Umeshakuwa na "negativity" mimi niseme lipi tena ?!!!
Kuna ugonjwa wa kisaikolojia unaitwa OBSESSIVE COMPULSIVE DISORDER....Wataalamu wanatuambia kuwa mwenye nao huwa HABADILISHI MSIMAMO WA MAWAZO YAKE......
Karibu urojo na supu ya pweza bwashee......
WEWE UNAUJUA VEMA UOVU WOTE ANAOUFANYA SHETANI???
Looh! Inasikitisha sana.
Tunaongelea suala la kifo na maisha, kumbe wewe unadhani tuko kwenye udaku?
Hiiiiii bagosha!
Hawakukosea waliotambua kuwa:
"Mzigo wa mwenzio kwako ni kanda (furushi) la Sufi."
Haiyumkiniki wewe ni huyo mdada kwenye huo udaku. Nikushauri tu endeleeni na huo udaku ya huku hamuwezi kuyaelewa.
Huku si udaku. Huku kumepigwa risasi za moto na majahili zaidi mno ya huyu:
View attachment 1931194
16 zikaingia mwilini mwa mtu na zingine zimeshindikana kutolewa.
Tuko dunia tofauti.
Tundu anatukwamisha na kutukwaza. Watu tunataka kujua sababu ya tukio lile lakini yeye binafsi halichukulii serious kabisa. Sijui kwanini haoni kama uhai wake ulikua mashakani na sijui kwanini haoni kupatikana kwa ukweli utasaidia raia wengine kama yeye kuwa salama kwa kile watakachokijua na kukielewa
Nguvu ambazo amekua akizunguka nazo kuongea angezitumia kuweka mambo bayana ingemsaidia yeye familia yake na watanzania kwa ujumla
Kuendelea kuongea maongezi anayojua wazi hayaleti suluhu ni kutufanya tuanze kuwaza mambo mengine.
Sipendi kuongelea kabisa hili swala la Tundu sababu liliniumiza sanaaa.... lakini kitendo cha yeye kuja kwa kampeni na kuondoka kwa haraka baada ya kushindwa uchaguzi huku akiacha mambo yake yakiwa yananing'inia kwenye vyombo vya usalama inafikirisha sana
Tuache ushabiki tuwaze sawasawa
Alijipiga risasi mwenyewe maana askari wetu huwa awakosei shabaha
Yawezekana aliyetengeneza virusi vya corona viliondoka naye. Yawezekana hakujua itakuwa je. Yawezekana alikuwa na nia njema kabisa na labda hata Shetani na hata Mungu wanajua hilo.Hakika kuna waovu kuliko shetani, chukulia aliyetengeneza virusi covid 19 , hata shetani ana huruma kuliko yeye.
Vicious people!
The devil himself cannot be any worse![emoji31][emoji31][emoji31]I wish they wewe just vicious people.
These are ruthless, merciless, savage, remorseless, bloodthirsty, cold-blooded murderous tyrants.
The devil himself cannot be any worse!
UJUMBE wao ni huuWatu walioratibu na kutekeleza mashambulizi kama haya ili kuuwa wengine, wangalipo wakiwa huru na bila shaka wakilipwa kwa kodi zetu:
View attachment 1931346
Wanamtumikia au walikuwa wakimtumikia nani manyang'au hawa?
Kwamba maisha yanaendelea na mabazazi hao wangalipo mitaani wao pamoja na wawezeshaji wao? Kwa hakika ni kwenye zile nchi pendwa kama alivyoziita bwana Donald Trump peke yake.
Haya hayawezi kutokea kokote ambako utawala wa sheria au wa kidemokrasia una tamalaki.
Kwamba hao ndiyo wazalendo na kina Mh. Mbowe ni gaidi?!
Hivi ni kwa kutuona je?
Mambo kama haya ndiyo yanawafanya watu kama huyu kuonekana mashujaa kweri kweri:
View attachment 1931053
Ama kwa hakika kumlaumu Col. Mamady Doumbouya ni sawa na kumlaumu dobi kaniki kutokutakata.
Ni waovu maana wangemmaliza kama HamzaWatu walioratibu na kutekeleza mashambulizi kama haya ili kuuwa wengine, wangalipo wakiwa huru na bila shaka wakilipwa kwa kodi zetu:
View attachment 1931346
Wanamtumikia au walikuwa wakimtumikia nani manyang'au hawa?
