoshe UMMA. Kutangaza na kushare imani its all well and good ila kusambaza imani yako kwa njia ya uongo ni Utapeli na ulaghai..., (Ukizingatia Imani yako inakutuma kusema kweli daima)

Kuna watu ambao hawaamini kuwa kifo kipo, japokuwa watu wanakufa kila siku, so ni hvyo mkuu
 
Kama kweli hayupo nakuomba Leonard Robert baada ya wiki moja njoo hapa JF uje utoe ushuhuda kuwa hayupo. Pse ukitoa ushuhuda wako kuwa kweli hayupo ni mention ili nisiukose. Hebu tuanzie hapo naye MUNGU aliye mkuu ajidhihirishe kwako katika kipindi hicho.


Sent from my iPad using JamiiForums

ila kuna baadhi ya mambo ni man made ila wanayajengea sura ya uungu ili yapate kuaminiwa na kuogopesha...kwa mfano huyo ambae aliyesema ukristo utakufa duniani thn kesho yake akakutwa amekufa, u never knw! may b walimuuwa kwa kuwa aliwaydhi watu fulani kwa kauli hiyo..lkn cha kushangaza wanamsingizia mungu wakati ni conspiracy za binadamu against othrs....ukiwa -------- utadanganywa na kila kitu, km mwenyezi mungu angekuwa anatumia principle hio ya ukifanya kosa anakuondoa bac dunia ingekuwa underpopulated nw, maana maasi ni mengi....
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu ambao hawa amin kabisa kuwa mungu yupo, wanasema fiction kama wewe, bimafsi sijaona kitu ambacho kimeweza kukubalika na kuaminika ulimwengu mzima pasipokukoselewa.
Binafsi siwezi kubishana na mtu kuhusu imani yake (huo utakuwa ni wendawazimu) Imani ni Imani na kila mtu anaamini kile anachoamini kulingana na misingi ya Imani yake (who is me or you to try and prove him/her otherwise)

Ila linapokuja suala la facts la kusema fulani alikufa kwa ugonjwa huu wakati ni mwingine au aliyejenga Titanic alisema maneno ambayo sio proven.... well we just call a spade a spade and in this case ni kwamba hivyo ulivyotaja ni Fiction na Unproven... Hata huyo raisi wa Brazil ni kwamba aliugua na kufa baada ya mwezi na Vice President ndio alichukua nafasi yake na haijawahi kuwa proven kama kweli alisema maneno unayosema alisema
 
hizo simulizi za eliya hazionyeshi wazi ni wapi eliya alimuabudu mungu,sanasana tunasoma ustadi wa eliya wa kuomba moto ushuke na kuteketeza watu wasio na hatia.mfano kulikua na haja gani elia kuua watu zaidi ya 200 waliotumwa na mfalme kumwambia tu kwamba eliya anaitwa kwa mfalme?.then muuaji kama huyu elia eti ndo tena anageuka kuwa mtu wa mungu.

Rafiki yake na eliya,yaani elisha nae was a murder.
Sikumoja elisha anatembea akawapita watoto wadogo wanacheza,sijui alikua na upara,watoto wakaanza kumcheka,duh!!elisha akawalaani na kuwaapiza punde akatokea dubu akawararua wote na kuua watoto karibu 50,huyu nae elisha alikua na mungu wake?

Mithali 16:4
BWANA amefanya kila kitu kwa kusudi lake;
Naam , hata wabaya kwa siku ya ubaya.
(NIV)
Mithali 16:4
Mwenyezi - Mungu ameumba kila kitu kwa kusudi lake;
Hata waovu kwa ajili ya siku ya maangamizi.
(GNV)
 
-Gaddafi Alisema Africa ingekumbatia uislam ingepiga hatua sana..halafu akaongezea hata Yesu angekuwa hai angekuwa mfuasi wa mohamed...nadhani mnajua alipoishia na jinsi alivyoisha. -Saddam alijisifu sana kuwa km babau Yake Nebukadneza...na akajisifu kuwa na yeyey atawatumikisha Waisraeli km babu yake.....Sadamu alichukuliwa shimoni akiwa na nyweli kibao km mnyama....km babu yake huyo aliyekimbilia porini na kutoka akiwa na manyoya km mnyama.
 
Mkuu kwani wewe hujui kuna Mungu na miungu? Miungu ya hapa duniani ipo mingi tuu google utapata kila aina ya miungu iliyopata kuishi hata katika kipindi cha kina socrates 400 B.C...lakini Mungu wetu ndiye creator wa hawa walioitwa miungu baada ya kumuasi akawatupa kutoka mbinguni

Hio hapa chini ni moja kati ya miungu iliyokuwa inaabudiwa na kuishi na watu enzi hizo...aliwekwa kwenye cover ya album ya mwanamuziki satanist Ozzy Osbourne
mimi nachokataa ni kuwa hakuna miungu wengine kuna mungu mmoja tu ambae hakuzaa wala hakuzaliwa.

