Point yangu ni kwamba argument zenu hazipo historically accurate; unaongelea USASA na KUVAA mimi nakuuliza kati ya Kuvaa na Kutokuvaa nini kilianza ?uovu na tabia mbaya zisipokemewa hatua za mwanzo kabisa hukomaa na kua haki ya watenda uovu na ubaya huo....π
ndicho kinachotokea nyakati hizi π
kuvaa uchi ni haki tena inatetewa kwa nguvu zote na mafeministi π
R.I.P Laigwanan comrade ENL
Zama hizi kujiuza kumeongezeka mkuu na kumechagizwa na kuporomoka kwa maadili hasa ya uvaaji kwa wanawake ambapo hadi watoto wadogo wanaona vyupi vya wakubwa hivyo kujiongeza kuwa wanunuajiNgono ni nini ? Na hizo so called ngono sasa hivi wewe au kipindi cha Babu zako mtoto anachumbiwa akiwa na miaka mitatu ipi / wapi unaweza kusema ni udhalilishaji na mbaya kwa jamii
Unajua the old Proffession in the World ?
Kujiuza na Udangaji ni tangia enzi na enzi..., hivyo kama kuna wanunuaji basi hio ni huduma..., Uzuri kama wewe unaona hapa hapafai inabidi uchague choice inayoendana na wewe......
Mavazi ni moja ya mifano inayowakilisha usasa, ila pia usasa unawakilishwa kwa namna nyingi kama vile tabia ya mtu kwa ujumla yaaani kuanzia kuvaa, kula, muonekano na anavyo fikiriPoint yangu ni kwamba argument zenu hazipo historically accurate; unaongelea USASA na KUVAA mimi nakuuliza kati ya Kuvaa na Kutokuvaa nini kilianza ?
Pili hao ambao wapo uchi; unakutana nao sokoni na kwenye nyumba za ibada au unawatafuta kwenye mitandao au nightclubs ?
Mkuu are you Serious ? Tena zama hizi mwanamke ana choice ya kukataa au kuomba dau analodhani linafaa..., Tamaduni nyingi enzi zile Baba akipata tu mtoto wa kike anaanza kuhesabu Pesa..., Na tajiri akiona Kabinti anakafanyia Booking Kabisa....Zama hizi kujiuza kumeongezeka mkuu na kumechagizwa na kuporomoka kwa maadili hasa ya uvaaji kwa wanawake ambapo hadi watoto wadogo wanaona vyupi vya wakubwa hivyo kujiongeza kuwa wanunuaji
Haya mambo tunayoita old fashion na new fashion ndio yanatuharibia kizazi chetu na dunia kwa ujumla
kwenye nyumba za ibada tuliwazuia na kuwarudisha nyumbani na mini zao, na hivi sasa tumeweka vitenge vya kutosha pale nje mlangoni mwa kanisa, ukija na kipensi chako tunakuvisha kanga, ukija na kaoshi tunakuvika lubega na wanawake vivyo hivyo πPoint yangu ni kwamba argument zenu hazipo historically accurate; unaongelea USASA na KUVAA mimi nakuuliza kati ya Kuvaa na Kutokuvaa nini kilianza ?
Pili hao ambao wapo uchi; unakutana nao sokoni na kwenye nyumba za ibada au unawatafuta kwenye mitandao au nightclubs ?
Na huku ndo kujiuza kwenyewe ambako nakusemea, tamaa za pesa zinawafanya wadada kupanga madau na kuvaa vichupi na kuongeza maumbo ili wawatamanishe wanunuziMkuu are you Serious ? Tena zama hizi mwanamke ana choice ya kukataa au kuomba dau analodhani linafaa..., Tamaduni nyingi enzi zile Baba akipata tu mtoto wa kike anaanza kuhesabu Pesa..., Na tajiri akiona Kabinti anakafanyia Booking Kabisa....
Kwahio Mkuu kila zama na vitabu vyake; ila usidhani hata kidogo kama kuna jipya hapa ni marudio tu....
Upo sahihi mkuu wanajificha kwenye muda kujustify maovu yao cha kusikitisha kundi hili lenye fikra hizi ni kubwa na lina nguvu kama nguvu za shetanikwenye nyumba za ibada tuliwazuia na kuwarudisha nyumbani na mini zao, na hivi sasa tumeweka vitenge vya kutosha pale nje mlangoni mwa kanisa, ukija na kipensi chako tunakuvisha kanga, ukija na kaoshi tunakuvika lubega na wanawake vivyo hivyo [emoji205]
uvaaji wako na usasa wako tunashauri ubaki navyo kwenu [emoji205]
Nasisitiza kwamba uovu usipokemewa hatua za mwanzo kabisa ngazi ya familia baadae unakua ni haki nje ya familia,
ndio sasa tunakutana na hoja kama hizi ambazo inaonekana hatuko na historical accurates[emoji205]
Tukizubaa feminists watawini hii vita ya maadili potofu kwa jamii kwa kisingizio cha usasa...