Kwamba maisha yanaendelea na mabazazi hao wangalipo mitaani wao pamoja na wawezeshaji wao? Kwa hakika ni kwenye zile nchi pendwa kama alivyoziita bwana Donald Trump peke yake.
Haya hayawezi kutokea kokote ambako utawala wa sheria au wa kidemokrasia una tamalaki.
Kwamba hao ndiyo wazalendo na kina Mh. Mbowe ni gaidi?!
Hivi ni kwa kutuona je?
Mambo kama haya ndiyo yanawafanya watu kama huyu kuonekana mashujaa kweri kweri:
View attachment 1931053
Ama kwa hakika kumlaumu Col. Mamady Doumbouya ni sawa na kumlaumu dobi kaniki kutokutakata.
Kwa Hamza hakutoa ushahidi wa upande moja ?! Uzuri Mungu hachezewiUnataka atoe majibu ya upelezi wa upande mmoja?
Hukuona Tundu alikuja kwa kampeni akaachwa afanye kampeni halafu akaondoka kabla ya siku ya kesi zake na hajarudi??
Kama alinyang'anywa ulinzi na simu za maonyo angekaa kukufurahisha ?!. Mbona Leo uchunguzi wa Hamza umefanyika mhusika akiwa hayupo !!Tundu anatukwamisha na kutukwaza. Watu tunataka kujua sababu ya tukio lile lakini yeye binafsi halichukulii serious kabisa. Sijui kwanini haoni kama uhai wake ulikua mashakani na sijui kwanini haoni kupatikana kwa ukweli utasaidia raia wengine kama yeye kuwa salama kwa kile watakachokijua na kukielewa
Nguvu ambazo amekua akizunguka nazo kuongea angezitumia kuweka mambo bayana ingemsaidia yeye familia yake na watanzania kwa ujumla
Kuendelea kuongea maongezi anayojua wazi hayaleti suluhu ni kutufanya tuanze kuwaza mambo mengine.
Sipendi kuongelea kabisa hili swala la Tundu sababu liliniumiza sanaaa.... lakini kitendo cha yeye kuja kwa kampeni na kuondoka kwa haraka baada ya kushindwa uchaguzi huku akiacha mambo yake yakiwa yananing'inia kwenye vyombo vya usalama inafikirisha sana
Tuache ushabiki tuwaze sawasawa
Lakini mjue pia kwamba, bila kujali namna gani au wakati gani mtu anakufa, binadamu waliowengi watakufa ingawa najua si wote. Ila ukweli mmoja ni huu, binadamu wote watakaokuwa hai, na watakuwa walikufa, ipo siku tutasimama Mbele za Mungu, aliyetuumba na kutupa fursa ya kuishi duniani lakini tukiwa upande wake. Waliomkataa Mungu watahukumiwa adhabu na waliomkubali Mungu, watakirimiwa.Na hata wahi atokee tena duniani bwege yule😂😂😂😂😂😂
Karma is real¡¡¡
Itokee na kwetuWatu walioratibu na kutekeleza mashambulizi kama haya ili kuuwa wengine, wangalipo wakiwa huru na bila shaka wakilipwa kwa kodi zetu:
View attachment 1931346
Wanamtumikia au walikuwa wakimtumikia nani manyang'au hawa?
Kwamba maisha yanaendelea na mabazazi hao wangalipo mitaani wao pamoja na wawezeshaji wao? Kwa hakika ni kwenye zile nchi pendwa kama alivyoziita bwana Donald Trump peke yake.
Haya hayawezi kutokea kokote ambako utawala wa sheria au wa kidemokrasia una tamalaki.
Kwamba hao ndiyo wazalendo na kina Mh. Mbowe ni gaidi?!
Hivi ni kwa kutuona je?
Mambo kama haya ndiyo yanawafanya watu kama huyu kuonekana mashujaa kweri kweri:
View attachment 1931053
Ama kwa hakika kumlaumu Col. Mamady Doumbouya ni sawa na kumlaumu dobi kaniki kutokutakata.