Mungu wa isaka ndo ile miungu ya kipagani ambayo haipaswi kuitwa mungu.
 
Mkuu iko hivi, mtu akisema atukuzwe Mungu Wa Eliya Maana yake Ni kwamba atukuzwe Mungu Yule ambae Eliya alikua akimuamini!

Kwa mfano nyakati za Mfale Ahabu watu walikua wakiabudu Baal Km Mungu! Eliya akawapa mtihani wakatengeneza sehemu mbili za kuteketezea sadaka! Na akawambia wale watu wamuombe Huyo Mungu wao Baal aje aiteketeze ile sadaka! Wakafanya kila aina ya sale na kuruka ruka na kulia lkn Yule Baal hakujibu kitu na wala hakuiteketeza ile sadaka!

Ikafika zamu ya Eliya! Akawambia wamwagie Maji zile kuni na ile sadaka mara 3 pakalowa chepechepe! Lkn Eliya alivyoomba Mungu wake basi moto ukashika na kuteketeza kila kitu! Na wale watu walimzunguka na kusujudu na kusema kwamba atukuzwe Mungu Wa Eliya!
mungu hathibitishwi uwepo wake kwa kufanya mazingaombwe.
 
mimi nachokataa ni kuwa hakuna miungu wengine kuna mungu mmoja tu ambae hakuzaa wala hakuzaliwa.

Mungu wa isaka ndo ile miungu ya kipagani ambayo haipaswi kuitwa mungu.

Kuna kitu hujakielewa...huyu Mungu wako unayemuamini wewe kama na mimi ninamuamini ninaweza kusema nanaamini katika Mungu wa Elungata(nikwa nina maana ninaamini katika Mungu yule yule wa Elungata anayemuamini)
 
Usijali Mkuu ukipata chaji tunaweza kuendelea!

Tunakumbuka ktk hicho kitabu cha kutoka Mungu anawaambia wana waisrael wasiwe na miungu mingine kutokana na maisha Yao kule utumwani Misri! Kule Misri mfalmeFarao na wamisri walikua na ibada zao na miungu Yao na ndo Maana walipokua njiani Mungu anawaelekeza Kua wasiwe na miungu mingine na hii inatokana na kwamba baadhi ya wana Wa Israel walikua wakitamani mambo ya kule Misri!


Kwahiyo Mungu hapo alikua anakusidia kuabudiwa yeye na Si miungu Sanamu au Ng'ombe etc Km ilivyokua kule Misri!

Na sasa Ktk Ufunuo 14:7 Mungu anasema tumche yeye alieumba mbingu na nchi na chemichemi!
then kama huyo mungu wa waisraeli alikuwa ni mungu wa wanadamu wote,kwanini asiwaonyeshe njia hao wamisri nao waache kuabudu masanamu?.huoni kuwa huyo mungu wao yaani Yhweh alikua ni kuajiri yao waisrael,wewe mnyantuzu unaingiaje hapo kama hata wamisri jirani kabsa hawakuhusika na huyo mungu?.

Rejea kitabu cha waflume wa kwanza na wapili visome vyote anzia mwanzo hadi mwisho utaelewa nina maana gani.
Kuna wakati mfalme wa babel aliteka yuda,akawapeleka wote utumwani babel na hapo yuda akaleta watu kukaa,lakini ili wakae salama ilibidi waende na masharti ya MUNGU WA HIYO NCHI.
Ikabidi mpaka waende babel kumleta myahudi mmoja aje awe kuhani wao. Ndo kusema huyo mungu wa yakobo alikua kwa ajili ya hiyo nchi.
Pia huyo jehova alikua anapingana na baal ambae alikua ni mungu wa milima,wakati huyo wa waisrael alikua mungu wa tambalare.
Isome vizuri wafalme utaona kipindi hicho ilikua maarufu kujenga maeneo ya juu,ama nyumba iliyoinuka sana.ukifanya hivo ilionekana kama unamuabudu Baal na jehova alichofanya ni kukuua.
 
Kuna kitu hujakielewa...huyu Mungu wako unayemuamini wewe kama na mimi ninamuamini ninaweza kusema nanaamini katika Mungu wa Elungata(nikwa nina maana ninaamini katika Mungu yule yule wa Elungata anayemuamini)
naelewa vizuri sana,lengo langu hapa ni kuonyesha kuwa isaack na yakubu walikua wanaabudu mungu alietwa Yahweh...huyu yahwew kiukweli google history yake utaona kuwa he was a stormy pagan god of war,ndo maana kuna mahali wanataja mungu wa majeshi,alikua ni mungu wa uharibifu na mapigano na hilo liko well documented ndani ya bible.

