SI KWELI Watu wamepigana wakati wa Usaili wa Kada ya Afya nchini Tanzania

SI KWELI Watu wamepigana wakati wa Usaili wa Kada ya Afya nchini Tanzania

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Source #1
View Source #1
Source #2
View Source #2
Watu wanachapana mikono huko, yaani ni noma sana.

Screenshot_20240909-085354_1.jpg



 
Tunachokijua
Usaili wa kuandika katika kada ya afya umefanyika Septemba 3, 2024 nchi nzima ili kuwapta wataalam wa afya watakaojaza nafasi 9, 483 za ajira.

Wakati usaili huu ukiwa unaendelea ilisambaa video mtandaoni ikionesha binti akiwa anasukumwa na Mwanaume akiwa ameshika karatasi kati ya watu wengine walioshika karatasi ndani ya chumba, huku Watu wanaosambaza video hiyo wakidai ni tukio lililotukia kwenye moja ya vituo vya usaili, Tazama( hapa na hapa)

screenshot-2024-09-03-at-23-08-32-devotatweve-on-x-inadaiwa-kafanyiwa-hivi-wakati-wa-usahili-m-png.3086321
Ukweli ni Upi?
JamiiCheck imefuatilia video hiyo kupitia utafutaji wa kimtandao kwa kutumia Google Reverse Image ili kufahamu uhalisia wa video hiyo inayodaiwa kuwa ni ya tukio lililotokea kwenye moja ya maeneo yaliyofanyika usaili katika kada ya afya nchini.

Tumebaini kuwa video hiyo si ya Tanzania na haihusiani na usaili katika kada ya afya, video hiyo ni ya Congo na iliwekwa mtandaoni tarehe Agosti 26, 2024 (Tazama hapa) na kuendelea kusambaa, (tazama hapa) ikionesha tukio lililotokea Congo DRC.

Ufuatiliaji wa kimtandao unaonesha tukio hili lilimuhusisha binti wa chuo cha ISTA Kolwezi lundi (l’Institut Supérieur des Techniques Appliquées (ISTA)) ambaye alishambuliwa na mwalimu akiwa kwenye mtihani Mwalimu anafahamika kwa jina la Tshipamba Kabwe.

1725399147413-jpeg.3086332

Barua ikionesha kusimamishwa kazi kwa mwalimu aliyemshambulia mwanafunzi huyo​
Vijana wengi wanapitia mateso makali mno. Ajira, utegemezi, mahusiano nk. Serikali imewasusa.Mungu aweke mkono
 
Wapi kazini kwako uliambiwa umtukane boss/kiongozi wako? Work ethics ndiyo zinasema hivyo?

Kwanini binti aende extra mile kuliko wengine wote?

Binti kuepusha shari, angeweka mtihani wake asipe mwenyewe bila kuitiwa security. Hii ingeepusha yeye kutamka maneno mabaya. Kisheria pia ni kosa kutoa lugha za matusi, kwahiyo boss akishtaki na ushahidi upo anashinda labda binti atoe "rushwa" au asaidiwe na mtu kama wewe.
Si ndio alitakiwa akashitaki? Hapo ameshitaki au amehukumu.

Punguza mihemko hapo nani yuko katika position ya kupoteza kisheria?

Usifikiri hapa kuna mtu nashindana nae au najaribu kutunishiana misuli na mtu.
 
Point yangu ni ile ile, ukimchokoza mtu kwa kauli chafu akikisha una nguvu za kudhibiti, kama nguvu hauna basi kotakachofuata usianze kulilia maana utakua umejitakia mwenyewe
Huyo mwanaume kwanza hajampiga bali wamepigana, ni aibu mwanaume kupigana na mwanamke
Nyinyi wanaume wenye mikono ya kirembo ndio huwa mnapenda kupigana na mademu
Wewe hebu weka tuone kiganja chako kama mkono wa mwanaume kweli
Sisi wenye mikono ya kazi hata kushkika mkono mwanamke anaona tunamchubua
 
kwani hii Tanzania?? mbona walifanya usaili kwa kompyuta?? hayo makaratasi ya nini??

na pia wakati wa kukusanya waga wanakusanya huku interviewee wamekaa na sio kusimama

na mashaka na hii clip n ya mchongo
 
Kuna kipindi katika maisha inahitajika subira ya Hali ya juu
Naona yanaanza kuonekana mapungufu ya USAILI. Hao wa usaili ni vituko. Kwa mfano watahiniwa wanaletwa na gari liliobeba mitihani na wameche,ewa kuripiti au watahiniwa wanaletwa na bus maalum na wamchelewa. Hapo takukuru wapo na haya yanaendelea.
 
