Bashite cyprian Musiba le mutuz Heri kisanduku nyaulingo na wasiojulikana ndiyo walikwenda Dodoma kumpiga risasi Tundu lisu hiyo ni kwa mujibu wa FBI waliopo ubalozi wa marekani ambao walichunguza shambulio kwa Siri kubwaWanadamu wana roho zao buana
Usishanga hapa jf kuna wauaji wengi tuu ila wanaua watu wasio maarufu na wengine wanaua kwa siri na taratibu
Tundu aje aliamshe hili jambo, mashuhuda na ushahidi uwekwe mezani tujue mbivu mbichi
Tundu lisu alidondoka haraka baada ya kupenyezewa taarifa kuwa atabambikiwa kesi na kufungwa kwa njia haramu za kishetaniTundu anatukwamisha na kutukwaza. Watu tunataka kujua sababu ya tukio lile lakini yeye binafsi halichukulii serious kabisa. Sijui kwanini haoni kama uhai wake ulikua mashakani na sijui kwanini haoni kupatikana kwa ukweli utasaidia raia wengine kama yeye kuwa salama kwa kile watakachokijua na kukielewa
Nguvu ambazo amekua akizunguka nazo kuongea angezitumia kuweka mambo bayana ingemsaidia yeye familia yake na watanzania kwa ujumla
Kuendelea kuongea maongezi anayojua wazi hayaleti suluhu ni kutufanya tuanze kuwaza mambo mengine.
Sipendi kuongelea kabisa hili swala la Tundu sababu liliniumiza sanaaa.... lakini kitendo cha yeye kuja kwa kampeni na kuondoka kwa haraka baada ya kushindwa uchaguzi huku akiacha mambo yake yakiwa yananing'inia kwenye vyombo vya usalama inafikirisha sana
Tuache ushabiki tuwaze sawasawa
Hata wewe utakufa licha ya kuwa na Roho mbaya ya kishetani
Kufa si taabu, legacy!
Si ajabu na wewe unajiona una akili kweli
Bashite cyprian Musiba le mutuz Heri kisanduku nyaulingo na wasiojulikana ndiyo walikwenda Dodoma kumpiga risasi Tundu lisu hiyo ni kwa mujibu wa FBI waliopo ubalozi wa marekani ambao walichunguza shambulio kwa Siri kubwa