Manfried
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 1,288
- 4,074
Niliwaambia miaka ile kuwa acheni uzinzi mkawa mnashupaza shingo.
Mmchezea Sana watoto wa watu na kuwaharibia maisha n.k
Sasa tazameni watoto wenu wa 15-18+ ni hatari Sana Hiyo ni karma hamna uchawi.
Eti mtu Ana miaka 35 tayari Ana mjukuu ni hatari Sana MTU Ana 40 tayari Ana wajukuu watatu
Mmchezea Sana watoto wa watu na kuwaharibia maisha n.k
Sasa tazameni watoto wenu wa 15-18+ ni hatari Sana Hiyo ni karma hamna uchawi.
Eti mtu Ana miaka 35 tayari Ana mjukuu ni hatari Sana MTU Ana 40 tayari Ana wajukuu watatu