R.I.P Laigwanan comrade ENL
Na mimi ndio nakwambia kwa maneno unayotumia usiweke neno usasa...; hapa hakuna jipya na kwa nyanja tofauti kuna sekta hali ni bora kwa sasa kuliko hapo nyuma....; Na ukiongelea watu kuvaa nusu uchi mimi nakwambia kuna kipindi watu walikuwa wanatembea uchiNa huku ndo kujiuza kwenyewe ambako nakusemea, tamaa za pesa zinawafanya wadada kupanga madau na kuvaa vichupi na kuongeza maumbo ili wawatamanishe wanunuzi
Ila ukilisemea hili mtu kama wewe unakuja na hoja kuwa "kila zama na kitabu chake" means kujianika ndio kitabu cha sasa
Hoja zako zote ni kujaribu kuutetea uovu unaofanyika kwa kulinganisha na mila za jamii zinaoendana na unachokitetea japo kiuhalisia hata hizo mila hazikufanya kama wanavyofanya vijana wa sasaNa mimi ndio nakwambia kwa maneno unayotumia usiweke neno usasa...; hapa hakuna jipya na kwa nyanja tofauti kuna sekta hali ni bora kwa sasa kuliko hapo nyuma....; Na ukiongelea watu kuvaa nusu uchi mimi nakwambia kuna kipindi watu walikuwa wanatembea uchi
Hakuna nachotetea najaribu kukuweka sawa..., kwamba unachokiongelea hakina accuracy...Hoja zako zote ni kujaribu kuutetea uovu unaofanyika kwa kulinganisha na mila za jamii zinaoendana na unachokitetea japo kiuhalisia hata hizo mila hazikufanya kama wanavyofanya vijana wa sasa
Mkuu kwa unavyoona wewe, kuongeza matako, kuweka nyusi na kope, kujichubua kuwa mweupe kama karatasi, wanaume kuvaa heleni na kusuka, ambavyo asaiv ni si kitu cha kushangaza mtaani zamani vilikuepoHakuna nachotetea najaribu kukuweka sawa..., kwamba unachokiongelea hakina accuracy...
Teknolojia ilikuwa haipo ila kuna watu walikuwa wanavaa nguo zinabada kiuno ili shape iwe kama nyigu..., Afrika walikuwa wanaweka vyuma ili kurefusha shingoMkuu kwa unavyoona wewe, kuongeza matako,
Hio mbona ilikuwa kawaida kabisa bora sasa hivi wameacha baada ya kugundua madhara kiafyakuweka nyusi na kope, kujichubua kuwa mweupe kama karatasi,
Ushawaona wamasai ? Na unajua kipindi cha Afro unadhani bila kusuka hizo nywele zingekuwa vipi ndefu ? Na je Rastafarians ? au hio sio kusuka ?wanaume kuvaa heleni na kusuka, ambavyo asaiv ni si kitu cha kushangaza mtaani zamani vilikuepo
Mkuu umewaganda wamasai ambao kwa ukweli kati ya makabila yanaoongoza kwa mila na desturi nzuri ni wamasai hawajawai kuyumba, umemuona wapi masai akidanga na kujiuzaTeknolojia ilikuwa haipo ila kuna watu walikuwa wanavaa nguo zinabada kiuno ili shape iwe kama nyigu..., Afrika walikuwa wanaweka vyuma ili kurefusha shingo
Hio mbona ilikuwa kawaida kabisa bora sasa hivi wameacha baada ya kugundua madhara kiafya
Ushawaona wamasai ? Na unajua kipindi cha Afro unadhani bila kusuka hizo nywele zingekuwa vipi ndefu ? Na je Rastafarians ? au hio sio kusuka ?
Kwahio Mavazi Sio uzuri wala ubaya wa Desturi ya watu Husika.. Okay hilo tumemaliza ngoja turudi kwenye Kudanga / Kujiuza...Mkuu umewaganda wamasai ambao kwa ukweli kati ya makabila yanaoongoza kwa mila na desturi nzuri ni wamasai hawajawai kuyumba, umemuona wapi masai akidanga na kujiuza
Huko kote ni kuutetea uovu na kuutafutia sababu uonekane sio uovu ila ukweli unaujua kuwa kwa kuendekeza huo mnaouita usasa wa mavazi na malezi na tabia unasababisha jamii kuwa ya watu wa ajabu ambao hawashauiriki kama weweKwahio Mavazi Sio uzuri wala ubaya wa Desturi ya watu Husika.. Okay hilo tumemaliza ngoja turudi kwenye Kudanga / Kujiuza...
Kudanga na Kujiuza ni kufanya nini ? Je mtu kutumia appearance yake kujipatia kitu ambacho asingepata bila kutumia appearance ni kujiuza ? Kama ndio technically ni wangapi hawajiuzi ?
Wanasema tena bora malaya unajua kabisa unachonunua na unachompa ni kiasi gani yaani Quid pro Quo
Ongelea Point kwamba kitu fulani au mavazi fulani hayafai ila usiweke neno usasa mimi nakwambia hata sasa hivi bora watu wanavaa madela enzi za 70s mini ndio zilikuwa mpango mzima....Huko kote ni kuutetea uovu na kuutafutia sababu uonekane sio uovu ila ukweli unaujua kuwa kwa kuendekeza huo mnaouita usasa wa mavazi na malezi na tabia unasababisha jamii kuwa ya watu wa ajabu ambao hawashauiriki kama wewe
Labda kwenye jamii yako lakini nijuavyo mm hiyo miaka wanawake walikuwa wakivaa khanga na wakijiheshimu wachache sana hasa sehemu za starehe ndo walivaa nguo za ajabuOngelea Point kwamba kitu fulani au mavazi fulani hayafai ila usiweke neno usasa mimi nakwambia hata sasa hivi bora watu wanavaa madela enzi za 70s mini ndio zilikuwa mpango mzima....
Ndio Linaibuka Wimbi La Kataa Ndoa.Jamii iko polluted na kundi linalojiita kizazi kipya wanajificha kwenye muda ili kueneza uchafu wao