Huyu Yahwew ama jehova hata yesu mwenyewe hajapata kumtaja kuwa ndo mungu,hata kipindi yesu anakata roho hapo msalabani kwa mjibu wa bible alitaja,ELLOH ELLOH na si jehova.
So mi nasema mungu wa isaack na jacob was a pagan god.
 
then kama huyo mungu wa waisraeli alikuwa ni mungu wa wanadamu wote,kwanini asiwaonyeshe njia hao wamisri nao waache kuabudu masanamu?.huoni kuwa huyo mungu wao yaani Yhweh alikua ni kuajiri yao waisrael,wewe mnyantuzu unaingiaje hapo kama hata wamisri jirani kabsa hawakuhusika na huyo mungu?.

Rejea kitabu cha waflume wa kwanza na wapili visome vyote anzia mwanzo hadi mwisho utaelewa nina maana gani.
Kuna wakati mfalme wa babel aliteka yuda,akawapeleka wote utumwani babel na hapo yuda akaleta watu kukaa,lakini ili wakae salama ilibidi waende na masharti ya MUNGU WA HIYO NCHI.
Ikabidi mpaka waende babel kumleta myahudi mmoja aje awe kuhani wao. Ndo kusema huyo mungu wa yakobo alikua kwa ajili ya hiyo nchi.
Pia huyo jehova alikua anapingana na baal ambae alikua ni mungu wa milima,wakati huyo wa waisrael alikua mungu wa tambalare.
Isome vizuri wafalme utaona kipindi hicho ilikua maarufu kujenga maeneo ya juu,ama nyumba iliyoinuka sana.ukifanya hivo ilionekana kama unamuabudu Baal na jehova alichofanya ni kukuua.

Rafiki yng tutaendelea jioni na huu mjadala wetu naingia church Muda so mrefu! Nikija ntaanzia hapa!

Samahani kwa usumbufu!
 
Binafsi siwezi kubishana na mtu kuhusu imani yake (huo utakuwa ni wendawazimu) Imani ni Imani na kila mtu anaamini kile anachoamini kulingana na misingi ya Imani yake (who is me or you to try and prove him/her otherwise)

Ila linapokuja suala la facts la kusema fulani alikufa kwa ugonjwa huu wakati ni mwingine au aliyejenga Titanic alisema maneno ambayo sio proven.... well we just call a spade a spade and in this case ni kwamba hivyo ulivyotaja ni Fiction na Unproven... Hata huyo raisi wa Brazil ni kwamba aliugua na kufa baada ya mwezi na Vice President ndio alichukua nafasi yake na haijawahi kuwa proven kama kweli alisema maneno unayosema alisema
issue huja pale mtu anapojaribu kuforce anachoamini yeye ndo kiko sawa na kwamba ni lazima ukifuate or else...

Sasa ukikuta mtu yuko aware hawezi kukubali kirahisi...hapa kila mtu aheshimu imani ya mwingine na si kujaribu juu chini mtu aamini kile unachodhani wewe ndo kiko sawa na vya wengine wote viko wrong.
 
mungu hathibitishwi uwepo wake kwa kufanya mazingaombwe.


Sio mazingaombwe Mkuu! Eliya aliwambia wale watu waachane na Mungu Baal na kumwabudu Mungu Wa kweli wakawa hawataki ndio Ikafika hatuo kuipima Hiyo miungu!

Tumeona ata kwa Nuhu, Musa, Nebuchadnezzar Daniel etc! Sio mazingaombwe Bali Mungu alitaka kujidhirisha kwao Kua ndio kila kitu!
 
Rafiki yng tutaendelea jioni na huu mjadala wetu naingia church Muda so mrefu! Nikija ntaanzia hapa!

Samahani kwa usumbufu!
ooh,leo sabato ya bwana...poa. Ibada njema..nimesari sana SDA miaka ya nyuma kipindi niko shule.
 