kwani hii Tanzania?? mbona walifanya usaili kwa kompyuta?? hayo makaratasi ya nini??

na pia wakati wa kukusanya waga wanakusanya huku interviewee wamekaa na sio kusimama

na mashaka na hii clip n ya mchongo
Hapo wanakagua nyaraka kama vyeti
 
Wote wana makosa, hii tabia ya kulea ujinga wa wanawake ionekane wao ni malaika inawapoteza hata wao wenyewe. Bahati mbaya kakabwa hapo kakata pumzi hapati faida yeyote.

Ndio maana kina dronedrake wameamua hawaoi. Kila jambo likija mbele ya meza baina ya mwanaume na mwanamke, hakuna anayehangaika na kosa la mwanamke, mwanaume ndio anaonekana shetani tu.
Brother, this is very lame. hilo ni jambo binafsi mtu kuzira kuoa na ni haki yake ilindwe. Ni sawa na mimi nizire luo lewa sababu naona wanawake wanapigwa na waume zao na serikali haifanyi kitu, faida ni zangu na hasara ni zangu. Hamna mtu nina mkomoa kwa kuamua kutokuolewa.

Hakuna mtu aliyesema huyo mwanamke ni malaika, Mnakuwa sensitive for no reason. Tunajaribu kuwa reasonable, mnachanganya maadili ya kifamilia/kijamii na yale ya kazi. Kwenye uwanja wa kazi huyo baba ana makosa na tukienda kisheria lazima kimrambe.

This is not about men vs women. It’s about mtumishi na client .
 
Afu amekakaba shingo🙄

Amekakandamizia kichwa kwenye meza🥺
Whatever the case haikutakiwa kuwa hivyo.

Lakini na nyie wanawake ifike wakati mjifanyie tafakari maneno mnayotamka kwa watu wengine aidha mpenzi, mume au swahiba kazini kuna muda mtu anashindwa kuhimili yale maneno mwisho yanatokea ya kutokea. Anakuja kulaumiwa na tutamlaumu kweli mtendaji wa tukio kama huyo jamaa hapo. Wote tujifunze kulinda midomo yetu sio kulopoka lopoka tu.
 
Brother, this is very lame. hilo ni jambo binafsi mtu kuzira kuoa na ni haki yake ilindwe. Ni sawa na mimi nizire luo lewa sababu naona wanawake wanapigwa na waume zao na serikali haifanyi kitu, faida ni zangu na hasara ni zangu. Hamna mtu nina mkomoa kwa kuamua kutokuolewa.

Hakuna mtu aliyesema huyo mwanamke ni malaika, Mnakuwa sensitive for no reason. Tunajaribu kuwa reasonable, mnachanganya maadili ya kifamilia/kijamii na yale ya kazi. Kwenye uwanja wa kazi huyo baba ana makosa na tukienda kisheria lazima kimrambe.

This is not about men vs women. It’s about mtumishi na client .
Pia kwenye uwanja wa kazi huyo binti hayuko sawa.
Hapa mimi nalenga kuzuia mtu kupata VVU, wewe unalenga kumtibu mwenye UKIMWI.
 
Anayetafuta kazi pekee ndiye anapaswa kuwa desperate?
Tunampa hiyo benefit! Eleweni hawa watoto wako katika hali gani.

Baba mzima, mtumishi wa umma, ana mshahara, ana marupurupu anashindwa kumanage stress ya kamjinga kamoja kalichotukana?

No wonder tuna maendeleo ya namna hii kama watumishi ndio hawa 🗑️🚮
 
Huyo mwanamme ameshindwa ku control hisia zake mbele ya mwanamke...
Yes wanawake wanatia hasira ila ku deal nao unahitaji uvumilivu hasa upande wa hisia....
Najua hapo huyo mwanamme katukanwa na hako ka dada.
Emotional intelligence ni elimu ya muhimu kujifunza
Tayari umeonyesha bias. Kitu gani kimekufanya umuite huyo dada "hako ka dada"?
Je unajua huyu mwanaume amemwambia nini huyo dada?

Kitendo alichofanya huyo mwanaume si cha kiungwana.
 
Back
Top Bottom