warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #201
Mkuu mleta mada hizi habari ulizoleta ni za uongo at best na unproven kwa kuanzia huyo Azuza alikufa kwa Ukimwi na sio cancer ili kupanda na upande wa pili wa habari taomba uweke hii link Untimely Deaths of Famous People Who Mocked God - Fiction! and Unproven! kwenye post yako ili usipotoshe UMMA. Kutangaza na kushare imani its all well and good ila kusambaza imani yako kwa njia ya uongo ni Utapeli na ulaghai..., (Ukizingatia Imani yako inakutuma kusema kweli daima)
Kuna watu ambao hawaamini kuwa kifo kipo, japokuwa watu wanakufa kila siku, so ni hvyo mkuu