Watu walioratibu na kutekeleza kumpiga Risasi Tundu Lissu, ni Waovu kuliko hata Shetani Mwenyewe

Wanadamu wana roho zao buana

Usishanga hapa jf kuna wauaji wengi tuu ila wanaua watu wasio maarufu na wengine wanaua kwa siri na taratibu

Tundu aje aliamshe hili jambo, mashuhuda na ushahidi uwekwe mezani tujue mbivu mbichi
Bashite cyprian Musiba le mutuz Heri kisanduku nyaulingo na wasiojulikana ndiyo walikwenda Dodoma kumpiga risasi Tundu lisu hiyo ni kwa mujibu wa FBI waliopo ubalozi wa marekani ambao walichunguza shambulio kwa Siri kubwa
 
Tundu lisu alidondoka haraka baada ya kupenyezewa taarifa kuwa atabambikiwa kesi na kufungwa kwa njia haramu za kishetani
 
Bashite cyprian Musiba le mutuz Heri kisanduku nyaulingo na wasiojulikana ndiyo walikwenda Dodoma kumpiga risasi Tundu lisu hiyo ni kwa mujibu wa FBI waliopo ubalozi wa marekani ambao walichunguza shambulio kwa Siri kubwa

Kwa hiyo baada ya FBI kuchunguza wakaamua wafiche siri😅😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…