Mkuu tumalizane hapahapa duniani, mambo ya mbinguni tuachane nayoLakini mjue pia kwamba, bila kujali namna gani au wakati gani mtu anakufa, binadamu waliowengi watakufa ingawa najua si wote. Ila ukweli mmoja ni huu, binadamu wote watakaokuwa hai, na watakuwa walikufa, ipo siku tutasimama Mbele za Mungu, aliyetuumba na kutupa fursa ya kuishi duniani lakini tukiwa upande wake. Waliomkataa Mungu watahukumiwa adhabu na waliomkubali Mungu, watakirimiwa.
Kumkataa Mungu ni pamoja na kumpiga jirani yako kwa siri, uasherati, uzinzi, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, uwongo, kiburi, uuaji, uchawi, ushirikina, hila, wizi, chuki, usengenyaji, na yanayofanana na hayo.
Wafanyao mambo ya jinsi hii watahukumiwa. Lakini wakitubu dhambi hizi na kuacha kuzitenda, watasamehewe na Mungu hatazikumbuka tena.
Kama vile waliotaka kumuua Tundu Lisu wasipotubu watasimama hukumuni, vile vile na wanaofanya dhambi kutokana na tukio hilo, watasimama katika hukumu ya Mungu.
Ninyi nyote, MNAOMLAANI NA KUMPIGA MAWE RAIS MAGUFULI KWA KUAMINI KWAMBA NI YEYE ALIHUSIKA katika tukio la kupigwa kwa Tundu Lisu, MNAHAKIKA KWAMBA YEYE NDIYE ALIWATUMA WAUAJI, AU ALIRATIBU MPANGO WA MAUAJI YA TUNDU LISU, AU ALIFURAHIA MOYONI MWAKE TUKIO HILO? MNA HAKIKA KWAMBA ALISHIRIKISWA MPANGO HUO KABLA HAUJATEKELEZWA?
Angalieni ndugu zangu, ushabiki wa mambo msiyoyajua, usije ukawasababisha kufanya dhambi kwa Mungu kisha kuwaingiza hukumuni.
Kama hajaratibu, alikataa asiende kutibiwa nje na wakati Nimrod Mkono ana miaka 5 huko, alinyima asiombewe, akaagiza afukuzwe na ubunge.Lakini mjue pia kwamba, bila kujali namna gani au wakati gani mtu anakufa, binadamu waliowengi watakufa ingawa najua si wote. Ila ukweli mmoja ni huu, binadamu wote watakaokuwa hai, na watakuwa walikufa, ipo siku tutasimama Mbele za Mungu, aliyetuumba na kutupa fursa ya kuishi duniani lakini tukiwa upande wake. Waliomkataa Mungu watahukumiwa adhabu na waliomkubali Mungu, watakirimiwa.
Kumkataa Mungu ni pamoja na kumpiga jirani yako kwa siri, uasherati, uzinzi, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, uwongo, kiburi, uuaji, uchawi, ushirikina, hila, wizi, chuki, usengenyaji, na yanayofanana na hayo.
Wafanyao mambo ya jinsi hii watahukumiwa. Lakini wakitubu dhambi hizi na kuacha kuzitenda, watasamehewe na Mungu hatazikumbuka tena.
Kama vile waliotaka kumuua Tundu Lisu wasipotubu watasimama hukumuni, vile vile na wanaofanya dhambi kutokana na tukio hilo, watasimama katika hukumu ya Mungu.
Ninyi nyote, MNAOMLAANI NA KUMPIGA MAWE RAIS MAGUFULI KWA KUAMINI KWAMBA NI YEYE ALIHUSIKA katika tukio la kupigwa kwa Tundu Lisu, MNAHAKIKA KWAMBA YEYE NDIYE ALIWATUMA WAUAJI, AU ALIRATIBU MPANGO WA MAUAJI YA TUNDU LISU, AU ALIFURAHIA MOYONI MWAKE TUKIO HILO? MNA HAKIKA KWAMBA ALISHIRIKISWA MPANGO HUO KABLA HAUJATEKELEZWA?
Angalieni ndugu zangu, ushabiki wa mambo msiyoyajua, usije ukawasababisha kufanya dhambi kwa Mungu kisha kuwaingiza hukumuni.
Kama hajaratibu, alikataa asiende kutibiwa nje na wakati Nimrod Mkono ana miaka 5 huko, alinyima asiombewe, akaagiza afukuzwe na ubunge.