Mmeanza vitisho vyenu kama wakati wa kuzika.. logic hamna kabisa.. mmeulizwa kila siku..kama huyu Mungu yupo..na ana akili sana..mbona hakutengeneza dunia nzuri sana isiyo na dhambi..wala makosa..nini kusudi lake..je alituumba akitegemea tutatenda dhambi ili atucheke na kutuchoma kama mnavyo dai.. hamuoni kwamba ni maigizo alifanya..yaani anatengeneza dhambi alafu anatukataza kufanya dhambi.. mtu/kiumbe yule yule mmoja..

pili mbona vitabu vyake vitakatifu..vina makosa sana tena primitive/vya kikale..na mambo yasiyo ya kibinadamu kama utumwa vimetamalaki.. tena mbaya zaidi vitabu havijui hata mambo ya wazi kabisa kama umbo la dunia..na kusema eti dunia ni ya flat.. huu ni ukale..
muandishi wake si mtu makini kama inavyo semwa bali ni mtu primitive..asiyekua na maarifa yakutosha

Hapo hapana vitisho hata chembe; unahitaji kujua tu kuwa Mungu yup ni mwenye mamlaka na nguvu; Mwingi wa huruma na rehema mtumainiye yeye usitumainiye akili zako.
 
Ili uelewe na usichanganyikiwe lazima uwe tayari kuelewa kwanza na uwe na akili timamu na uwe na uwezo wa kuchanganya za kuambiwa na za kwako......Ntaka nikufundishe kwa kutumia mfano km utakuwa tayari kuelewa maana mnaongoza kwa ubishi wa kulazimisha mambo hata km jambo ni jepesi na rahisi kueleweka. Kabla ya maelezo mengine ni kuwa Yesu ni Mungu na Yesu ni Mwana wa Mungu. Kwanza uelewe kuwa neno Mungu limetokana na "umba" au "uumbaji" au "kuumba" yaani kutengeneza----Mungu alimuumba mtu kwa mfano wake(huu ni ubishi mwingine wa waislamu maana allah hafanani wala hafananishwi). Wewe ni fundi vitanda, baadaye umemfundisha mtoto wako kutengeneza kitanda, baadaye mkashirikiana pamoja kutengeneza kitanda kizuri.Je, prs nani atakuwa ametengeneza hicho kitanda kizuri? Jibu ni wote. Kama watapewa jina moja bila kujali kuwa mmoja ni baba mwingine ni mwana wataitwaje? Jibu ni kuwa wote wataitwa Fundi lakini kuna fundi baba(Mungu baba) na Fundi Mwana (Mungu mwana).Kwenye Biblia Mungu baba anajulikana kama Yehova na Yesu haitwi Yehova na wala Yehova haitwi Emmanuel. Unajua Biblia ni tamu na raha mno lakini anaweza kuelewa yule tu niliyemwelezea hapo mwanzo. Kumbuka Bibilia haisomwi km vile unasoma kurani na vitabu vingine.

Mkuu Jile79 kwa hivyo unataka niamini

Yesu ni mungu!!!

Katika mfano wako Baba hawezi kuwa na uwezo sawa na mtoto..(mwalimu na mwanafunzi)

Hivyo Ukristo unaamini mungu zaidi ya mmoja?

Yesu alikufa na kufufuka..Dunia ilikosa uwepo wa Mungu kwa siku tatu?

Yesu ni Emanuel..Je unaweza kueleza ni wapi Maria alimuita kwa jina Emanuel??

Jina Yesu limetokea wapi?

Mkuu Jile79 naomba majibu yako..Waislam Tunaisoma Bible pia..

Ingawa hakuna neno Bible kwenye Bible yenyewe..
 
Last edited by a moderator:
Mkuu jile79 mbona kama unachanganya mambo? Kwahyo kuna Mungu wangapi?
 
NAKUTUMA NENDA KAWAAMBIE VIONGOZI WAKO HII SEHEMU INATAKIWA KU EDITIWA:........................
Kwa kuanzia naomba uniambiwa kwa nn muhamad na allah waliwaruhusu kuoa wake wengi na sio kuolewa na wanaume wengi?. Mwanzoni kulikuwa na sababu kuwa eti wanawake ni wengi kuliko wanaume kitu ambacho kime prove failure coz kwa sasa kwa takwimu za dunia inaonesha wanaume ni wengi kuliko wanawake (Hapa usitake kubishana---Google mwenyewe). Kama kweli hii ilikuwa ndo sababu, hamuoni kuwa it is a high time for you muslims to review and edit your quran? Vinaja wa kisasa wanasemaga ni kama mmeingizwa mjini/chaka

Upotoshaji, kwa jinsi unavyoanza kuiamini Google hukawii kuiita Mungu.
 
Mungu ni yeye yule jana na hata milele haijalishi anasemwa vipi anatukanwa vipi,
Mhubiri 11:9 Wewe kijana uufurahie ujana wako, na moyo wako ukuchangamshe siku za ujana wako,ukaziendee njia za moyo wako na katika maono ya macho yako, LAKINI kwa hayo yote Mungu atakuleta HUKUMUNI.
 
Back
Top Bottom